Ipi ni dawa kwa mpenzi anaekuwa active kwenye mawasiliano pale tu unapomuahidi pesa?




Una matatizo, ungeweza mwambia tu hapana, uadui na visasi vya nini? Huyo utampa hiyo hela na huna ubavu wowote
 
Una matatizo, ungeweza mwambia tu hapana, uadui na visasi vya nini? Huyo utampa hiyo hela na huna ubavu wowote
Nipo nimekaa paleeee ........subiri uone kama nitampa, labda dunia igeuke juu chini chini juu.
 
Sasa mkuu tofauti yako na sisi wanunuzi ni ipi??!! Piga chini huyo nyonya damu au muingie makubaliano mapya kwamba utalipia tu huduma yake ya ngono so a set price yake, ikiwa ndani ya uwezo wako mnaendelea kwa terms and conditions mpya. Hii itakuweka huru zaidi na hata kukupunguzia gharama zisizo na ulazima kama zile za gesi imeisha, ninunulie luku, baba mgonjwa nk. Wake up mzee. Wauzaji ni wengi
 
utakuta mtu join since 2009 afu kwenye uzi kaandika

(guys nipo na binti mmoja iv sasa naona kam n kausha damu)

umeanza kumiliki cm toka watu tupo la 4 afu adi leo hujaoa

[emoji23][emoji23]chai ya mpera

acha ukaushwe tu

(JOKES)
 
hiyo ni ishara ya wazi kwamba huyo mwanamke hakupendi. Ikitokea umefulia kabisa, hatakuwa na habari na wewe. Achana nae.
 
Sasa unajitangaza your small miner in this game watu bro wanahela mbaya sana huwezi sema ml 20 ni za kuscreen short hivyooo . Watu wanamkwanja watu mita zao za pesa zina soma $dollars aise. Hongera zao
 
Makahaba wa siku hizi hawajitangazi wala kusimama barabarani, wanatumia tu sura ya mahusiano kama kichaka cha kufanyia ukahaba wao.

Usimpe hela mle akatafute wajinga wenzake mbele ya safari.
 
Ni app gani ya simbank inafaa kuscreenshot mana zangu haiwezekani hata ya mpesa tu haifai.
Anyway mpe ahadi ya pesa ndo dawa ya kufanya muendelee kuwasiliana boss.
Crdb nadhani inakubali sina uhakika lakini.
 
Watu kama wewe wanawake huwa wanawaita ''mabuzi''. Yaani ni wanaume ambao wanakuwa na uhusiano nao kwa sababu kupata fedha tu. BTW kuna wanaume wakijua wanafanyiwa hivi wanaamua kugonga tigo kabisa ili wawakomoe.
Dah basi ndio maana wadada wengi miaka hii usalama mdogo.
 
Mkuu huyo wako yupo kama wangu tabia zao zina fanana, Yeye akiwa na shida ndiyo ana nitafuta na kupokea simu na kujibu sms Zangu, Sasa nikimtumia pesa tu kesho yake ukituma sms halibu na ukimpigia hapokei simu, Sasa kuna siku nilimwambia nitamtumia pesa kesho
Dawa ni kuoana.
Mwanamke hataki ndoa ila anataka kuhudumiwa mfano wa mke.
 
We ni matako kweli, soma vizuri huo uzi halafu uone kama kuna sehemu nimesema nahitaji tena K yake.......Huna akili kabisam

We ni matako kweli, soma vizuri huo uzi halafu uone kama kuna sehemu nimesema nahitaji tena K yake.......Huna akili kabisa
Mkuu huyo amekurupuka wewe hujamuomba penzi wala hujaanza kumtafuta kwakifupi ukuwa na shida nae, Huyo demu ndiyo anatakiwa ate penzi ili apate lakini na siyo wewe utoe pesa kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…