Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
 
Serikali izuie watoto wa kike wanaokuja Dar es salaam au miji Mikubwa bila kazi maalumu. Kwa Dar wengi wanawake wa mikoani ndio wanauza. Halafu wanawadanganya mama zao eti wanafanya kazi hotelini pumbavu zao.
 
Mwanamke wa Tanzania ukimwambia achague kujifunza ufundi na kufanya ukahaba atachagua hilo la pili! Why? Kwa sababu ni njia rahisi ya kupata pesa. Na Kwa kuwa wanawake sio viumbe wa kufikiri, kukomesha ukahaba kwenye jamii ni jambo lisilowezekana
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Iendelee tu
 
Ukimfunza kijana mmoja wa kiume maadili, unaokoa mabinti kumi.
Lakini ukimfunza binti mmoja maadili basi unaokoa kijana mmoja wa kiume.
1=10
1=1
Binafsi naamini jamii bora iko mikononi mwa wanaume jasiri na bora.
Wanaume ndio watawala wa dunia hii
 
Hii kitu huwezi izuia ikiwa serikari ya aina hii ya kinyonyaji isiyo jali maslahi ya Wana nchi.
Chanzo Cha ukahaba ni uhaba wa Ajira na Elimu yenye manufaa kwa vijana na Jamii kwa ujumla.
Imagine mtoto anasoma miaka 12 (shule msingi mpaka secondary) na hapo anatoka secondary na miaka 17-20 akiwa hana Fani yeyote ile aliyo ipata kwenye hiyo miaka.

Na hapo kuna mawili ku'fail au kufaulu na akifaulu kuendelea ajira hamna. Na aki fail ndo ameishia hapo so mtoto anakosa direction Moja kwa Moja, ukichangia na Yale maneno unakuta anaambiwa pia wazazi unakuta hawana Options nyingne zaidi ya kukwambia alime au kuoa/kuolewa, hapo ndo unakuta watoto wengi wanakimbia makwao wanaingia mjini kutafuta kazi, wengi wanaishia Kuwa ma barmaid na wengine Madanga , vijana wa Kiume kujiingiza kwenye makundi mabaya kwa ajili ya kujipatia ridhiki.

Swali, Je! Serikari imejipangaje kuwa push au kiwainua au kuwawezesha wale walio fail masomo yao ya O 'level au S/msingi Ili wapate kujiajiri pamoja na kujiinua kiuchumi? Lakini pia hapo hapo serikari imejipangaje kupambana na wimbi la uhaba wa Ajira kwa vijana ambapo chanzo kikubwa Cha Madanga na bishara ya ukahaba?

Kuwakamata na kuwapiga faini nadhani siyo solution kwa sabab Bado Kuna vizazi vingine vinakuja so kutumia nguvu kubwa kupambana hawa badala yake tutengeneza tiba ya kudumu kwa kuboresha mitaala ya Elimu lakini pia kuwatengezea vijana mazingira wezeshi ya kulikomboa kiuchumi.

Mm Nafikiri Serikari ikitengeneza mazingira wezeshi hizo biashara zitapungua kama siyo kuisha kabsa.
 
Hakuna anaye weza kutokomeza hii kitu. Labda wanaume wahasiwe🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Hakuna anaye weza kutokomeza hii kitu. Labda wanaume wahasiwe🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Kufanya hivyo ni sawa na mauwaji ya halaiki tunatokomeza kizazi kizima

Any way kwanini tufanye hivyo hakuna mbadala?
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Kwenye watu wengi huwezi kukomesha wizi ila unaweza kudhibiti wizi
 
Back
Top Bottom