Wee nae tutolee nongwa zako huko.
Khaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na fantasy zao mjiniii.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mecheka kisengee
 
wakuu wanavyoongelea na kuwatamani madada wa watu utasema kama wao hawana ,,,kwakweli kuzaliwa madume matupu kwenye familia raha sana maana ukiskia hizi story kama una mabint kwenye familia lazma kichwa kiume
Binafsi tupo wa4 wote madume tu asee, hiki kitu nakifurahia sana mana hii dunia yasasa wanawake wanavyofanywa ni changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…