Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Huyo wa kushare ni malaya sio demu, demu hana gharama at all
Wewe itakuwa bado mtoto mdogo..hata mke ndani ya ndoa anagharama sembuse demu..msijidanganye....ulizeni wenye ndoa..
Au hamfuatilii wanaopinga ndoa..kataa ndoa...??Point yao kubwa ni nini??Mwanaume anakuwa exploited wakati mke au mwanamke anakula kwa mtelezo...
Msijidanganye kupigwa vizinga na wanawake hakuepukiki..mpaka siku unaingia kaburini..ndo uanaume huo
 
Wewe itakuwa bado mtoto mdogo..hata mke ndani ya ndoa anagharama sembuse demu..msijidanganye....ulizeni wenye ndoa..
Au hamfuatilii wanaopinga ndoa..kataa ndoa...??Point yao kubwa ni nini??Mwanaume anakuwa exploited wakati mke au mwanamke anakula kwa mtelezo...
Msijidanganye kupigwa vizinga na wanawake hakuepukiki..mpaka siku unaingia kaburini..ndo uanaume huo
Itabidi tupige sensa tuone kati ya walio kwenye mahusiano ya kudumu na wanaonunua malaya nani wanatumia gharama kubwa per month tuone
 
Kuna vitu hata visitupe presha..ukahaba,upo,ulikuwepo, utakuwepo mpaka milele...
Ni mambo yapo ndani ya asili ya mwanadamu...ngono/tendo la ndoa n.k.
Kuhangaika kutokomeza ukahaba ni sawasawa na kuhangaika kutokomeza uongo, fitina, wivu, utapeli, wizi, ujambazi n.k..as long as ni binadamu haya mambo yataendelea kuwepo tu..hata watu wafungwe 1000 years....Tofauti tunaweza tukacontrol madhara ya ukahaba na kiwango cha ukahaba kwa kutibu source..why watu wanafanya ukahaba...?? Itapunguza, haitamaliza..
Zaidi kuhimiza safe sex...na wajue madhara ya ukahaba kama magonjwa n.k.
Tukiweza kupunguza pia ni hatua nzuri
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Bila picha na takwimu hatuamini kama kuna ongezeko. Makahaba ni bora mara mia wawepo ila mashoga ndo iwe vita ya chini kwa chini kuhakikisha wanaisha.
 
Bila picha na takwimu hatuamini kama kuna ongezeko. Makahaba ni bora mara mia wawepo ila mashoga ndo iwe vita ya chini kwa chini kuhakikisha wanaisha.
Unaipendelea jinsia yako wewe unadhani hao makahaba wenyewe wanapenda au watu wa jinsia ke wanafurahi kuona ke wenzie wanajiuza am not sure
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Biashara ikikosa wateja lazima ife
 
Wewe itakuwa bado mtoto mdogo..hata mke ndani ya ndoa anagharama sembuse demu..msijidanganye....ulizeni wenye ndoa..
Au hamfuatilii wanaopinga ndoa..kataa ndoa...??Point yao kubwa ni nini??Mwanaume anakuwa exploited wakati mke au mwanamke anakula kwa mtelezo...
Msijidanganye kupigwa vizinga na wanawake hakuepukiki..mpaka siku unaingia kaburini..ndo uanaume huo
Et Demu anacost yan saiv kuingia kwenye relationship ni cost aiepukiki.we ujiulizi kwann vijana wengi wa kislamu wameoa kuliko vijana wakiristo.
 
Back
Top Bottom