Shukrani Mkuu, wengine tumeeka ila network huwa haichelewi kushika
Ng'ombe hazeeki maini mkuu, ni jinsi tu unavojiweka, kuna demu mmoja yuko in early 30s ana bwana wake yuko in early 50s, sasa siku moja nikamuuliza hv bwana wako huwa anakufikisha kweli mbona umri umeendaenda, yule demu akaniambia, kaka moto ambao yule mzee wangu ananipelekeaga hata kijana wa 25 hawezi, akaniambia nimeshajaribu vijana kama 3 hakuna hat mmoja anamfikia, ila mzee ndo hvo kla jioni yuko anajogi, ni mzee kijana yaani
 
Kwahiyo Wazee tuendelee kujifukiza pamoja na mazoezi kwa sana

Maana nilikuwa najionea huruma na Uzee huu full Presha 😅
 
Na siku moja moja wanaenda kutoa Elimu kwa Vijana kuhusu kutojaribu hayo mengine wakati wa tendo

Yaani Kibongo bongo bila unafiki huishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…