Ipi siri ya Kipindi cha SHILAWADU kuanguka?

Ipi siri ya Kipindi cha SHILAWADU kuanguka?

Kilijikita sana kwenye umbea kitu ambacho ni kigumu Kwa MTU anayejiheshimu kukiangalia, wajifunze FNL wana miaka zaid ya kumi na hawachuji
 
Innocent dependen

Kwa mujibu wako kimeanguka...sisi tunaenjoy tu na jamaa wapo had DSTV now sasa sijui wameangukaje?...nyny mnaoshinda wasafi tv mloisusia clouds kwa ajili ya diamond ndo hampat uhondo..
 
Kila chenye mwanzo huwa na mwisho, jiulize ze comedy, mkasi ya salama, bongo star search vyote viko wapi. Ni suala la muda tu.
Hahahaa navyo vilikufa coz havikuwa na content za diamond hahahahahahahaaaaa hawa jamaa pumbav sana na huyo diamond wao
 
Mambo mengi yanayotrend kama kina Tanasha and like hawayatoi sasa unahisi nani akaangalie marudio ya mapokezi ya dreamliner!
Hata TAIFASTARS kushindwa misri ni jezi kutokuwa na angalau kajina ka diamomd kwenye ufito hhahahahaaaa mpo busy kukatengenezea u Mungu mtu kajitu kenu.
 
Hoja kuu hapo Mkuu ni kwamba Shilawadu huwa wanaedit sana zile habari na kuzistiri sana hivyo sahizi watu wanapata habari zile kupitia mitandao ya kijamii zikiwa MUBASHARA (kumbuka video ya Gwaji boy).

Kwahiyo Mkuu suala la mitandak ya kijamii linapelekea vipindi vingi sana vya habari kusambaratika katika uso wa wafuatiliaji wa vipindi hivyo.
KWA HIYO DIAMOND HAHUSIKI??
 
utamuongelea nani hapa Tanzania ili uuze kama sio WCB
muangalie Millard Ayo anavyojikongoja siku hizi
kama millard ayo kila siku ana kosa cha post mara list za nchi tajiri,list za vyuo bora n.k
mara jamaa kashangaza tazama video alafu ukiingia hakuna la maana kumaliza bando tu
 
Kutooneshwa kwa local chanels kumechangia vipindi vingi sana kufa, ata makampuni yamedorora sana kwa kukosa pa kutangazia huduma zao, hii ndio main factor
 
innocent dependent

Unaposema kinapendwa na watu wengi una uhakika na hilo?

Kipindi cha kijinga na kipuuzi sana

Hakina Logic wala sense

Eti kuingia nyumbani kwa mtu kwa nguvu kumlazimisha akubali au aongelee umbea unaomhusu.....Stupid. Sasa ndio mini hicho?

Mbona kwenye base nyingi za USA na Canada mtu anahojiwa kwa ridhaa yake kuhusu scandal yake...kama hayupo tayari basi anasema tu hataki kuzungumzia suala flani ama its None/Out of Ya Business (N.Y.B)


Hiki kipindi kilipendwa na mabeki 3, Wanawake wasio na Kazi labda na Mashoga


Ujinga Ujinga TU, hakuna cha kufuatilia.


Wabillah Tawfiq,
 
Back
Top Bottom