MANAKE MKARI
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 299
- 240
Wapi huko??Njoo huku shamba, hewa ya kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko??Njoo huku shamba, hewa ya kutosha
Kimara/ mbezi 👍Habari zenu wana JamiiForums!
Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;
1. Kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. Kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba
Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.
Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?
Sio tatizo kaka sahv mwendokasi mpaka kibaha anawasiwasi ganIla yeye mishe zake anasema zitakuwa maeneo ya posta.