Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ni kuwa tunakwepa ukweli ila suala la maadili sio suala la hiyari ni lazima nguvu itumike

Kuna wakati kijana akiingia kwenye adolescent aga hashikiki hapa kama yupo kwenye familia legelege anapotea mazima
Ni kweli Kuna muda wazazi ni muhimu sana kufwatilia mienendo ya kijana kipindi Cha ukuaji maana ni kipindi hatari sana
 
Ni kweli Kuna muda wazazi ni muhimu sana kufwatilia mienendo ya kijana kipindi Cha ukuaji maana ni kipindi hatari sana
Kabisa changamoto ni kuwa wazazi wanalea kisasa siku izi mtoto nae ana haki zake za kujiamulia future yake

Kwa hao walioharibika tayari ni serikali tu inaweza kuwarekebisha tofauti na hapo hamna mbadala addiction ni mbaya sana
 
Kabisa changamoto ni kuwa wazazi wanalea kisasa siku izi mtoto nae ana haki zake za kujiamulia future yake

Kwa hao walioharibika tayari ni serikali tu inaweza kuwarekebisha tofauti na hapo hamna mbadala addiction ni mbaya sana
Tatizo kubwa sana maana hata serikali inaonyesha kuzidiwa na mmong'onyoko wa maadili kila kukicha yanazaliwa mapya
 
Kijana anashindwa kuelewa namna wanatusaidia sisi wenye mdomo mzito
Ila nje ya wale wanaojianika barabarani wapo wanawake wazuri ila wana wanaume wengi nao ni kundi hilo hilo tu 😁😁
ah kabisa yaani. kwanza ashukuriwe aliyekuja na dating appas kama tinder, tagged na badoo. amerahisisha ambo kinomaaaaa🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kuna wengine wanauza indirect, ndio maana ni wanaume wachache sana ambao hawaja wahi kununua mwanamke, wengi kupitia mahusiano tushanunua malaya either direct or indirect.

Ubaya kuna baadhi ya wanawake wanawauzia indirect waume zao mpaka kwenye ndoa,ndio maana ndoa nyingi zikipitia changamoto za kiuchumi,ndoa inakuwa na asilimia kubwa ya kuvunjika.
 
Tatizo kubwa sana maana hata serikali inaonyesha kuzidiwa na mmong'onyoko wa maadili kila kukicha yanazaliwa mapya
Watunge tu sheria za faragha ambazo haziumizi ila zenye lengo la kuzuia au kupunguza ukahaba,

Maisha hayajawahi kuwa rahisi hata huko ughaibuni maisha yameboreshwa kwa wananchi ila ukahaba upo wa kutosha

Ukahaba ni tabia sio ugumu wa maisha, kuna njia nyingi za kupambana na maisha sio kuwa malaya
 
Watunge tu sheria za faragha ambazo haziumizi ila zenye lengo la kuzuia au kupunguza ukahaba,

Maisha hayajawahi kuwa rahisi hata huko ughaibuni maisha yameboreshwa kwa wananchi ila ukahaba upo wa kutosha

Ukahaba ni tabia sio ugumu wa maisha, kuna njia nyingi za kupambana na maisha sio kuwa malaya
Umenena mkubwa
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Soma kisa cha Yuda na Tamari ndani ya biblia halafu utwambie kinafundisha nini?
 
Chanzo ni Ufukara uliopitiliza na umasikini, 50% ya Wananchi wanaishi Chini ya Mstari wa umasikini unategemea nini?
Nakubaliana na wewe ila kuna nchi wananchi wake hawana umasikini kama wa kwetu lakini ukahaba upo palepale

Nina hofu hata ukiwaneemesha wananchi wote bado ukahaba utakuwepo labda vinginevyo
 
Kuna wengine wanauza indirect, ndio maana ni wanaume wachache sana ambao hawaja wahi kununua mwanamke, wengi kupitia mahusiano tushanunua malaya either direct or indirect.

Ubaya kuna baadhi ya wanawake wanawauzia indirect waume zao mpaka kwenye ndoa,ndio maana ndoa nyingi zikipitia changamoto za kiuchumi,ndoa inakuwa na asilimia kubwa ya kuvunjika.
Mkiacha kununua biashara itakoma according to member hapo juu
 
Watunge tu sheria za faragha ambazo haziumizi ila zenye lengo la kuzuia au kupunguza ukahaba,

Maisha hayajawahi kuwa rahisi hata huko ughaibuni maisha yameboreshwa kwa wananchi ila ukahaba upo wa kutosha

Ukahaba ni tabia sio ugumu wa maisha, kuna njia nyingi za kupambana na maisha sio kuwa malaya
Chanzo sio tabia nakupinga, chanzo cha ukahaba ni Ufukara uliopitiliza na umasikini usioshikika masikini wengi ndio makahaba huwezi kumkuta mtoto wa kibopa eti anafanya ukahaba, cha Msingi watengenezee watoto mazingira mazuri ya kutokuingia huko
 
Mkiacha kununua biashara itakoma according to member hapo juu
Hio biashara haiwezi kufa labda Masikini na Mafukara wote wafutwe, km hujaelewa hapo hautoweza kuelewa kamwe

Kahaba anafanya hivyo kupata Pesa ushaelewa ni Pesa sio kingine ili atoke kwenye lindi la Ufukara na umasikini alionao cha ajabu Pesa anayopata haitoshi kumtoa huko anajikuta anaendelea akitegemea kesho itakua Bora zaidi kumbe ndio unakua muendelezo
 
Chanzo sio tabia nakupinga, chanzo cha ukahaba ni Ufukara uliopitiliza na umasikini usioshikika masikini wengi ndio makahaba huwezi kumkuta mtoto wa kibopa eti anafanya ukahaba, cha Msingi watengenezee watoto mazingira mazuri ya kutokuingia huko
Ni kweli ila tabia nayo inahusika mkuu kuna koo za kichaga kwa kushikana mikono wapo vizuri mtu kama hana mtaji ndugu wanatafuta namna ya kumuwezesha ila bado wengine wanatoroka makwao na kuja kudanga mjini

Kuna watoto kutokana na viburi vyao wazazi wanawapa laana na kuwaacha watangetange na dunia watakavyo( nishawai kumkuta wa namna hii kwa story alizonipa mwenyewe)

Kwaiyo kigezo cha umasikini kinatumika kuhalalisha tu kwani mbona kuna masikini zaidi ya makahaba na hawajiuzi. Makahaba wengine wanasukuma ndinga mkuu
 
Back
Top Bottom