Ipi ni sababu ya mwanamke kubadilika na kuwa chui baada ya kuolewa?

Ipi ni sababu ya mwanamke kubadilika na kuwa chui baada ya kuolewa?

Tumeumbwa Kupenda,Kusahau na Kukinai..majira hubadilika, people change so does their feelings

Mwanamke akisema "Nakupenda kuliko mwanaume yeyote duniani,sijawahi kamwe kupenda Namna hii" anakua anamaanisha,
KESHO AKIKUTANA NA KIBOKO ZAIDI YAKO UWE MUELEWA
 
Tatizo ni kwamba wanaoa malaya siyo bikira. Vijana oa bikira, hizo tabu za ndoa hutakutana nazo.

Unaoa dem ana ma X zaidi ya 20 kila mmoja kagonga kwa muda wake. Wewe utawezaje mla peke yako wakati humo zishaingia zaidi ya 20?
Kweli

Kama ulimkuta sio bikira hilo ni wazi kwamba mashine yako siyo ya kwanza kwenye K yake kashachezea za kutosha.

Huyo ni malaya

Usitegemee dushe lako pekee litamridhisha malaya

Umeingia kwenye shindano ambalo analinganisha mipini iliyompitia. Hauwezi kuwa her best option hata siku moja

It's not your duty to sexually satisfy a harlot is the duty of the streets
 
Moja ya taasisi ambayo ni msingi wa kila kitu katika jamii yoyote ina hali mbaya. Honestly kama mwanaume una mwanamke ambaye amekuvumilia sana,hasa ktk nyakati zako mbya za kiuchumi huyo ndiye mkeo,sema kuba wachache wenu huwaga wanawaumizaga baada ya kuanza kupata hela.

Moment ya nyakati ngumu kiuchumi inadetermine kama umeoa mke au mdangaji, ndio maana hata ukitizama masuperstar akina Messi,LeBron, Snoop nk, ndoa zao imara sababu sababu waliwaoa marafiki zao walikuwa nao utotoni/ujanani. Lkn hawa mademu wanaokuja baada ya kupata ngawila ni wakupiga na kutambaa.

Hamna mtihani mgumu wa vijana wa sasa hivi kama kupata mke au mme mwema.Kuna wanawake wanadanga mpaka kwenye ndoa.
 
Moja ya taasisi ambayo ni msingi wa kila kitu katika jamii yoyote ina hali mbaya. Honestly kama mwanaume una mwanamke ambaye amekuvumilia sana,hasa ktk nyakati zako mbya za kiuchumi huyo ndiye mkeo,sema kuba wachache wenu huwaga wanawaumizaga baada ya kuanza kupata hela.

Moment ya nyakati ngumu kiuchumi inadetermine kama umeoa mke au mdangaji, ndio maana hata ukitizama masuperstar akina Messi,LeBron, Snoop nk, ndoa zao imara sababu sababu waliwaoa marafiki zao walikuwa nao utotoni/ujanani. Lkn hawa mademu wanaokuja baada ya kupata ngawila ni wakupiga na kutambaa.

Hamna mtihani mgumu wa vijana wa sasa hivi kama kupata mke au mme mwema.Kuna wanawake wanadanga mpaka kwenye ndoa.
Ni kweli kabisa
 
Ila tuseme ukweli jamani.,,,wake za watu waliowengi wanakigawa mbaya aisee😔 mi nadhani tatizo ni kuingia kwenye ndoa kwa sababu fulani binafsi na siyo upendo..,,yaan ukimpenda mtu ni lazima utaona kinyaa kuingiza mbegu za mwanaume mwingine..,,lakini kuna wanachepuka ili kupata hela ya vikoba na na wengine ili kupata hela ya kulelea watoto Baada ya kukosa huduma kutoka kwa mume. Mwenyezi Mungu aingilie kati hizi ndoa.🙏🏽
Kwangu naona inachangiwa na vitu vingi.few to mention,
1-kutojua ndoa ni nini?
Ndoa sio gauni toka ufaransa wala suti toka ufaransa.wengu wanaoa/kuolewa kwa ajili ya "showcase"

2-Malezi.
Mvulana na msichana wamesoma kindergarten -mpaka chuo kikuu bording.nyumbani wakirudi ni mwezi au wiki kadhaa tu.Ndoa ni jukumu tunalojifunza kwa actual experience.binti anajifunza kuhudumia mume kupitia namna anavyomuona mama anafanya na kijana anajifunza kuhudumia mke kupitia experience ya baba.sasa hajakaa nyumbani,hajakaa na shangazi akaelezwa ya "kuelezwa",unategemea nini?.hakuna chuo wala shule inayofundisha ndoa.
"Life style" hasa la kishua na usasa ni chanzo cha migogoro

3-matarajio makubwa(beeing too optimistic ) Vijana wanaingia kwenye ndoa wakijiandaa zaidi kupokea huduma za ndoa na si kutoa huduma za ndoa.ndoa sio one way traffik bali ni two way trafik.ni rahisi kukuta vijana wanasema mume/mke hanifanyii hiki au hiki lakini muulize we unatoa nini?
Mume:atakwambia natoa hela/mahitaji
Mke;atakwambia nampa "papuchi"
Sasa hivi inamaana huyu binti alikuwa ni homeless au yatima kwamba wewe ni sponsor?
Haya upande wa pili,pussy(sex)is the cheapest thing katika ndoa.ukiwa na hela au confidence tu huwez kosa sex pleasure.you are not the first to give and you won't be the last.na sex sio life threatening in case kuna kina "pornography"

Kwahiyo my dear To yeye hayo ni machache kwa sasa ila ntaandika baadae kidogo.napenda sana ndoa na nachukia mno ndoa
 
Tatizo ni kwamba wanaoa malaya siyo bikira. Vijana oa bikira, hizo tabu za ndoa hutakutana nazo.

Unaoa dem ana ma X zaidi ya 20 kila mmoja kagonga kwa muda wake. Wewe utawezaje mla peke yako wakati humo zishaingia zaidi ya 20?
Sio kweli mkuu me nlishawahi toka na mrembo ambaye mtu wake alimtoa usichana wake na kashampa pesa kibao……hayana fomula haya mambo
 
Kwa mtazamo wangu mimi naona ndoa ni swala pana kuliko tunavyofikiri. Ndoa hujengwa na mambo mengi mojawapo nayoyafahamu ni upendo, uvumilivu, imani, amani n.k. Pia ndoa hubeba mbegu nyingi za mafanikio ya kimaisha, ambayo hukuzwa na upendo, uvumilivu, imani, amani, furaha. Matunda ya hiyo ndoa ni pamoja na watoto, uchimi, furaha, umoja katika familia n.k. Endapo wanandoa wasipo ya ishi misingi hii ya imani, amani, uvumilivu, upendo, ndipo hutokea hayo yanayotokea.
 
Sio kweli mkuu me nlishawahi toka na mrembo ambaye mtu wake alimtoa usichana wake na kashampa pesa kibao……hayana fomula haya mambo
Malaya ni malaya tuu. Muoe wewe uone kama hujatombewa mpaka ukome.
 
Mdogo wangu unapokua hujaoa unakuwa humjui vizuri mwanamke kwa maana mda mwingi hauko nae hasa usiku.
Na hata ikitokea ukawa nae sogeza tukae kwa muda, kuna wakati atakuwa kwake au kwao atafanya harakati zake bila wewe kujua.
Sasa unapomuoa haya yote atayafanya chini ya uongozi wako kama taamua kuendelea nayo na kwa kuw aunaishi nae ni rahisi wewe kubaini kama kuna kitu hakipo sawa. ndio hapo sasa mambo yanakuwa mambo.

Mara nyingi ndoa huvunjika kwa mwanamke kuonekana ana michepuko au heshima kushuka kwa mumewe, ni nadra sana mwanamke kuachana na mumewe kisa michepuko ya mumewe.
 
Back
Top Bottom