Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 2,582
- 4,554
- Thread starter
- #161
Nimekupata mkuu tuendelee na mjadalaMfano wa ushoga kwenye Mada ya ukahaba? That's insanity simamia kimoja unataka tuzungumzie kuhusu ushoga tuongelee ushoga unataka tuongelee ukahaba basi tuongelee ukahaba sio una-mix mara ushoga mara ukahaba unatafuta sympathy ya kutete mada jua kua sababu kuu ya ukahaba ni Ufukara na umasikini, mabinti wengi wa kutoka Maisha ya kimasikini ndio wanaoangukia huko taja mtoto wa kibopa yoyote mwenye ukwasi wa kutosha ambae anauza Mbunye alafu Mimi nikuoroshee watoto wa Masikini ambao wanauza Mbunye sababu ya umasikini walionao