Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hdi na quote hii comment ndo natumia hyo symbian S60..au nokia 5800 express music,sound yake kwenye music ni balaa...hii simu nilununua elf 30 but whatsapp ishakua uot datedSimu yangu ya kwanza motorola
Smartphone yangu ya kwanza kutumia niliipenda kuliko demu wangu iliitwa NOKIA SYMBIAN mwaka 2010View attachment 2239342
Sana na nimeitunza tu kwenye library yanguSimu imara sana hizo
Hv siwez kuipata kwasasa?nokia 6300
Nokia jeneza sio hii mkuu..ile ilikuwa ni nokia 2100 nahisiNokia jeneza simu iyo. Nakumbuka nikachukua na muito wa wimbo wa taifa aisee back in days
Hapana..ilikuwa kawaida tu mkuu..Ulikuwa wa kishua!
Kumbe we wa juzi juzi...hivi kuna simu za kishua zilizotamba kuzidi brand ya sony ericoson,lg na motorola hasa ile l6 au l7.....baadae zikaja blackberry sijuiHii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nokia asha zilitunyanyasa Sana sie wa Nokia tochi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hi nini! Umenikumbusha zike ockman za cdHutu tudude tulifanya maisha magum ya seminari yawe na nafuu mnooo
Form1 had form4View attachment 2240501
Watu wa nokia asha tuliwakomaga miaka 2011 >>> walikua wanajiona mwendo wameumalizaHiyo ilikua imejitosheleza mpaka whatsapp unatamba[emoji23][emoji23]
Lile game mwizi mara apande ngazi daah umenikumbusha mbali [emoji23][emoji23][emoji23]Philips sijui ngapingapi huko!,ikafata Huawei zile za kufunua ilikuwa inatumia line ya ttcl tu!,ilikuwa na gemu la mwizi nilikuwa nalipenda hata hivyo wakati huo nilikuwa bado sijakuwa kihivyo japo kuwahi kutumia simu kwangu naona imekuwa na benefit