Ipi ni channel yako pendwa ya YouTube na ni kwanini?

Ipi ni channel yako pendwa ya YouTube na ni kwanini?

Mmh huu Uzi naona wengi mpo duniani huko..naona hata aibu kuweka zangu😂😂

Enwei...za kwangu

Obaapakua skinny(channel ya namna ya kutengeneza vipodozi na nimejifunza mengi mno..huyu mama angekua tz ningempelekea zawadi😊)

Aroma talks(nayo Ni diy channel kwa ajili ya kutengeneza vipodozi vile wanasema organics)

Roberta gym(channel ya mazoezi ..na ukifuatilia mazoezi yao lazima upate matokeo chanya)

Chloe thing (sisi wenye vitambi anatusaudia sana)

Susana yabar (channel ya mazoezi)

Ivonmelda( kwenye hii channel kila siku Nina kipya najifunza..anadeal na utengenezaji wigs na ufungaji vilemba vya Nigeria)😍

Gemmakitchen (channel ya mama wa kizungu..anatengeneza keki za Aina zote.. ice cream vitu vitam tam vyote viko pale)

Holy Spirit connect( channel yenye kuelezea neno la Mungu na huwa nafuatilia maombi ..imenisaidia mno)

Pastor Rose shaboka jr (channel ya neno la Mungu..nayo kwangu ni msaada mkubwa sana

Rukias kitchen(channel ya mapishi..najifunzaga vingi wallah..)

Aroma of Zanzibar( channel ya mapishi)

Mapishi rahisi ( nayo ni channel ya mapishi😋)

Natural herbs( channel yenye kuzungumzia Mambo ya Tiba asili..Yani namna ya kutumia spice kujitibu na magonjwa)

Rose Sharon (channel yenye kutoa mafunzo ya makeup na nimejifunza vitu vingi kwa huyu dada😍 mkenya)

Kuti bari (channel ya kaka wa kihindi ..anafundisha namna ya kutengeneza vifaa ya kuwekea maua ya urembo na vifaa vya kupendezesha Nyumba)

Yudovh essential (channel ya wanadada yenye kufundisha namna ya kutengeneza furniture au urembo wa ndani kutumia malighafi rahisi.)

DIY CEMEnt (channel yenye kufundisha kutengeneza majiko yenye kutumia kuni au mkaa lakini yametengenezwa na cement..jiko langu lipo juani linamalizia ukaukaji😀

Nashukuru channel nyingi Kati ya hizo zimeniletea faida ..🙏

Ngoja niishie hapa kwa leo
 
Mmh huu Uzi naona wengi mpo duniani huko..naona hata aibu kuweka zangu[emoji23][emoji23]

Enwei...za kwangu

Obaapakua skinny(channel ya namna ya kutengeneza vipodozi na nimejifunza mengi mno..huyu mama angekua tz ningempelekea zawadi[emoji4])

Aroma talks(nayo Ni diy channel kwa ajili ya kutengeneza vipodozi vile wanasema organics)

Roberta gym(channel ya mazoezi ..na ukifuatilia mazoezi yao lazima upate matokeo chanya)

Chloe thing (sisi wenye vitambi anatusaudia sana)

Susana yabar (channel ya mazoezi)

Ivonmelda( kwenye hii channel kila siku Nina kipya najifunza..anadeal na utengenezaji wigs na ufungaji vilemba vya Nigeria)[emoji7]

Gemmakitchen (channel ya mama wa kizungu..anatengeneza keki za Aina zote.. ice cream vitu vitam tam vyote viko pale)

Holy Spirit connect( channel yenye kuelezea neno la Mungu na huwa nafuatilia maombi ..imenisaidia mno)

Pastor Rose shaboka jr (channel ya neno la Mungu..nayo kwangu ni msaada mkubwa sana

Rukias kitchen(channel ya mapishi..najifunzaga vingi wallah..)

Aroma of Zanzibar( channel ya mapishi)

Mapishi rahisi ( nayo ni channel ya mapishi[emoji39])

Natural herbs( channel yenye kuzungumzia Mambo ya Tiba asili..Yani namna ya kutumia spice kujitibu na magonjwa)

Rose Sharon (channel yenye kutoa mafunzo ya makeup na nimejifunza vitu vingi kwa huyu dada[emoji7] mkenya)

Kuti bari (channel ya kaka wa kihindi ..anafundisha namna ya kutengeneza vifaa ya kuwekea maua ya urembo na vifaa vya kupendezesha Nyumba)

Yudovh essential (channel ya wanadada yenye kufundisha namna ya kutengeneza furniture au urembo wa ndani kutumia malighafi rahisi.)

DIY CEMEnt (channel yenye kufundisha kutengeneza majiko yenye kutumia kuni au mkaa lakini yametengenezwa na cement..jiko langu lipo juani linamalizia ukaukaji[emoji3]

Nashukuru channel nyingi Kati ya hizo zimeniletea faida ..[emoji120]

Ngoja niishie hapa kwa leo
Hata usione aibu mkuu, channel uzipendazo ziko bomba sana tu.
 
2021_02_11_21.04.58.jpg
2021_02_11_21.05.19.jpg
 
Hivi kuna ma youtuber wakorofi kama hawa TOPNOTCH??😂😂
 
1. Christian Prince
2. Rob Christian
3. Arabian Prophet
Hizo ndo zinanimalizia bando! Hasa hiyo yakwanza
 
1.Cenecom.net
Anatoa tutorial za video editing

2. Mustard
Historical Documentary
3. Newzfid
Kibongo bongo hii ni namba Moja kwangu

4.Dane calloway
Jamaa ni black American ,makala zake anapinga kwamba black Americans hawajatoka Africa ,na proof zake ameweka .

5.ERB
😃 Rap battle za waraisi ,watu maarufu n.k

6.watchmojo
7. movie trailer source
8. Simuliz na sauti
9. Marques brownlee
King of unboxing & reviews

10.muchdank
😃😃 Huyu mjinga anazifanyia edit interview za waasanii na kuzifanya comedy

List ni nyingi mno
 
@gigaovgod nakubal sana hii chanel jamaa huyu ni real ninja kwa wale watu wa mazoez ya gym hapa nd pke
 
Marquees Brownie naona jamaa anaingizampunga sana kwenye channel yake. Muda mwingine anashirikiana na MrWhoseTheBowse kufanya review za simu. Mimi nampend zaidi MrWhoseTheBowse
Kuelewa kingereza ni deal kubwa sana mkuu kwa sababu unapata connection nyingi zaidi mfano blogger anaefundisha kwa lugha ya kiswahili huwa anapata traffic (watembeleaji) wachache kuliko blogger anaetumia kingereza mtandaoni asilimia 10 ni kiswahili but 90% iliobaki ni lugha tamu ya kingereza..
 
My best five channels on youtube is this here..

1. SnashTz
huyu jamaa anafanya review na unboxing ya simu mbalimbali ni mtu pekee ambae anakwambia kuhusu technology kwa lugha nyepesi ya kiswahili hashtag ya nguvu anasema #TechInSwahili

2. Joel nanauka
hii ni channel yangu pendwa kabisa nimekua mtu wa tofauti kuanzia nidhamu ya fedha, kujenga nidhamu, kutokukata tamaa, kuishi na watu vizuri, kufikia ndoto zako, ratiba ya kutumia mitandao ya kijamii na mengine mengi..

3.Succses Parth Network
hii ni channel kama ya joel_nanauka ni nzuri pia kwa kujifunza
mambo ya kimaisha za hapa na pale

4.Tanzania Tech
hii ni channel ya habari inayohusu kompyuta simu laptops tablets games na programu mbalimbali na jinsi ya kutengeneza pesa mtandaoni kiukweli sijutii kuijua website ya tanzania tech Ijaribu leo..

5.Poatel
channel hii ni bomba sana kwa mtu anaetaka kujua sifa za ndani na bei halisi ya simu husika huyu jamaa anachambua
A to Z utampenda sana kama unapenda kujifunza technology..
 
Back
Top Bottom