Ipi sababu ya TCRA kuomba maoni ya wanachi kwa ujio wa Starlink? Hii haiwezi ikawa njia ya kuikataa?

Ipi sababu ya TCRA kuomba maoni ya wanachi kwa ujio wa Starlink? Hii haiwezi ikawa njia ya kuikataa?

00001

Senior Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
173
Reaction score
948
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
 
Kwani Wananchi hawaipendi Starlinkk mpaka waikatae?Kwa nini kwanza waikatae wakati huduma zitakuwa chini kidogo na za haraka?Nadhani itakuwa kutaka mawazo tu kwa Wananchi.
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Adui ujinga ndiyi tatizo kubwa Tanzania.

Usione mijitu ina Masters na PhDs, yote ni ya kusomea ujinga tu.
 
Hivi kwa akili ya kawaida tuna nchi kweli ya kuikataa starlink? Ni suala la muda tu.
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Nnachojua Kasim Majaliwa na mke wake ni wanahisa wa vodacom kwa hiyo usitarajie huyo Musk akarihisiwa kufanya kazi Tz.
 
Nape kama mwananchi wa Tanzania ana haki ya kuweka pingamizi na kuikataa Starlink
1000015807.jpg
 
Hizi kelele za kuitaka starlink itoe huduma hapa nchini tumezipiga sana humu na ni maoni tosha wasituchoshe aitwe aanze kutoa huduma tumechelewa sana
 
Hawana ubavu kuzuia starlink isi operate hapa, US AID ndio hao kina Musk na kina Billget wazee wa msaada kutoka watu wa marekani... Serikali itaruka sana lakini starlink itapita wapende wasipende, kuikataa starlink ni kutangaza vita baridi vya kibiashara na hao mabilionea na serikali ya USA, halafu Musk na Trump ndio hao... Najua voda, tigo, halotel , makampuni ya huduma za Internet, n.k wanapiga vita chini chini starlink ibaniwe lakini hawawezi...

Sisi wenyewe omba omba halafu ukatae matakwa ya US.... Nasemaje starlink iingie kesho asubuhi saa 1...


Tcra wataruka na kubana sana, lakini mwisho wa siku wanaachia...

Nchi kama China ndio wenye ubavu kuikataa starlink...

US alikataza nchi kama UK, Australia, Canada n.k wasitumie tech ya 5G ya mchina na wakafuata maelekezo...

Tz inaweza kujiweka kwenye hali ngumu kuzuia starlink na wakubwa wakachukulia personal, haya mambo yapo complicated..
 
Back
Top Bottom