ila najua watoto school waoga
wao mitungo ya kuvizia gizani
sio kama hyo yako bana

Au ni story tu changamsha genge
Haikua shuleee hii, ilikua likizo,

Wawili wakaka wa mtaan, m1 alikua mwanafunzi.
Na ilikua porini. Nidanganye iwejeee
 
Hiyo mipango yako ingekuwa imejikita Kwenye kusaka Shilingi,sasa hivi Ungekuwa unamkaribia MO Dewji.
Mhhh! Komredi mbona unakuwa muongo muongo kama motivational speakers wa bongo... MO DEWJI KWELI?! ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hivi unadhani kuwa na mafanikio na pesa za MO DEWJI ni mchezo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ