Ipi ni simu yako ya kwanza kumiliki?

Ipi ni simu yako ya kwanza kumiliki?

nokia 6300
 

Attachments

  • images (28).jpeg
    images (28).jpeg
    12.7 KB · Views: 21
Simu yangu ya kwanza motorola


Smartphone yangu ya kwanza kutumia niliipenda kuliko demu wangu iliitwa NOKIA SYMBIAN mwaka 2010View attachment 2239342
Hdi na quote hii comment ndo natumia hyo symbian S60..au nokia 5800 express music,sound yake kwenye music ni balaa...hii simu nilununua elf 30 but whatsapp ishakua uot dated
 
Philips sijui ngapingapi huko!,ikafata Huawei zile za kufunua ilikuwa inatumia line ya ttcl tu!,ilikuwa na gemu la mwizi nilikuwa nalipenda hata hivyo wakati huo nilikuwa bado sijakuwa kihivyo japo kuwahi kutumia simu kwangu naona imekuwa na benefit
 
Hii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443
Kumbe we wa juzi juzi...hivi kuna simu za kishua zilizotamba kuzidi brand ya sony ericoson,lg na motorola hasa ile l6 au l7.....baadae zikaja blackberry sijui
 
Kumbe we wa juzi juzi...hivi kuna simu za kishua zilizotamba kuzidi brand ya sony ericoson,lg na motorola hasa ile l6 au l7.....baadae zikaja blackberry sijui
Simu za kishua ni nokia hata bei!
 
Philips sijui ngapingapi huko!,ikafata Huawei zile za kufunua ilikuwa inatumia line ya ttcl tu!,ilikuwa na gemu la mwizi nilikuwa nalipenda hata hivyo wakati huo nilikuwa bado sijakuwa kihivyo japo kuwahi kutumia simu kwangu naona imekuwa na benefit
Lile game mwizi mara apande ngazi daah umenikumbusha mbali [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siemens a70 kama sikosei, zilikuwa promosheni ya voda... enzi hizo hakuna bando.😂
 
Back
Top Bottom