Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kilijikita sana kwenye umbea kitu ambacho ni kigumu Kwa MTU anayejiheshimu kukiangalia, wajifunze FNL wana miaka zaid ya kumi na hawachuji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapenda kujifariji kwi kwi kwiii..utamuongelea nani hapa Tanzania ili uuze kama sio WCB
muangalie Millard Ayo anavyojikongoja siku hizi
Hahahaa navyo vilikufa coz havikuwa na content za diamond hahahahahahahaaaaa hawa jamaa pumbav sana na huyo diamond waoKila chenye mwanzo huwa na mwisho, jiulize ze comedy, mkasi ya salama, bongo star search vyote viko wapi. Ni suala la muda tu.
Sure..Sema tu ulitaka ulink kutokufanya kazi kwa Clouds na Diamond na hiyo hoja yako and nothing else...
Hata TAIFASTARS kushindwa misri ni jezi kutokuwa na angalau kajina ka diamomd kwenye ufito hhahahahaaaa mpo busy kukatengenezea u Mungu mtu kajitu kenu.Mambo mengi yanayotrend kama kina Tanasha and like hawayatoi sasa unahisi nani akaangalie marudio ya mapokezi ya dreamliner!
KWA HIYO DIAMOND HAHUSIKI??Hoja kuu hapo Mkuu ni kwamba Shilawadu huwa wanaedit sana zile habari na kuzistiri sana hivyo sahizi watu wanapata habari zile kupitia mitandao ya kijamii zikiwa MUBASHARA (kumbuka video ya Gwaji boy).
Kwahiyo Mkuu suala la mitandak ya kijamii linapelekea vipindi vingi sana vya habari kusambaratika katika uso wa wafuatiliaji wa vipindi hivyo.
kama millard ayo kila siku ana kosa cha post mara list za nchi tajiri,list za vyuo bora n.kutamuongelea nani hapa Tanzania ili uuze kama sio WCB
muangalie Millard Ayo anavyojikongoja siku hizi
Uko sahihi kabisa, bashboy na dingi ake wanashindwa kulijua hiliKila chenye mwanzo huwa na mwisho, jiulize ze comedy, mkasi ya salama, bongo star search vyote viko wapi. Ni suala la muda tu.
Na Kweli pale ni UPUUZI MTUPUHakijawah kufanya vizuri watu tuache kipindi cha watu makini cha friday night tuanze kuangalia upuuzi
Millard ayo hamna kitu kule...kama millard ayo kila siku ana kosa cha post mara list za nchi tajiri,list za vyuo bora n.k
mara jamaa kashangaza tazama video alafu ukiingia hakuna la maana kumaliza bando tu
Vipind vya kihuni huni kama hvyo ni vya wadangaji tu ndo huangaliaNa Kweli pale ni UPUUZI MTUPU
SHILAWADU ni ya watu wajinga wajinga wasio na kazi na wambea.
Upumbavu tu wallah.