DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,579
- 3,798
WelediWengi wanashauri, ili ufanikiwe lazima ufanye kazi kwa bidii; lakini miaka nenda rudi, kuna wasukuma mikokoteni wanafanya kazi kwa bidii, waponda kokoto wanafanya kazi kwa bidii, mkulima analima kwa bidii, mchoma mahindi anahoma kwa bidii, muuza nyanya anafanya kwa bidii n.k lakini maisha yao yako vile vile.
Sasa, hii kufanya kazi kwa bidii inamaanisha nini? Kwa nini tusiseme kufanya kazi kwa werevu?
Work smart not work hard.Wengi wanashauri, ili ufanikiwe lazima ufanye kazi kwa bidii; lakini miaka nenda rudi, kuna wasukuma mikokoteni wanafanya kazi kwa bidii, waponda kokoto wanafanya kazi kwa bidii, mkulima analima kwa bidii, mchoma mahindi anahoma kwa bidii, muuza nyanya anafanya kwa bidii n.k lakini maisha yao yako vile vile.
Sasa, hii kufanya kazi kwa bidii inamaanisha nini? Kwa nini tusiseme kufanya kazi kwa werevu?
Mafanikio ni nini ? Kama mafanikio ni kufanikisha kile uliachoanzisha inakuwaje unasema Mkulima anayelima hekari moja ili apate gunia kadhaa hajafanikiwa wakati kapata hizo gunia ?Wengi wanashauri, ili ufanikiwe lazima ufanye kazi kwa bidii; lakini miaka nenda rudi, kuna wasukuma mikokoteni wanafanya kazi kwa bidii, waponda kokoto wanafanya kazi kwa bidii, mkulima analima kwa bidii, mchoma mahindi anahoma kwa bidii, muuza nyanya anafanya kwa bidii n.k lakini maisha yao yako vile vile.
Sasa, hii kufanya kazi kwa bidii inamaanisha nini? Kwa nini tusiseme kufanya kazi kwa werevu?
🤣🤣🤣🤣Ni sawa na mchimbaji mdogo wa madini, anapoteza nguvu na muda kuchimba sehemu ambapo hakuna madini