Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Tuweze kushare uzoefu wa maisha maeneo haya kwa wale ambao wamewahi kuishi. Kwa upande wa mambo ya usalama, maadili, madili, utulivu, makuzi, tabia n.k.
Wadau wanaweza toa uzoefu wao katika upande wa umalaya, matumizi ya Bangi/Maddawa ya kulevya, uhalifu, mapenzi ya jinsia moja, ubakaji na kuanza mapenzi katika umri mdogo.
Maana kuna maeneo mtoto wa miaka 12 tu tayari watu wamesharuka naye na kumchakata. Hawasubir akue.
~ Buguruni
~ Manzese
~ Kigogo
~ Tandale
~ Kinondoni
~ Mwananyamala
~ Mburahati
~ Mabibo
~ Temeke
~ Tandika
~ Mbagala
~ Keko Mwanga
~ Keko Magurumbasi
~ Keko Machungwa
~ Buguruni kwa Mnyamani
~ Sinza
~ Tabata
~ Mwenge
~ Magomeni
~ Ilala
~ Ukonga
~ Masaki
~ Mikocheni
~ Oysterbay
~ Mbezi
~ Kuunduchi
~ Tegeta
Wadau wanaweza toa uzoefu wao katika upande wa umalaya, matumizi ya Bangi/Maddawa ya kulevya, uhalifu, mapenzi ya jinsia moja, ubakaji na kuanza mapenzi katika umri mdogo.
Maana kuna maeneo mtoto wa miaka 12 tu tayari watu wamesharuka naye na kumchakata. Hawasubir akue.
~ Buguruni
~ Manzese
~ Kigogo
~ Tandale
~ Kinondoni
~ Mwananyamala
~ Mburahati
~ Mabibo
~ Temeke
~ Tandika
~ Mbagala
~ Keko Mwanga
~ Keko Magurumbasi
~ Keko Machungwa
~ Buguruni kwa Mnyamani
~ Sinza
~ Tabata
~ Mwenge
~ Magomeni
~ Ilala
~ Ukonga
~ Masaki
~ Mikocheni
~ Oysterbay
~ Mbezi
~ Kuunduchi
~ Tegeta