Good Luci
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 494
- 641
Wote tulizaliwa na kufundishwa kuwa tumegawanyika mara tatu yaani mwili,nafsi na roho ila kiuhalisia tulikuwa tumegawanyika mara nne yaani mwili,nafsi,roho na moyo(sio unaopasuliwa india)
Mithali 4:23
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Mathayo 5:8
Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.
Roho ni copy ya mwonekano wako isiyooneka ila mnafanana kila kitu ndio ulikuwa mlango wa wachawi na falme na mamlaka kukufikia.Na roho ilikuwa ni kuugua tu
Warumi 8:23
Wala si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.
Ukiwa nafsi ilikuwa ni kubeba uchafu tu na kuwa mchafu
Ukiwa mwili manake ni adui na Muumba na huwezi kutii kanuni zake kamwe
Warumi 8:7-8
7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
Kusudi la Muumba ni wote tuwe moyo yaani mema na mazuri peke yake,sio roho,sio nafsi wala mwili.
Mithali 4:23
Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.
Mathayo 5:8
Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona Mungu.
Roho ni copy ya mwonekano wako isiyooneka ila mnafanana kila kitu ndio ulikuwa mlango wa wachawi na falme na mamlaka kukufikia.Na roho ilikuwa ni kuugua tu
Warumi 8:23
Wala si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.
Ukiwa nafsi ilikuwa ni kubeba uchafu tu na kuwa mchafu
Ukiwa mwili manake ni adui na Muumba na huwezi kutii kanuni zake kamwe
Warumi 8:7-8
7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juu ya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
8 Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.
Kusudi la Muumba ni wote tuwe moyo yaani mema na mazuri peke yake,sio roho,sio nafsi wala mwili.