Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Malay ni bk 5.demu hiyo c ya kusukia,bd vocha ...etc
Nilikuwa na demu ana malengo balaa hata ukimpa pesa akatafute mahitaji yake anairudisha anakupa mipango mingine ya biashara na kujenga bajeti za kufa mtu

Ukiona demu anakupiga vizinga visivyoeleweka hana malengo na wewe au wewe huna malengo nae
 
Nilikuwa na demu ana malengo balaa hata ukimpa pesa akatafute mahitaji yake anairudisha anakupa mipango mingine ya biashara na kujenga bajeti za kufa mtu

Ukiona demu anakupiga vizinga visivyoeleweka hana malengo na wewe au wewe huna malengo nae
Sasa hao ni wachache.
 
Ukahaba ni taaluma ya kale hata kabla ya manabii.

Prostitution inaweza kua observed hata kwa wadudu na ndege.

Hakuna namna hii taaluma itafutika. Labda iwe regulated
 
Upande wa wanawake(japo sio wote) wanaona sababu ni wanaume kuendelea kuwanunua hao mabinti ndio maana wanaendelea kuwepo hapo wewe unaona ina mashiko hii hoja!
Swali fikirishi kwanini wanaume wananunua? Kununua Ndiyo kuna shawishi tena wengine wanatoa pesa nyingi li wawazidi kete wengine hata hivyo wanacho kwenda kukutana nacho duu ngoja niishie hapo nisije nikachafua Hali ya hewa
 
Nzi pamoja na hasara zake ana faida ya kupunguza msongamano wa watu duniani.
Vile vile ukkahaba pamoja na hasara zake, una faida ya kuwasaidia domo ,ege kupata utamu pasipo kuaibika
Kijana anashindwa kuelewa namna wanatusaidia sisi wenye mdomo mzito
Ila nje ya wale wanaojianika barabarani wapo wanawake wazuri ila wana wanaume wengi nao ni kundi hilo hilo tu 😁😁
 
Back
Top Bottom