Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Ipi ni njia sahihi ya kukabiliana na ongezeko la ukahaba katika jamii?

Mkiacha kununua biashara itakoma according to member hapo juu
Vp kwa wanaouza indirect?

Au Okay Malaya maanake nini?

Kuna wayu wanauziwa mpaka kwenye ndoa zao vip na hawa nao?

Malaya sasa hivi wanapewa mpaka madeal na makampuni still bado wanauza,wengine wamejificha kwenye bongo movie wapo kibao wanawauzia watu wakubwa na wanasiasa,wanaitwa wadangaji na madalali wao ndio hawa machawa. Kuna teuzi kwenye vyama hivi vya siasa,sijui ubunge wa viti maalum na baadhi ya nafasi nyingine, inasemekana kuna wengine mpaka watoe ndio wanapewa na wengine huwa nyumba ndogo za wanasiasa wenye vyeo vyamani. Hii biashara ipo kwenye form mbalimbali.

Kitu chochote kinaanzia kwenye malezi na uwajibikaji ukichemka kwenye malezi, basi huwezi kuzuia tabia yoyote mbovu,tatu kama mzazi mjengee mtoto hofu ya dini basi.So Malezi,kuwajibika na hofu ya Mungu basi ndipo utaweza kulimaliza tatizo.

Swali na kuuliza kwa kuitizama hii jamii,wewe unaona ipo vizuri kwenye Malezi,Uwajibikaji na kuwa na hofu ya Mungu? Mimi sioni ndio maana aona ngumu hii biashara kuisha.
 
Ni ngumu sana maana hii biashara haina kodi and it's a fast money umwambie pisi to toil all the month aje apate 350k kwa mwezi wakati hiyo hela anaweza kupata kwa weekend moja. Wanunuzi nao wanaona it's a best option because ni show show hamna usumbufu, wa kupigana virungu vya saloon, kuku, maji, zawadi, dinner dates, kodi and all that.
 
Ukisoma heading tu utagundua sijaja na solution ila nimeuliza solutions

Ila nashukuru kwa kunipa changamoto ya kuresearch zaidi ndio uzuri wa mijadala kama hii
Ndio ingia field ukaonane nao wenyewe wakwambie namna gani ya kutokomeza ukahaba Ila Namba 1 watakwambia ukitokomezwa umasikini na Ufukara basi ndio mwisho wa ukahaba na kuona kahaba bila hivyo sahau hio biashara kufa
 
Ni ngumu sana maana hii biashara haina kodi and it's a fast money umwambie pisi to toil all the month aje apate 350k kwa mwezi wakati hiyo hela anaweza kupata kwa weekend moja. Wanunuzi nao wanaona it's a best option because ni show show hamna usumbufu, wa kupigana virungu vya saloon, kuku, maji, zawadi, dinner dates, kodi and all that.
Ndio umasikini wenyewe huo angekua na hio 350k double kwa weekend 1 angeendelea kufanya ukahaba?
 
Kumekuwepo na malalamiko miongoni mwa jinsia ya kike na ya kiume

Wanawake wanasema wanaume ndio chanzo cha ukahaba kwakuwa wao ndio wanunuzi na watumiaji wa huduma itolewayo na wauzaji(wanawake) hivyo wakiacha kununua hakutakuwa na wauzaji

Huku wanaume wakilaumu wanawake kujirahisisha na kuwa cheap na kujiuza kwa ajili ya kujikwamua kimaisha au kutimiza malengo yao.

Je? Ni ipi njia sahihi, wanawake wawezeshwe waache kujiuza au wanaume waache kununua malaya ili kupunguza ongezeko la ukahaba?

Nawasilisha
Sababu kubwa ni ongezeko la watoto wa nje ya ndoa katika jamii, hawa ni watoto wenye mapungufu makubwa ya kimalezi na maadili. Ukiangalia vijana wengi wa miaka ya 80 na kurudi nyuma kuna mambo mengi walikuwa wanatamani kuyafanya lakini wanaogopa baba mkubwa ama mjomba akisikia itakuwaje? hii ilisaidia kuwaweka watu katika mstari wa maadili, ila mtoto asiye wajibika kwa familia yake ni majanga kwa taifa.

Hatari itakuwa kubwa zaidi itapofika jamii ikawa na kizazi kilichotokana na kizazi cha watoto wa nje ya ndoa. Hao watoto hawatokuwa na cha kuwazuia isipokuwa sheria za nchi.
 
Vp kwa wanaouza indirect?

Au Okay Malaya maanake nini?

Kuna wayu wanauziwa mpaka kwenye ndoa zao vip na hawa nao?

Malaya sasa hivi wanapewa mpaka madeal na makampuni still bado wanauza,wengine wamejificha kwenye bongo movie wapo kibao wanawauzia watu wakubwa na wanasiasa,wanaitwa wadangaji na madalali wao ndio hawa machawa. Kuna teuzi kwenye vyama hivi vya siasa,sijui ubunge wa viti maalum na baadhi ya nafasi nyingine, inasemekana kuna wengine mpaka watoe ndio wanapewa na wengine huwa nyumba ndogo za wanasiasa wenye vyeo vyamani. Hii biashara ipo kwenye form mbalimbali.

Kitu chochote kinaanzia kwenye malezi na uwajibikaji ukichemka kwenye malezi, basi huwezi kuzuia tabia yoyote mbovu,tatu kama mzazi mjengee mtoto hofu ya dini basi.So Malezi,kuwajibika na hofu ya Mungu basi ndipo utaweza kulimaliza tatizo.

Swali na kuuliza kwa kuitizama hii jamii,wewe unaona ipo vizuri kwenye Malezi,Uwajibikaji na kuwa na hofu ya Mungu? Mimi sioni ndio maana aona ngumu hii biashara kuisha.
Kwa kuangalia hali ya jamii kimalezi na maadili ni kweli inakatisha tamaa ila sasa ndio tukubali mazima kwamba tusubirie vizazi vyetu kuwa makahaba kwasababu hamna namna au tunaweza kufanya kitu japo kuzuia wajao! Wewe unaonaje mkuu
 
Mkuu,
Sasa hivi aghalabu sana kuona Ke/Me anaingia ndoani bila kuwa na msururu wake. Hivi vitu haviepukiki, hakuna Me atakuoa kwa kizazi hiki bila kukuvua, and that makes everyonea victim.
Inafikirisha sana, unakuta mtu anasifia kungonoka na wanawake wengi imekuwa mtindo wa maisha
 
Ni ngumu sana maana hii biashara haina kodi and it's a fast money umwambie pisi to toil all the month aje apate 350k kwa mwezi wakati hiyo hela anaweza kupata kwa weekend moja. Wanunuzi nao wanaona it's a best option because ni show show hamna usumbufu, wa kupigana virungu vya saloon, kuku, maji, zawadi, dinner dates, kodi and all that.
Ni kweli kabisa mkuu hii biashara imekita mizizi tena mirefu zaidi
 
Everyone is half dead mkuu, hata aliye na afya yake bora kabisa..is all the same tu.

Hopefully huambukizi wengine mkuu.
ah sula la kutoambukiza wengine niwe mkweli tuu, mie nimepata kwa binadamu mwezangu basi binadamu wezangu wataupata kutoka kwangu. unafiki sipendi.
 
Kwa kuangalia hali ya jamii kimalezi na maadili ni kweli inakatisha tamaa ila sasa ndio tukubali mazima kwamba tusubirie vizazi vyetu kuwa makahaba kwasababu hamna namna au tunaweza kufanya kitu japo kuzuia wajao! Wewe unaonaje mkuu
Unazuia vip kwenye malezi tushachemka,kuna wazazi hawana time na watoto wapo busy kutafuta hela, Single parenting ishakuwa kama lifestyle, matokeo yake mtoto anakosa makuzi ya kidini then watu baki na social media ndizo zinamlea hiko anakutana na akina Mobeto,Uwoya,Caren,Wema nk ndio wanakuwa marole model so unategemea nini?

Ndoa zinapumulia mashine, vijana wanaziona hazina maana,kwani ukitaka kuharibu kitu chochote kwenye jamii wewe bomoa ndoa.

Huku uswahilini kuna baadhi ya familia mtoto akivunja,ungo anaambiwa chai atapewa,ila hela ya vitavunio atafute anapopajua yy.Hiyo haitoshi zamani mzazi alikuwa anapokea hela kwa mkwe ambaye ameshamtolea mahali bintiye, ila sasa hivi wazazi hupokea hela kwa wakwe ambao hawajulikani na hawaja watolea mahali watoto zao na hawaoni aibu kuna wengine wana namba za hao wanaume wakiwa hawana hela wana wapigia.Huku mabinti zao wakiwabadilisha na kuwapanga hao wanaume. Hivi wazazi wake Hamisa Mobeto,Wema,Uwoya,Caren,NicoleTuerny,Sanchoka na wadangaji wengine nk hivi unazani hawajui biashara wanazofanya mabinti zao,ila wamezibariki sababu na wao wanapata hela kupitia mabinti zao na kila mwanaume anayetoka na bintie anamfahamu. Miaka ya nyuma bi mkubwa akipokea hela kutoka kwa bintie anahitaji maelezo kaitoa wapi na kama maelezo haya heleweki anaambiwa baba then baba huchukua hatua za kinidhamu. Ila siku hizi mpaka wakina baba hupokea hela kutoka kwa wakwe zao wasio walipia mahali mabinti zao.

Cha msingi concentrate na kizazi chako hakikisha unawajibika kwenye kuwalea na kuwakuza wanao ktk misingi ya utu na ya kumjua Mungu.
 
Sababu kubwa ni ongezeko la watoto wa nje ya ndoa katika jamii, hawa ni watoto wenye mapungufu makubwa ya kimalezi na maadili. Ukiangalia vijana wengi wa miaka ya 80 na kurudi nyuma kuna mambo mengi walikuwa wanatamani kuyafanya lakini wanaogopa baba mkubwa ama mjomba akisikia itakuwaje? hii ilisaidia kuwaweka watu katika mstari wa maadili, ila mtoto asiye wajibika kwa familia yake ni majanga kwa taifa.

Hatari itakuwa kubwa zaidi itapofika jamii ikawa na kizazi kilichotokana na kizazi cha watoto wa nje ya ndoa. Hao watoto hawatokuwa na cha kuwazuia isipokuwa sheria za nchi.
Umesema kweli mkuu hapo kwenye sheria za nchi mimi huwa ndio najiuliza ni kweli serikali inashindwa kufanya chochote juu ya hili? Ili at least kunusuru kizazi kijacho
 
Vp kwa wanaouza indirect?

Au Okay Malaya maanake nini?

Kuna wayu wanauziwa mpaka kwenye ndoa zao vip na hawa nao?

Malaya sasa hivi wanapewa mpaka madeal na makampuni still bado wanauza,wengine wamejificha kwenye bongo movie wapo kibao wanawauzia watu wakubwa na wanasiasa,wanaitwa wadangaji na madalali wao ndio hawa machawa. Kuna teuzi kwenye vyama hivi vya siasa,sijui ubunge wa viti maalum na baadhi ya nafasi nyingine, inasemekana kuna wengine mpaka watoe ndio wanapewa na wengine huwa nyumba ndogo za wanasiasa wenye vyeo vyamani. Hii biashara ipo kwenye form mbalimbali.

Kitu chochote kinaanzia kwenye malezi na uwajibikaji ukichemka kwenye malezi, basi huwezi kuzuia tabia yoyote mbovu,tatu kama mzazi mjengee mtoto hofu ya dini basi.So Malezi,kuwajibika na hofu ya Mungu basi ndipo utaweza kulimaliza tatizo.

Swali na kuuliza kwa kuitizama hii jamii,wewe unaona ipo vizuri kwenye Malezi,Uwajibikaji na kuwa na hofu ya Mungu? Mimi sioni ndio maana naona ngumu hii biashara kuisha.
Kwa mantik hiyo unataka kusema PAKISTAN, AFGHANISTAN, INDIA, FALME ZA KIARABU, PALESTINE N.K

Nchi za kiislamu kwa ujumla wake
Huwa hakuna biashara za Malaya kujiuza???

Wenye uelewa wanaweza ku share..
 
Unazuia vip kwenye malezi tushachemka,kuna wazazi hawana time na watoto, Single parenting, mtoto anakosa makuzi kidini then watu baki na social media ndizo zinamlea hiko anakutana na akina Mobeto,Uwoya,Caren,Wema nk ndio wanakuwa marble model watu so unategemea nini?Ndoa zinapumulia mashine, vijana wanaziona hazina maana,kwani ukitaka kuharibu kitu chochote kwenye jamii wewe bomoa ndoa.

Cha msingi concentrate na kizazi chako hakikisha unawajibika kwenye kuwalea na kuwakuza wanao ktk misingi ya utu na ya kumjua Mungu.
Hapa kwenye kulea kizazi changu kiwe na maadili mema ndio ninachoomba iwe hivyo kama ninavyopambana

Lakini mtoto si wa mzazi pekee akiwa na miaka sita tu shule ya msingi anakutana na malezi mengine, akienda form one hadi four anakutana na malezi mengine, advance hivyo hivyo na akifika chuo ndiyo kabisaa unakuta ametoka home akiwa muafrika anarudi akiwa mzungu hapo kama mzazi utafanyaje?
 
Hapa kwenye kulea kizazi changu kiwe na maadili mema ndio ninachoomba iwe hivyo kama ninavyopambana

Lakini mtoto si wa mzazi pekee akiwa na miaka sita tu shule ya msingi anakutana na malezi mengine, akienda form one hadi four anakutana na malezi mengine, advance hivyo hivyo na akifika chuo ndiyo kabisaa unakuta ametoka home akiwa muafrika anarudi akiwa mzungu hapo kama mzazi utafanyaje?
Unazuia vip kwenye malezi tushachemka,kuna wazazi hawana time na watoto wapo busy kutafuta hela, Single parenting ishakuwa kama lifestyle, matokeo yake mtoto anakosa makuzi ya kidini then watu baki na social media ndizo zinamlea hiko anakutana na akina Mobeto,Uwoya,Caren,Wema nk ndio wanakuwa marole model so unategemea nini?

Ndoa zinapumulia mashine, vijana wanaziona hazina maana,kwani ukitaka kuharibu kitu chochote kwenye jamii wewe bomoa ndoa.

Huku uswahilini kuna baadhi ya familia mtoto akivunja,ungo anaambiwa chai atapewa,ila hela ya vitavunio atafute anapopajua yy.Hiyo haitoshi zamani mzazi alikuwa anapokea hela kwa mkwe ambaye ameshamtolea mahali bintiye, ila sasa hivi wazazi hupokea hela kwa wakwe ambao hawajulikani na hawaja watolea mahali watoto zao na hawaoni aibu kuna wengine wana namba za hao wanaume wakiwa hawana hela wana wapigia.Huku mabinti zao wakiwabadilisha na kuwapanga hao wanaume. Hivi wazazi wake Hamisa Mobeto,Wema,Uwoya,Caren,NicoleTuerny,Sanchoka na wadangaji wengine nk hivi unazani hawajui biashara wanazofanya mabinti zao,ila wamezibariki sababu na wao wanapata hela kupitia mabinti zao na kila mwanaume anayetoka na bintie anamfahamu. Miaka ya nyuma bi mkubwa akipokea hela kutoka kwa bintie anahitaji maelezo kaitoa wapi na kama maelezo haya heleweki anaambiwa baba then baba huchukua hatua za kinidhamu. Ila siku hizi mpaka wakina baba hupokea hela kutoka kwa wakwe zao wasio walipia mahali mabinti zao.

Cha msingi concentrate na kizazi chako hakikisha unawajibika kwenye kuwalea na kuwakuza wanao ktk misingi ya utu na ya kumjua Mungu.
 
Ukahaba ni biashara kongwe sana tangu enzi na enzi kipindi cha akina Loti

Muulize Yesu mwenyewe atakwambia makahaba aliokutana nao alipokuwa anapiga injili

Hii biashara haitakuja kufa. Makahaba ni muhimu kwenye jamii. Mfano ni kama umesoma ecology kwenye Biology hakuna kiumbe au mmea usio na muhimu wowote vyote vinategemeana

Ndivyo na makahaba wanaplay part yao muhimu sana kwenye jamii
 
Raha ya bange ni kupata mzuka popote huwezi kurasimisha bange halafu utuambie tukavutie chooni

Hata ukahaba ndio ulivyo sometimes soko gumu uje uwaambie watu wawe na maeneo maalum hiyo kitu haiwezekani ni sawa na kumtoa machinga kariakoo kwenye wateja umpeleke jangwani

Mambo yote yanaanzia kwenye familia, ila umaskini nao unachangia, solution ni malezi bora Kwa watoto na kata umaskini
Kuukataa umaskini kwenye nchi maskini ni mtihani sana, asilimia ndogo ndio utoboa.
 
Back
Top Bottom