Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

Ipi ni tofauti ya mwili, nafsi na roho?

Hiyo roho kama ipo eleza ina muonekano upi na uliiona wapi ukajua ipo?

Vinginevyo roho hiyo ni dhana ya kufikirika tu Imagination just an illusion.
Mjadala kwenye huu uzi nadhani unatuhusu ambao tunatambua roho&nafsi.
 
Swali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi kuuliza maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatuulizi ili tuwe miongoni mwa wanaojua.

Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili kumtimiza mwanadamu awe kamili,ukikosa kimoja kama ya hivyo vitatu, uwawadamu wako utakuwa mashakani.

Tuanze na mwili
Mwili asili yake ni hapa duniani au kwenye dimension hii au realm hii ya dunia au existence, hapa ndio pahala pekee mwili unapoweza ku-exist
Kazi ya mwili kubwa ni ku-host nafsi,yaani nafsi inauvaa mwili na kuishi kwenye mwili, yaani kama vile unapokumbwa na shetani, Anakuwa ameuvaa mwili na anajitambulisha kama yeye na sio wewe tena. Na nafsi inafanya hivyo in a permanent basis yaani kwa namna ya kudumu.
Na mwili ni kama mashine inayomfanya kazi kwa ajili ya nafsi kuweza kuishi kwenye dunia hii,realm au dimension hii.
Mwili kazi yake ni kukusanya information kupitia hisia zake kuu tano,kuona,kusikia,kuonja,kuhisi,kunusa

Sasa twende kwenye roho au kwa kiingereza soul
Soul ni kiunganishi baina ya nafsi na mwili, soul au roho ndio muezeshaji mkubwa wa nafsi, soul ndio mkalimani anaetafsiri kwa nafsi kila kitu kinachofanywa na mwili hapa duniani,
Ndani ya soul kuna emotions,intellect and will, sijui kwa Kiswahili nisemeje hapa,mi sijui tunaitaje emotions kwa Kiswahili
Mwili kupitia hisia zake kuu tano unakusanya information na kupeleka kwenye soul kwa njia ya intellect(akili)
Akili inaweza kufanya kwa k upitia hisia za mwli tu bila ya hisia za mwili akili haina uwezo wa kufanya kazi,macho yakiona kitu akili ina-process na kutafsiri ni nini macho yameona kupitia kumbukumbu za akili.
Maskio yakisikia kitu akili ina-process kisha inatafsiri nini maskio yamesikia
Na hisia nyengine kazi ndio hio hio

Sasa tuingie kwenye nafsi au sprit
Sprit ndio uhai wenyewe,yaani sprit ndio mtu mwenyewe naejelewa au kujitambua,utambulisho wa mtu hautokani na mwili wala roho wala akili
Utambulisho wa mtu mimi ni nani unatokana na nafsi au sprit
Kwenye sprit au nafsi kuna mambo matatu makuu
Kuna intuition,consciousness na submission to the source au God
Intuition ni uwezo wa kujua kitu bila ya kujua umejuaje, inatokea unajua tu bila kuambiwa ua kufundishwa
Consciousness ndio uhai wenyewe na kujitambua
Na submission to the source ni kusalimu amri kwenye chanzo cha sprit au nafsi na. Hanson hiki tunakiita mungu au God
Vitu hivi vyote vipo kwenye nafsi au sprit
Nafsi au sprit haiwezi kuishi hapa duniani bila ya mwili na soul(roho) ndio mana mtu Akita mzee na mwili umechoka nafsi inaondoka na mwili unaparalaiz na haujiwezi tena na hicho ndio kifo.
Pia mwli ukipata majanga makubwa kama ajali na ukawa hauwezi tena kui-support nafsi dakika hio hio nafsi inaruka permanently na kuondoka na hicho ndio kifo
Kifo ni kufariki
Fariki maana yake ni kutenga,au tunasema kufarakana maana ni kutengana
Kwa hio maana yake ni nafsi inafarakana na mwili hio ndio kufariki au kufa

Mi nadhani niishie hapa kama kunakuwa na Shaka tutaulizana
Mada hii nlielezea kwa kina kidogo kwenye uzi huu hapa chini wa kiingereza

Noted
 
Bado ni riwaya ya sungura na fisi
Yea! Inawezekana ikawa hivyo kwa mtazamo wako.
Lakini suala ni mtu ana mtazamo upi katika kitu au jambo lolote lile kutokana na ufahamu wake binafsi. Ufahamu huu ni lazima ufautiane kupitia "factors" za kimazingira ama kiikolojia ambazo ndizo hu "shape" fikra za kile ambacho mtu ameaminishwa kuwa ni ukweli kwake kutokana na makuzi yake, na hivyo hujikuta anaamini kuwa hiyo ndiyo ukweli wenyewe kwake pasipo kuwa na shaka yoyote ile.

Kwa hiyo basi haijalishi kuhusu kile nichoamini kuwa ni ukweli kwangu, kikashindwa kukushawishi wewe ili upate "equal understanding and my view". Kutofautiana kimtazamo ni kawaida katika maisha yetu ya kibinadamu, lakini cha muhimu ni kila mtu acheze michezo ama ligi yake kwa faida ama hasara yake mwenyewe.
 
THE FUNCTIONS OF
THE SPIRIT, THE SOUL, AND THE BODY

The body is the "world-consciousness," the soul is the "self-consciousness," and the spirit is the "God-consciousness." There are five organs in the body which afford man the five senses. This physical body enables man to communicate with the physical world. This is why it is called the "world- consciousness." The soul comprises that part in man known as the intellect, which makes man’s existence possible. The part of love generates affections toward other human beings or objects. Affections originate from the senses. All these are parts of man himself; they form the personality of man. Hence, they are called the "self-consciousness." The spirit is the part with which man communicates with God. With this part man worships God, serves Him, and understands his relationship with God. Hence, it is called "God-consciousness." Just as God dwells in the spirit, the self dwells in the soul, and the senses dwell in the body.

The soul is the meeting point; here the spirit and the body join. Man communicates with God’s Spirit and the spiritual realm through the spirit and receives and expresses power and life in the spiritual realm through this spirit. He communicates with the outside world of senses through the body; the world and the body interact with one another. The soul lies in between these two worlds and belongs to these two worlds. On the one hand, it communicates with the spiritual realm through the spirit, and on the other hand, it communicates with the physical world through the body. The soul has the power of self-determination; it can make decisions concerning the things related to it in the environment and can choose or reject them. It is impossible for the spirit to control the body directly; it requires a medium. This medium is the soul, which was produced when the spirit touched the body. The soul is in between the spirit and the body; it binds the spirit and the body together as one. The spirit can rule over the body through the soul and subject it under God’s power. The body can also induce the spirit through the soul to love the world.

Among the three elements of man, the spirit is joined to God and is the highest. The body is in contact with the material world and is the lowest. In between the two is the soul. It takes as its nature the nature of the other two. As such it becomes the linkage of the other two parts. Through the soul the two parts can fellowship with each other and can work together. The function of the soul is to maintain the spirit and the body in their proper order so that they will not lose their proper relationship with one another. In this way, the body, which is the lowest, will submit to the spirit, and the spirit, which is the highest, will be able to control the body through the soul. The soul is indeed the chief element in man. The soul looks to the spirit for the supply which the latter has received from the Holy Spirit and communicates to the body what it has received so that the body may partake of the perfection of the Holy Spirit and become a spiritual body.

(Spiritual Man, The (3 volume set), Chapter 1, by Watchman Nee)
 
Mwili ni hicho kiwiliwili chako chote.

Nafsi na roho ni kitu kimoja isipokuwa kuna majukumu ya roho na kuna majukumu ya kinafsi.

Majukumu ya kiroho ya kwanza ni yale uliyopewa toka kuumbwa kwako, nafsi ni yale mapya roho yako inayojifundisha kila siku unayoishi duniani.

Unaweza kuwa na nafsi zaidi ya moja kwenye kiwiliwili chako.

Majukumu ya mwili, nafsi na roho ni "mtambuka" yana muingiliano.

Elimu ya roho Mwenyezi Mungu kawapa wachache sana na kwa uchache sana.

Kingereza Roho ni "Spirit" na Nafsi ni "Psychology".

Kiarabu nafsi ni "nafs" na roho ni "ruh".
 
Kweli Kabisa na ndo maana wengi huwa ni wabishi sana kwa sababu wamejaza Intellectual Minds..

Na shida kubwa Experience nayo kuipata Ni mpaka commitments Huwezi kumwambia Mtu anayejiona kashika Dini ajicommit ili Aende kwenye Astral Plane ataona kama unamwambia aende kwa Mapepo..
Na ndo maana Viti vingi watu hushindwa kuelewa Sana kwa sababu ya Kujifungia kwenye Box..

Me napenda kuliita Schrödinger box na wao ni Kama Schrödinger cat Wamekufa huku wanajiona wanaishi kwa wakati mmoj a
Chief Unauzungumziaje huu watu wanaita Ulimwengu wa Roho? Seems huko ndo kuna kila kitu.
Utasikia ukienda kwa watumishi Nabii au hata hawa waganga wanajua kila kitu kitu katika maisha yako na hata kukutabiria na ikawa kweli au kujua mtu ayawazayo
Naitaji somo hapo.
 
Yea! Inawezekana ikawa hivyo kwa mtazamo wako.
Lakini suala ni mtu ana mtazamo upi katika kitu au jambo lolote kutokana na ufahamu wake binafsi. Ufahamu huu ni lazima urofautiane kupitia "factors" za kimazingira ama kiikolojia ambazo ndizo hu "shape" kile ambacho mtu ameaminishwa kuwa ni ukweli kwake, na hivyo naye hujikuta anaamini kuwa ndio ukweli wenyewe kwake pasipo kuwa na shaka yoyote ile.

Kwa hiyo basi haijalishi kuhusu kile nichoamini kuwa ni ukweli kwangu, kikashindwa kukushawishi wewe ili upate "equal understanding and my view". Kutofautiana kimtazamo ni kawaida katika maisha yetu ya kibinadamu, lakini cha muhimu ni kila mtu acheze michezo ama ligi yake kwa faida ama hasara yake mwenyewe.
💯
 
Mwili ni hicho kiwiliwili chako chote.

Nafsi na roho ni kitu kimoja isipokuwa kuna majukumu ya roho na kuna majukumu ya kinafsi.

Majukumu ya kiroho ya kwanza ni yale uliyopewa toka kuumbwa kwako, nafsi ni yale mapya roho yako inayojifundisha kila siku unayoishi duniani.

Unaweza kuwa na nafsi zaidi ya moja kwenye kiwiliwili chako.

Majukumu ya mwili, nafsi na roho ni "mtambuka" yana muingiliano.

Elimu ya roho Mwenyezi Mungu kawapa wachache sana na kwa uchache sana.

Kingereza Roho ni "Spirit" na Nafsi ni "Psychology".

Kiarabu nafsi ni "nafs" na roho ni "ruh".
Safi sana Faiza leo umejadili mada kwa utamu wake nimependa..
Japo mama yangu Nafsi Sio Psychology kwa kingereza ni Soul (Nafsi=Soul)

na ni kweli Katika Dini tulipewa Elimu chache sana kuhusu Roho,Mwili na nafsi..


Surah Ban-ilsrail aya ya 85-87...

(Quran 17:85-87)

"...Na wakikuuliza khabari za Roho (Spirit). Sema:
Roho (Spirit) ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ya Roho (Spirituality) ila kidogo tu. Na tungeli penda tungeli yaondoa tuliyo kufunulia. Kisha usingeli pata mwakilishi wa kukupigania kwetu kwa haya. Isipo kuwa iwe rehema itokayo kwa Mola wako MIezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa.....
 
Chief Unauzungumziaje huu watu wanaita Ulimwengu wa Roho? Seems huko ndo kuna kila kitu.
Utasikia ukienda kwa watumishi Nabii au hata hawa waganga wanajua kila kitu kitu katika maisha yako na hata kukutabiria na ikawa kweli au kujua mtu ayawazayo
Naitaji somo hapo.
Ulimwengu Wa roho umetofautiana With different Dimensions..
Waganga wengi na watumishi wengi hawatumii Ulimwengu wa Roho wanatumia Telepath..
 
Inakuaje kila mtu ana hizo mnazoita nafsi na roho alafu hakuna anaejua ,mpaka tuanze kusoma kwenye mavitabu na kupeana maelezo kuhusu vitu ambavyo kila mtu anavyo????

Yani ni sawa tuanze kujadili apa kuwa sisi tuna ulimi au hatuna kwa maelezo tu na kusoma vitabu !!!!!!


[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Inakuaje kila mtu ana hizo mnazoita nafsi na roho alafu hakuna anaejua ,mpaka tuanze kusoma kwenye mavitabu na kupeana maelezo kuhusu vitu ambavyo kila mtu anavyo????

Yani ni sawa tuanze kujadili apa kuwa sisi tuna ulimi au hatuna kwa maelezo tu na kusoma vitabu !!!!!!


[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
wewe uko physical mno. unaamini ili kitu kiwepo lazima ukione! na kama hukioni maana yake hakipo. huu ni ufahamu wa "mnyama wa kawaida". sisi ni watu wenye Uungu ndani yetu. hili jambo ni kubwa!

JESUS IS MESSIAH
 
wewe uko physical mno. unaamini ili kitu kiwepo lazima ukione! na kama hukioni maana yake hakipo. huu ni ufahamu wa "mnyama wa kawaida". sisi ni watu wenye Uungu ndani yetu. hili jambo ni kubwa!

JESUS IS MESSIAH
Bado haujaelezea zaidi ya kujisifia , asante kwa kushiriki🙏
 
Bado haujaelezea zaidi ya kujisifia , asante kwa kushiriki[emoji120]
Kuna yule jamaa alitabiri ajali ya ndege mwaka jana, Anajiita maharage nadhani...Mtafute yule akueleweshe

Huku utaanzisha ubishani tu kama kawaida yenu.
 
Kuna yule jamaa alitabiri ajali ya ndege mwaka jana, Anajiita maharage nadhani...Mtafute yule akueleweshe

Huku utaanzisha ubishani tu kama kawaida yenu.
Yani nieleweshwe kuhusu roho wakati mnadai kila mtu ana roho ,utanieleweshaje kwa kitu ambacho tayari ninacho , huo ni mwanzo wa utapeli sasa🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom