Huyu anawatakia mabaya vijana wenzetu, maana ku handle +120kph wengi hawawezi.
Yeye anataka watumie hand brake au parking brake Kama wapo kwenye racing/drag race. Gari za racing Zina hand brake za hydrolic ukivuta inarudi yenye Sasa gari za kawaida Zina hand brake za cable ukivuta hairudi upo speed 100kph unataka ufanye Kama Jason Stratam uichukue Kona kibabe na Athletes namba DV gari itazunguka hutoamini na inakushinda unakutana na Fiat la Madina limebeba contena brake zake za kutafuta kwa tochi....