Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Mkuu kazi ya ukahaba ni ngumu sana wanaofanya wamejitoa hasa ni wazi hawana options
Ni wajibu wa serikali kuangalia kiini cha tatizo na kutoa sulihisho lenye tija kama kweli kuna ongezeko kiasi hicho serikali wakae nao waongee nao kujua elimu zao ujuzi walionao hii itasaidia sana kujua nini kinapelekea kufanya hiyo biashra na kuja na mwarobaini wa kudumu..japo hilo haliwezekani hata kwa 50%
Kabisa mkuu hii biashara kuisha ni mziki kwa mataifa yetu yakiafrika mana umaskini upo juu sana sasa kama tu kwa mataifa yaloendelea tu hali hii ipo bado tutaweza sisi huku.

Serikali itapunguza tu na itawasaidia wale ambao wamekosa ajira ila kwa wale wanafanya kwa hulka binafsi ni ngumu sana.
 
Kabisa mkuu hii biashara kuisha ni mziki kwa mataifa yetu yakiafrika mana umaskini upo juu sana sasa kama tu kwa mataifa yaloendelea tu hali hii ipo bado tutaweza sisi huku.

Serikali itapunguza tu na itawasaidia wale ambao wamekosa ajira ila kwa wale wanafanya kwa hulka binafsi ni ngumu sana.
Ngumu sana mana kuna wenye shida kuna ambao kwao ni tabia kuna wale wanatafuta mitaji na kuna makahaba ambao hawa ataumweke ndani ataenda tu.
 
Ngumu sana mana kuna wenye shida kuna ambao kwao ni tabia kuna wale wanatafuta mitaji na kuna makahaba ambao hawa ataumweke ndani ataenda tu.
Hii biashara kuisha kwake ni matokeo hasi kwa baadhi ya wahusika tena hapa hata mimi kuna mdada namfahamu aliacha hii biashara baada ya kumkuta na sasa kaolewa na mmoja alokuwa mteja wake.
 
Wawekewe mazingira mazuri ya biashara zitakusanywa kodi za kutosha
 
Back
Top Bottom