Ipi sehemu nzuri kujenga na kuishi?

Ipi sehemu nzuri kujenga na kuishi?

Habari zenu wana JamiiForums!

Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;

1. Kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. Kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba

Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.

Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?
Kimara/ mbezi 👍
 
Back
Top Bottom