Ipi ni dawa kwa mpenzi anaekuwa active kwenye mawasiliano pale tu unapomuahidi pesa?

Kijana lengo la mada ni kuonyesha salio la bank la mzee wako naona kakutuma umeona bora ujifanye ila tafuta hela jf huwez pata mchumba kwa stail hiyo
 
Akija geto mtumie elf 50 kwenye simu yake kumlainisha atoe mzigo.
Akimaliza kukupa mbususu akiondoka tu unarudisha muamala.
 
Kijana lengo la mada ni kuonyesha salio la bank la mzee wako naona kakutuma umeona bora ujifanye ila tafuta hela jf huwez pata mchumba kwa stail hiyo
Kuku kweli wewe, njoo nikuoneshe live kama huamini hiyo ni akaunti yangu.
 
Naunga mkono hoja mkuu!!!

 
Hiyo hua ni kawaida hata masela wengine wapo hvo sio wanawake tu, sema kwa wanawake inakera kwa sababu unaona kama umewekwa department ya finance na Kuna mwana anakua na free access ya mbu...us us.
 
Ni wengi tu tunawekwa hapo sema ni either hatujui au tunachelewa kujua.

Tengeneza mapenzi ya win win situation, akupe mzigo umhudumie akileta fyoco unatembea mbele hamna mda wa kubembelezana ktk dunia hii ya kibepari
Sio kujikataa mapema? 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…