Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Kariakoo mitaa ya msimbazi ukishapita sheli ya bigbon..... Mbele kule....Toyota wapo wapi mkuu hapa dsm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo mitaa ya msimbazi ukishapita sheli ya bigbon..... Mbele kule....Toyota wapo wapi mkuu hapa dsm
Ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] yaani hapo kwenye dictionary ya jamaa ni kama amesema matunda yana vitamini nyingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji85][emoji85]
JF kuna raha..
Kabisa mkuu!Kuna siku nilikuta vijana wanapakia haya makopo ya oil kwenye Lori wakawa wanasema kuwa wanaenda kujaza oil fake za kusambaza madukani.Vijana wa vijiweni wakawa wanawatania kuwa ni task force!Mkuu asilimia 90% ni figure kubwa sana?Are you sure about this?
Ukitembe uwe unatazama tazama kuwa kama mteja anatafuta bidhaa.Sijawai jua kama pale msimbazi kuna ofis za Toyota
Ndio ipi hiyo hebu tupe jina..... Last time nimecheki pb ndio puma ya sasa, Puma wamefanya acquisition ya sheli zote zilizokuwa za BP zamani.wakuu vipi kuhusu oil ya BP?
Ni OIL fake au ni OIL za dili?Ninchojua mim ni kwamba kuna OIL nyingi za DILI ambazo watu wanatoka na Mapipa Viwandani na kutaka kuuza kwa lita ndogondogo na wanatafuta madumu ya dili wanaenda kujaza.Sijui kama kuna OIL fake parse.Ila nafikir wataalamu wa kupima ubora wa OIL wanaweza kutasaidia ufeki wa oil unakuwaje?Ni kwamba kuna kiwanda kinazalisha substandard OILs au ni OIL chafu zinajazwa upya kwenye Chupa na Kuuzwa upya.Au kuna namna ya kusafisha OIL iliyotumika na kuirudisha SOKONIKabisa mkuu!Kuna siku nilikuta vijana wanapakia haya makopo ya oil kwenye Lori wakawa wanasema kuwa wanaenda kujaza oil fake za kusambaza madukani.Vijana wa vijiweni wakawa wanawaita kuwa ni task force!
Aaaaah sio sana uoga tu. Sasa unakuta imezidi shillingi ngapi kwani basi hata ukiuliza.... Inakuwa sio bei kihivyo kama watu wanavyopiga kelele.Ila bei zao zimechangamka
Kupenda gharama nafuu halafu kitu au huduma iwe quality......Dunia ina maajabu yake walahi!Sasa mbona wenye magari huwa wanalia kila siku gari zao kuharibiwa na mafundi wapiga nyundo wale wa chini ya miembe?!
Duka..... Duka la bidhaa sio workshop....Kariakoo ni garage au shop?
Yeah exactly.... Mitaa ya nyerere road.....Kariakoo ni shop. Karakana yao ipo Nyerere/Pugu road, karibu na reli inapokatiza barabara.
Ipo mitaa ya Pugu road kule...Hivi Toyota wana garage zao pia?
Oil fake ni kwamba oil ya bei rahisi kama SAE40 inajazwa kwenye makopo ya 5W-30 na kuanza kuuzwa ghali.Kwa hiyo wewe mteja unauziwa oil ya 5W-30 gali kisha unaenda kuweka kwenye gari yako unayoipenda kumbe umeweka SAE40!Ni OIL fake au ni OIL za dili?Ninchojua mim ni kwamba kuna OIL nyingi za DILI ambazo watu wanatoka na Mapipa Viwandani na kutaka kuuza kwa lita ndogondogo na wanatafuta madumu ya dili wanaenda kujaza.Sijui kama kuna OIL fake parse.Ila nafikir wataalamu wa kupima ubora wa OIL wanaweza kutasaidia ufeki wa oil unakuwaje?Ni kwamba kuna kiwanda kinazalisha substandard OILs au ni OIL chafu zinajazwa upya kwenye Chupa na Kuuzwa upya.Au kuna namna ya kusafisha OIL iliyotumika na kuirudisha SOKONI
Mmmmmmhmn Castrol, bro unaijua liquimoly ile ya wajerumani sijui?!Mkuu,Lubricants ni Kama Petrol,Unanuna kwenye sheli moja kwa bei kubwa na sheli nyingine kwa bei ndogo.Unachotakiw akufahamu ni gari lako linaenda masafa kiasi gani kwani huo ndio msingi wa kuamua utumia lubricant ya aina gani otherwise Zote ni nzuri ingawa kwa sokoni Castrol kwa sasa iko Juu in terms of BEI ingawa kwa ubora Naona zote ni sawa tu.
Ushauri wangu,Tumia Castrol,Utajisikia amani zaidi
Naijua ila sijaitumia.Unaweza kunipa sifa zake hapaMmmmmmhmn Castrol, bro unaijua liquimoly ile ya wajerumani sijui?!
[emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28]Nilicheka sana..Ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] yaani hapo kwenye dictionary ya jamaa ni kama amesema matunda yana vitamini nyingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Maelezo yameshiba5w30 is a motor oil that is widely used in light-duty petrol and diesel engines. ... The “W” stands for “winter,” the number preceding it indicates the oil's viscosity (or thickness) at low temperatures (hence the W), and the number after it indicates viscosity at higher temperatures, when the engine is running.
Multigrade oils must fulfill two viscosity specifications, their viscosity grade consists of two numbers, e.g. 10W-40: 10W refers to the low-temperature viscosity ("Winter"), 40 refers to the high-temperature viscosity ("Summer").
Multigrade oils are engine oils which can be used in a wide temperature range. The oils are flowable in cold conditions and can lubricate the engine reliably. ... The first number "5w" stands for winter suitability up to a certain temperature and the second number "30" for a specific viscosity at 100 °C.
Monograde oils are defined according to their cold viscosity (for example, VICAM SPECIAL SAE 10W) or their hot viscosity (VICAM SPECIAL SAE 40). There are special monograde oils for either hot or cold applications, in contrast to multigrade oils which are suited to both hot and cold operation.
Mkuu,Lubricants ni Kama Petrol,Unanuna kwenye sheli moja kwa bei kubwa na sheli nyingine kwa bei ndogo.Unachotakiw akufahamu ni gari lako linaenda masafa kiasi gani kwani huo ndio msingi wa kuamua utumia lubricant ya aina gani otherwise Zote ni nzuri ingawa kwa sokoni Castrol kwa sasa iko Juu in terms of BEI ingawa kwa ubora Naona zote ni sawa tu.
Ushauri wangu,Tumia Castrol,Utajisikia amani zaidi
Ukitembe uwe unatazama tazama kuwa kama mteja anatafuta bidhaa.
Wapo kariakoo pale ukitoka huku msimbazi unaelekea kule mataa ya fire upande wa kulia kwako.
HakunaNi sheli ipi ambayo hawachakachui mafuta?