financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. Vichekesho ndio kilakitu kwangu. Hasa wakati wa kupumzika. Mfano Kama Sina video za comedy huwa nasoma Comment za JF huko lazima nitatoa stress.Wadau natumai nyote ni wazima wa afya, ningependa tujuzane kila mmoja ashare nasi starehe yake ni ipi ili kuwapa watu nafasi ya kujua starehe ni nini.
Binafsi starehe yangu ni kuiona familia yangu ina furaha na inapata mahitaji yote ya msingi.
Tufunguke wadau,
Acha kuniharibia mkuu! Ila Namba 1 ni pesa 2 ni babe Extrovert ! Na akiniacha nakuja kwako ujueπExtrovert achana na huyu msanii,eti hadi mimi nimsaidie ndiyo ataje kuwa wewe ni starehe namba mbili na pia namba moja wamepewa wengine!πΆπΆπΆ
Uje kwangu chura ipo?πAcha kuniharibia mkuu! Ila Namba 1 ni pesa 2 ni babe Extrovert ! Na akiniacha nakuja kwako ujueπ
Mpaka leo hujapataga tu...Starehe yangu ni kuwa na pesa/dough hata nisipozitumia ila raha ya kuziona tu whether cash at hand am Bank nakua relaxed. Ila sasa ndiyo sina kabisa[emoji848]
Mbona Extrovert kanipenda hivo hivo,wewe utashindwaje banaπUje kwangu chura ipo?π
Pesa ngumu rafiki sijabahatika bado! Ila ipo sikuMpaka leo hujapataga tu...
Mimi na english figure hapana kwa kweli!πΆπΆπΆMbona Extrovert kanipenda hivo hivo,wewe utashindwaje banaπ
Ni kugawieStarehe yangu ni kuwa na pesa/dough hata nisipozitumia ila raha ya kuziona tu whether cash at hand am Bank nakua relaxed. Ila sasa ndiyo sina kabisa[emoji848]
Halafu akishakorofika unanyeyekea kuomba poo!Kumkorofisha baby
Mdogo angu nahitaji kukuongoza kwanza sala ya toba uokoke.Muda huu niko ibadani ndio starehe yanguUnaona sasa sina starehe yoyote na unagoma kunifundisha kupiga Piano brother π Data Manager
ππ NdiyooHalafu akishakorofika unanyeyekea kuomba poo!
Wahoo![emoji3][emoji3] Ndiyoo
ππππWahoo!
Unacheka!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]