Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Wote wanyang'anywe vifanyio na vitunzwe museums!
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Hyo biashara ilikuwepo tangia kipindi cha Yesu kristo haiwezi kuisha kamwe
 
Hiyo kazi ipo duniani kabla hata Mwokozi hajazaliwa mkuu
Utandawazi umefanya ionekane ongezeko ila sisi wa kitambo tunaijua muda enzi za SLP
Nzi pamoja na hasara zake ana faida ya kupunguza msongamano wa watu duniani.
Vile vile ukkahaba pamoja na hasara zake, una faida ya kuwasaidia domo ,ege kupata utamu pasipo kuaibika
 
Tunaweza tusirudi nyuma ila tukapunguza kasi, hata hizo nauli watu walilalamika ni vile tu basi serikali yetu sio sikivu

Haya mambo yakizidi yatabisha hodi kwa kila familia ikiwemo mimi na wewe vipi mkuu hulioni hili?
Hadi hapa tulipo hatuwezi kutatua chochote mkuu, ingia fb, x, badoo, tinder nk ndio utanielewa. Malaya wanakuwa requested kama bidhaa, no way utaweza hata kupunguza tatizo.
 
Nani anawadanganya ninyi?Ukiona huwezi kuwa na mwanamke mmoja ujue wewe ndiyo tatizo lenyewe.Unashindwaje kukaa na kiumbe unachokizidi akili?
Sasa nakaa na mwanmke mmoja ili nigundue nini? Am an explorer mate....wacha tuone hizi chupi vimeficha dhahabu gani. Wee kila leo mbususu hiyo hiyo aise mbona maisha boring kinoma.
 
Kuna vitu hata visitupe presha..ukahaba,upo,ulikuwepo, utakuwepo mpaka milele...
Ni mambo yapo ndani ya asili ya mwanadamu...ngono/tendo la ndoa n.k.
Kuhangaika kutokomeza ukahaba ni sawasawa na kuhangaika kutokomeza uongo, fitina, wivu, utapeli, wizi, ujambazi n.k..as long as ni binadamu haya mambo yataendelea kuwepo tu..hata watu wafungwe 1000 years....Tofauti tunaweza tukacontrol madhara ya ukahaba na kiwango cha ukahaba kwa kutibu source..why watu wanafanya ukahaba...?? Itapunguza, haitamaliza..
Zaidi kuhimiza safe sex...na wajue madhara ya ukahaba kama magonjwa n.k.
 
Back
Top Bottom