Ipi sababu ya TCRA kuomba maoni ya wanachi kwa ujio wa Starlink? Hii haiwezi ikawa njia ya kuikataa?

Ipi sababu ya TCRA kuomba maoni ya wanachi kwa ujio wa Starlink? Hii haiwezi ikawa njia ya kuikataa?

Starlink bei zao sio ndogo kama watu wanavyodhani ila itaongeza ushindani na coverage yao ni kubwa sababu inatumia satellites.
 
Starlink bei zao sio ndogo kama watu wanavyodhani ila itaongeza ushindani na coverage yao ni kubwa sababu inatumia satellites.
Bei zao zipo chini sana mzee, kwa speed ya zaidi ya 100 mbps, cause inafika hadi 220 mbps sio mchezo, hata flash ya usb 2.0 haina speed hio kwenye ku copy file... Hio speed inahitaji uwe na kifaa cha kisasa.. ndipo utagundua...

Haya makampuni ya internet ya Tanzania 100 mbps bei yake ni kubwa...
 
Jumanne jioni niliona satellites za starlink zikiwa zinapita kwenye anga ya dsm, muda wa saa kumi na mbili jioni.
Kuziona satellites jinsi zilivyo, hatukujua nini, tunastaajabu, nikatia simu na kupiga picha chap kabla hazijatoweka, mstari wa vitaa vidogo vinaongozana, in a straight, orderly line.

Nimefatilia online ndio nikajua ni ninj jana
 

Attachments

  • Screenshot_20241115-163927.jpg
    Screenshot_20241115-163927.jpg
    85.5 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241115-163853.jpg
    Screenshot_20241115-163853.jpg
    172.1 KB · Views: 3
Kwani Wananchi hawaipendi Starlinkk mpaka waikatae?Kwa nini kwanza waikatae wakati huduma zitakuwa chini kidogo na za haraka?Nadhani itakuwa kutaka mawazo tu kwa Wananchi.
Hapana shida ya serikali wanajuwa hawana uwezo wa kuicontrol starlink nini kioneshwe nini kifungwe. Starlink wewe fungua unachotaka iko open 100%.
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Technolojia ni kama mwanga wa jua,asubuhi ikifika patapambazuka tu
 
Bei zao zipo chini sana mzee, kwa speed ya zaidi ya 100 mbps, cause inafika hadi 220 mbps sio mchezo, hata flash ya usb 2.0 haina speed hio kwenye ku copy file... Hio speed inahitaji uwe na kifaa cha kisasa.. ndipo utagundua...

Haya makampuni ya internet ya Tanzania 100 mbps bei yake ni kubwa...
Makampuni ta Tanzania karibia yote ni kama laki 2 kwa mwezi ila starlink inaweza kugonga 130 hivi ila factor haitaamuliwa na bei tu maana ni wazi ushindani watashusha bei mwisho wa siku itakuwa quality ya huduma inaamua kama hivi sasa mtu anaweza kuchagua mtandao huu sio ule hata kama bei sawa ila kuamini huduma.
 
Makampuni ta Tanzania karibia yote ni kama laki 2 kwa mwezi ila starlink inaweza kugonga 130 hivi ila factor haitaamuliwa na bei tu maana ni wazi ushindani watashusha bei mwisho wa siku itakuwa quality ya huduma inaamua kama hivi sasa mtu anaweza kuchagua mtandao huu sio ule hata kama bei sawa ila kuamini huduma.
Haya makampuni ya ndani hayatoweza battle na starlink, starlink hivi sasa Kenya wameleta mini starlink ni kiantenna kidogo unatembea nacho unaperuzi tu, wameleta hadi vifurushi vya siku...

Watu wanaongea lakini speed ya starlink sio mchezo..
 
Kwamba tumezima internet kuzuial "taharuki" ya maandamano, hahaha! Starlink huwezi kuzima...
 
Hawana ubavu kuzuia starlink isi operate hapa, US AID ndio hao kina Musk na kina Billget wazee wa msaada kutoka watu wa marekani... Serikali itaruka sana lakini starlink itapita wapende wasipende, kuikataa starlink ni kutangaza vita baridi vya kibiashara na hao mabilionea na serikali ya USA, halafu Musk na Trump ndio hao... Najua voda, tigo, halotel , makampuni ya huduma za Internet, n.k wanapiga vita chini chini starlink ibaniwe lakini hawawezi...

Sisi wenyewe omba omba halafu ukatae matakwa ya US.... Nasemaje starlink iingie kesho asubuhi saa 1...


Tcra wataruka na kubana sana, lakini mwisho wa siku wanaachia...

Nchi kama China ndio wenye ubavu kuikataa starlink...

US alikataza nchi kama UK, Australia, Canada n.k wasitumie tech ya 5G ya mchina na wakafuata maelekezo...

Tz inaweza kujiweka kwenye hali ngumu kuzuia starlink na wakubwa wakachukulia personal, haya mambo yapo complicated..
Trump = Rais wa USA = Musk

Ukimbania Musk umembania Trump na ukimbania trump jua umejibania misaada.
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Kwa namna tulivyo corrupt nation usitegemee starlink kufanya kazi hapa nchini….Lazima kuna kampuni zinapambna hilo lisitokee!
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Republican kimeshinda, na kikatiba kinachukua rasmi uongozi wa dola ifikapo Januari 2025. Elon Musk keshapewa nafasi nyeti ndani utawqla wa Rais mteule Donald Trump.

Fear of unknown.
 
Nimeona huko TCRA wanaomba maoni ya wanachi kwenye kupitisha kibali cha Starlink kufanya kazi Tanzania

Ipi sababu ya kufanya hivi na Je, hii haiwezi ikawa njia ya kuja kuikataa Starlink na kusingizia wananchi ndio wameikataa.

Hatujawahi ona TCRA ikiomba maoni ya wanachi kwa makampuni kama Halotel, Zuku, Simbanet n.k wakati wanaomba vibali vya kufanya kazi Tanzania, kwanini iwe Starlink?

Ikumbukwe hii ni mara ya pili Starlink wanaleta maombi nchini..... Kabla ya hapo kampuni ya Starlink iliyo chini ya Bw. Elon Musk iliripoti kwamba ilikuwa na mpango wa kuzindua huduma zake mwanzoni mwa mwaka 2023 nchini Tanzania ila mamlaka zikamwekea vikwazo.
Wapigie upate maelekezo zaidi
 
Back
Top Bottom