Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Hakuna kurudi nyuma, ndio watajiuza na watanunua as days go kuliko zamani.

Kama unavyoona nauli ya daladala once ilikuwa shilingi tano(dala), ikaongezeka hadi leo 600, haturudi nyuma..the world isn't reversing at all.
Tunaweza tusirudi nyuma ila tukapunguza kasi, hata hizo nauli watu walilalamika ni vile tu basi serikali yetu sio sikivu

Haya mambo yakizidi yatabisha hodi kwa kila familia ikiwemo mimi na wewe vipi mkuu hulioni hili?
 
Mkuu kuna wengine wanaojiuza kwao zipo zipo na hawa tuwaweke kwenye kundi gani
Mkuu wa aina hiyo huwezi wakuta kwenye madanguro, aidha kama watakuwepo ni Wachache sana. Nadhani hapa tupambane na haya madanguro tukifanikiwa kukomesha tutakua tumeokoa Jamii kwa kiasi fulan.

Maana haya madanguro ndo kwa kiasi kikubwa Yanaharibu Jamii yetu na mengine unakuta yamefunguliwa mpaka kwenye makazi ya watu, so unaona kabsa kwa kiasi kikubwa yanachangia kuharibu maadili kwa watoto wetu na Jamii kwa ujumla.
 
Mkuu wa aina hiyo huwezi wakuta kwenye madanguro, aidha kama watakuwepo ni Wachache sana. Nadhani hapa tupambane na haya madanguro tukifanikiwa kukomesha tutakua tumeokoa Jamii kwa kiasi fulan.

Maana haya madanguro ndo kwa kiasi kikubwa Yanaharibu Jamii yetu na mengine unakuta yamefunguliwa mpaka kwenye makazi ya watu, so unaona kabsa kwa kiasi kikubwa yanachangia kuharibu maadili kwa watoto wetu na Jamii kwa ujumla.
Wakishua wanajiuza mtandaoni na madau yao ni yakishua ivo ivo

Kuna mkuu hapo juu kasema tukiacha kununua hayo madanguro yatakauka automatically
 
Upande wa wanawake(japo sio wote) wanaona sababu ni wanaume kuendelea kuwanunua hao mabinti ndio maana wanaendelea kuwepo hapo wewe unaona ina mashiko hii hoja!
Sio kweli saingine wanakosa wateja maana wapo Kama wote. Wengine wanatafuta hela ya nauli warudi makwao. Masikini wengine wasio jitambua wanabeba mpaka mimba isiyo na baba
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Irasimishwe na kutengewa maeneo malumu kabisa.
 
Mimi naona niwatu kuepuka kuzaa kiholela,kuzaa bila mipango!watoto mwisho wanakosa mwelekeo nibora usizae kabisa kuliko kuleta kiumbe ambacho hujakiandalia maisha yake yabaadae maana serikal haitakaa imtengenezee mtoto wa mtu maisha bora,sasa unapambana kutotoa kila leo kwamba ndo sifa wakati hao watoto future yao huijui mtoto anatim 20 age fixed account anaiskia kwa watoto wa vigogo na bado mzazi unamtegemea akulishe!! Ninin atafanye kuokoa familia iliyonyuma yake zaid ya ukahaba!!wizi wa mitandao nk
Hata waliozaliwa kwampangilio wapo ambao Hawana maadili
 
Sasa kibaolojia mwanaume miaka 20 hadi 40 anayekula vizuri anahitaji kushusha mzigo, ashushie wapi? Au aoe? Kama hajawa tayari kuwa na familia je?? Biashara hii inaweza kupunguzwa na sio kuimaliza kabisa
 
Sasa kibaolojia mwanaume miaka 20 hadi 40 anayekula vizuri anahitaji kushusha mzigo, ashushie wapi? Au aoe? Kama hajawa tayari kuwa na familia je?? Biashara hii inaweza kupunguzwa na sio kuimaliza kabisa
Watongoze wawe na mahusiano ya kudumu

Madomo zege wengi ndio wanunua malaya
 
Lengo la kurasimisha ni nini
Hii biashara haiwezi kumalizwa, kinachofanyika ni unafiki na kubwabwaja tu. Iwekewe utaratibu rasmi, watoa huduma wasajiliwe na wakae kwenye maeneo maalumu ili wateja wawatembelee huko na kumaliza haja zao. Iwe ni marufuku kwa watoa huduma kujianika ovyo ovyo mitaani na mabarabarani. Watoa huduma wahakikishiwe mazingira rafiki na salama ya kutolea huduma.
 
Hii biashara haiwezi kumalizwa, kinachofanyika ni unafiki na kubwabwaja tu. Iwekewe utaratibu rasmi, watoa huduma wasajiliwe na wakae kwenye maeneo maalumu ili wateja wawatembelee huko na kumaliza haja zao. Iwe ni marufuku kwa watoa huduma kujianika ovyo ovyo mitaani na mabarabarani. Watoa huduma wahakikishiwe mazingira rafiki na salama ya kutolea huduma.
Lengo la kurasimisha ni nini mkuu ndio swali langu

Huwa tunafanya vitu kwa malengo
 
Lengo la kurasimisha ni nini mkuu ndio swali langu

Huwa tunafanya vitu kwa malengo
Kama mpaka hapo hujaona lengo la kurasimisha basi acha nikatafute kande plus parachichi nijaze tumbo kwanza. Kwani title ya uzi inasemaje? wewe una maoni gani kuhusu hiyo title?
 
Kama mpaka hapo hujaona lengo la kurasimisha basi acha nikatafute kande plus parachichi nijaze tumbo kwanza. Kwani title ya uzi inasemaje? wewe una maoni gani kuhusu hiyo title?
Raha ya bange ni kupata mzuka popote huwezi kurasimisha bange halafu utuambie tukavutie chooni

Hata ukahaba ndio ulivyo sometimes soko gumu uje uwaambie watu wawe na maeneo maalum hiyo kitu haiwezekani ni sawa na kumtoa machinga kariakoo kwenye wateja umpeleke jangwani
 
Back
Top Bottom