Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Una roho na nafsi ila haujitambui kuwa una hivyo vyote.Yani nieleweshwe kuhusu roho wakati mnadai kila mtu ana roho ,utanieleweshaje kwa kitu ambacho tayari ninacho , huo ni mwanzo wa utapeli sasa[emoji848][emoji848][emoji848]
MImi sina hiyo kitu labda wewe .Una roho na nafsi ila haujitambui kuwa una hivyo vyote.
Utapeli how ?
Ndio mimi ninayo.MImi sina hiyo kitu labda wewe .
Apo tu ndio kuna leta shida unakuta wewe unayo then unakuja humu unajumuisha wote ukipingwa unaanza lia lia.Ndio mimi ninayo.
Naomba pia maelezo ya utofauti wa ulimwengu wa roho na telepath. Naitaji kufahamu hili, maana wanasema ulimwengu wa roho ndo umebeba kila kitu kinachoonekana mwilini.Ulimwengu Wa roho umetofautiana With different Dimensions..
Waganga wengi na watumishi wengi hawatumii Ulimwengu wa Roho wanatumia Telepath..
Sisi ambao tunajua tuna roho na wewe ambae unasema hauna nani yupo kulia lia hapa ?Apo tu ndio kuna leta shida unakuta wewe unayo then unakuja humu unajumuisha wote ukipingwa unaanza lia lia.
Hongera kwa kuwa na roho.
Sisi ambao tunajua tuna roho na wewe ambae unasema hauna nani yupo kulia lia hapa ?
Kama ni mambo ambayo hayakuhusu si ungepita kushoto utuache wenyewe ambao tunatambua haya.
Acha kutumia kichwa chako kama tanki la kuhifadhia mate.
Telepath ni kumanipulate energy ili kuweza kuendana na You energy capability na kusend frequency kuweza kuisoma hiyo energy kwa level fulani..Naomba pia maelezo ya utofauti wa ulimwengu wa roho na telepath. Naitaji kufahamu hili, maana wanasema ulimwengu wa roho ndo umebeba kila kitu kinachoonekana mwilini.
Sina hasira ndugu.Punguza hasira .
Sifahamu mkuu , ebu nielezee.Sina hasira ndugu.
Anyways unafahamu nini kuhusu Nishati ( Energy ) ?
Haina haja mkuu, nlidhani una ufahamu kuhusu hilo.Sifahamu mkuu , ebu nielezee.
🙏Haina haja mkuu, nlidhani una ufahamu kuhusu hilo.
Nafsi kwa kingereza inaitwajeSwali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi kuuliza maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatuulizi ili tuwe miongoni mwa wanaojua.
Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili kumtimiza mwanadamu awe kamili,ukikosa kimoja kama ya hivyo vitatu, uwawadamu wako utakuwa mashakani.
Tuanze na mwili
Mwili asili yake ni hapa duniani au kwenye dimension hii au realm hii ya dunia au existence, hapa ndio pahala pekee mwili unapoweza ku-exist
Kazi ya mwili kubwa ni ku-host nafsi,yaani nafsi inauvaa mwili na kuishi kwenye mwili, yaani kama vile unapokumbwa na shetani, Anakuwa ameuvaa mwili na anajitambulisha kama yeye na sio wewe tena. Na nafsi inafanya hivyo in a permanent basis yaani kwa namna ya kudumu.
Na mwili ni kama mashine inayomfanya kazi kwa ajili ya nafsi kuweza kuishi kwenye dunia hii,realm au dimension hii.
Mwili kazi yake ni kukusanya information kupitia hisia zake kuu tano,kuona,kusikia,kuonja,kuhisi,kunusa
Sasa twende kwenye roho au kwa kiingereza soul
Soul ni kiunganishi baina ya nafsi na mwili, soul au roho ndio muezeshaji mkubwa wa nafsi, soul ndio mkalimani anaetafsiri kwa nafsi kila kitu kinachofanywa na mwili hapa duniani,
Ndani ya soul kuna emotions,intellect and will, sijui kwa Kiswahili nisemeje hapa,mi sijui tunaitaje emotions kwa Kiswahili
Mwili kupitia hisia zake kuu tano unakusanya information na kupeleka kwenye soul kwa njia ya intellect(akili)
Akili inaweza kufanya kazi upitia hisia za mwli tu bila ya hisia za mwili akili haina uwezo wa kufanya kazi,macho yakiona kitu akili ina-process na kutafsiri ni nini macho yameona kupitia kumbukumbu za akili.
Maskio yakisikia kitu akili ina-process kisha inatafsiri nini maskio yamesikia
Na hisia nyengine kazi ndio hio hio
Sasa tuingie kwenye nafsi au sprit
Sprit ndio uhai wenyewe,yaani sprit ndio mtu mwenyewe naejelewa au kujitambua,utambulisho wa mtu hautokani na mwili wala roho wala akili
Utambulisho wa mtu mimi ni nani unatokana na nafsi au sprit
Kwenye sprit au nafsi kuna mambo matatu makuu
Kuna intuition,consciousness na submission to the source au God
Intuition ni uwezo wa kujua kitu bila ya kujua umejuaje, inatokea unajua tu bila kuambiwa ua kufundishwa
Consciousness ndio uhai wenyewe na kujitambua
Na submission to the source ni kusalimu amri kwenye chanzo cha sprit au nafsi na hiki tunakiita mungu au God
Vitu hivi vyote vipo kwenye nafsi au sprit
Nafsi au sprit haiwezi kuishi hapa duniani bila ya mwili na soul(roho) ndio mana mtu akiwa mzee na mwili umechoka nafsi inaondoka na mwili unaparalaiz na haujiwezi tena na hicho ndio kifo.
Pia mwli ukipata majanga makubwa kama ajali na ukawa hauwezi tena kui-support nafsi dakika hio hio nafsi inaruka permanently na kuondoka na hicho ndio kifo
Kifo ni kufariki
Fariki maana yake ni kutenga,au tunasema kufarakana maana ni kutengana
Kwa hio maana yake ni nafsi inafarakana na mwili hio ndio kufariki au kufa
Mi nadhani niishie hapa kama kunakuwa na Shaka tutaulizana
Mada hii nlielezea kwa kina kidogo kwenye uzi huu hapa chini wa kiingereza
What is spiritual awakening?
What is spiritual awakening? Spiritual Awakening means that you have realized that you are an Immortal and Eternal Spiritual Being, not a Mortal Human Body. Where do we come from? God, or Divine Intelligence, is not a Person but a Neutral Power with the Potential for Unlimited Creation. God...www.jamiiforums.com
Umemaliza, maelezo mafupi yaliyojitosheleza.Mwili ni jumba, nafsi ni processing unit, roho ni nishati inayoiwezesha processing unit ifanye kazi kwenye jumba
Uko sahihi kiongozi maelezo yake ni sahihi tafsiri ndio kidogo haijawa sawa nadhani atajifunza hiloNikiri kwamba nimesoma bandiko lako...
Na umeelezea Vizuri sana..
I think Uko sahihi sana kama nilivyosema Mwanzoni..Ntaendelea kusema hivyo pia..
NaQuotes Baadhi ya Comments yako..
-Sprit has three parts, consciousness,intuition and submission to the source(God) -soul has three parts, emotions,intellect/mind and will(I will do/ I will not do) -body have all the senses, smell,hear, see, touch,feel,etc The way it is, is that spirit is the godly part in human and the soul is the connection between spirit and body, the soul function is to make sense to the spirit all things the body does
Na kwa hayo uliyoandika Sina shaka na wewe kabisa..
Ila shida Ni Tafsiri yako ya Kiswahili..
Roho ni spirit..
Nafsi ni Soul
Body ni Mwili..
Hata binadamu Hakuumbwa Akiwa Nafsi "Yaani akiwa Soul"
Ilibidi Apewe the connection Between These Two realm (Body and soul) na That Connection its Called Spirit au Roho..
Na ndo maana maandiko ya Kikristo,Kiyahudu na Kiislam yanasema..
"Mungu akampulizia Adam (Body /Udongo) Pumzi ya uhai (The Spirit/Rua'ch/Ruuhu/Pneumo/Roho)
Na akawa Nafsi hai (Soul/Nefesh/Nafsi)
Kwahyo between Nafsi (Soul) and Body Sit the Spirit..
Hapo ni lugha tu, "soul" ndiyo hiyo hiyo "psychology".Safi sana Faiza leo umejadili mada kwa utamu wake nimependa..
Japo mama yangu Nafsi Sio Psychology kwa kingereza ni Soul (Nafsi=Soul)
na ni kweli Katika Dini tulipewa Elimu chache sana kuhusu Roho,Mwili na nafsi..
Surah Ban-ilsrail aya ya 85-87...
(Quran 17:85-87)
"...Na wakikuuliza khabari za Roho (Spirit). Sema:
Roho (Spirit) ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ya Roho (Spirituality) ila kidogo tu. Na tungeli penda tungeli yaondoa tuliyo kufunulia. Kisha usingeli pata mwakilishi wa kukupigania kwetu kwa haya. Isipo kuwa iwe rehema itokayo kwa Mola wako MIezi. Hakika fadhila yake kwako ni kubwa.....
Ntafurah sana Dada faiza nikiiona hiyo Video Maana napenda sana kusomaHapo ni lugha tu, "soil" ndiyo hiyo hiyo "psychology".
Baadae kidogo ntakutumia video clip yenye chat itayoweza kukuonesha kiundani kutokeaa ushhidi wa kwenye Qur'an.
Uislam ndiyo pekee ulioenda deep sana kwenye somo hilo, ingawa waliopewa elimu hiyo ni wachache sana na kwa uchache sana, lakini wasomi wanajitahidi.
Wasomi maarufuwa Kiislaam ndiyo mabingwa elimu ya nafsi na ndiyo waliyoianzisha, kupitia Qur'an.
Hiyo video clip ni highly educative na inafukia misconceptions nyingi sana. Ngoja niitafute.
In shaa Allah ntaileta hapa watu wajionee darsa za mtandaoni anazosoma FaizaFoxy.
Anza na hii, ni somo refu sana, nakushauri pia uende kwenye reference videos zinazotajwa:Ntafurah sana Dada faiza nikiiona hiyo Video Maana napenda sana kusoma
Kiimani tunasema Mwili ni nyumba nafsi ni uhai na roho ndio nguvu(nishati) kutoka kwa mungu inayoleta uhai...Mwili ni jumba, nafsi ni processing unit, roho ni nishati inayoiwezesha processing unit ifanye kazi kwenye jumba