Total capacity ya megawatt Tanzania ni 1600MW na bwawa la Nyerere likikamilika jumla tutakuwa na MW 3600.Kuhusu size ya eneo LA nchi ya Korea Kusini amekosea, tusipoteze Mira kwenye hiyo typing error, turudi kwenye Nada nini siri kea nchi ndogo Kama Korea kusini kuweza zalisha umeme mwingi kiasi hicho na nchi kubwa Kama Tanzania hata mega wat 10,000 tuu hatujaweza fikia huko.
Duh! Kumbe tuna umeme mdogo hivi 🤣Total capacity ya megawatt Tanzania ni 1600MW na bwawa la Nyerere likikamilika jumla tutakuwa na MW 3600.
Hizo 10,000 umezitoa wapi?
Kwa kifupi currently tunazo GW 1.6 kulinganisha na Korea mwenye 143GW.
USA 1,300,000 MWDuh! Kumbe tuna umeme mdogo hivi [emoji1787]
Korea ana 143,000 megawatt
Tanzania -1600 megawatt
Je Japan ina umeme megawatt ngapi?
Je China, USA, UK, Uturuki, India, Ufaransa, Germany wana megawatt ngapi?
Kwahyo baba yetu magufuri arikosea sana kushilikiana na uchina na rashia kwa kuwaona wazungu ni mabeberu jee arikosea?Hiyo nchi tamu sana!
Inaushirikiano sana na USA kama ilivyo Japan.
Jirani yake Korea Kaskazini kamshikilia Urusi na udikteta matokeo yake raia wanaishi kama wapo jehanamu.
Nina mpango niagize simu ya Samsung huko Korea Kusini.
Ushirikiano wa SK na US una mahusiano gani na kiwango cha nishati anacho zalisha SK ?Huwezi kuwa mshirika wa lile dubwana kubwa alafu ukawa mjingamjinga. South Korea, Japan, Taiwan ni washirika wake na wote wako vizuri kiuchumi. Meanwhile, North Korea majirani na ndugu kabisa wa South Korea hawafikishi 8,000 MW wakiokolewa na kuwa na deposit ya makaa ya mawe, na wenye umeme nchi nzima hawafiki 60%
Sasa ushirikiano wa SK na Japan na US una mahusiano gani na kiwango cha nishati anacho zalisha SK?Hiyo nchi tamu sana!
Inaushirikiano sana na USA kama ilivyo Japan.
Jirani yake Korea Kaskazini kamshikilia Urusi na udikteta matokeo yake raia wanaishi kama wapo jehanamu.
Nina mpango niagize simu ya Samsung huko Korea Kusini.
Utofauti moja ni nchi ya viwanda inahitaji kiwango kikubwa cha nishati wakati Tanzania sio nchi ya viwandaKuhusu size ya eneo LA nchi ya Korea Kusini amekosea, tusipoteze Mira kwenye hiyo typing error, turudi kwenye Nada nini siri kea nchi ndogo Kama Korea kusini kuweza zalisha umeme mwingi kiasi hicho na nchi kubwa Kama Tanzania hata mega wat 10,000 tuu hatujaweza fikia huko.
Nimekupa majibu mawili hayo ya msingi.Mbona nchi yao ndogo sana na wana viwanda vingi na exports nyingi. Wamewezaje eneo lao ni 100,410km². Mbona ni kama mikoa miwili tu ya Morogoro na Pwani. Halafu wana umeme mwingi mno.
Nashangaa mno, mpaka wanasaidia nchi za afrika. Hata Tanzania tusaidiwa na Korea na kukopeshwa matrillioni na korea kupitia shirika lao la Koica.
Hao wamewezaje?
NK ina athiriwa na vikwazo na kutengwa na dunia kwa kiasi kikubwa ukiwepo uwanja sawa hapo ndipo utajua kwa nini wakorea, wajapan na wachina wana akili sana1. Vita baridi kati ya Marekani na Urusi. Korea ya Kusini ilikuwa upande wa Marekani ikapewa boost sana kuendelea.
2. Utamaduni wa Wakorea kutaka ufanisi zaidi, kujiongeza zaidi, kutopenda kufeli, kufanya kazi sana.
Tafuta kitabu kinaitwa "Why Nations Fail: The Origins of Power Prosperity and Poverty" kuna chapter nzima wamechambua maendeleo ya Korea na hata kulinganisha Korea ya Kusini na Kaskazini.
Jinsi NK ilivyowekewa vikwazo, hivyo hivyo SK imesaidiwa.NK ina athiriwa na vikwazo na kutengwa na dunia kwa kiasi kikubwa ukiwepo uwanja sawa hapo ndipo utajua kwa nini wakorea, wajapan na wachina wana akili sana
Pamoja na hayo yote NK inafanya vizuri sana licha ya kufungwa mikono ukilinganisha na nchi nyingi dunia zilizo na uwanja sawa
Singapore ni ndogo zaidi ya SK lakini hakuna nchi Afrika ipo meza moja kiuchumi na SingaporeMbona nchi yao ndogo sana na wana viwanda vingi na exports nyingi. Wamewezaje eneo lao ni 100,410km². Mbona ni kama mikoa miwili tu ya Morogoro na Pwani. Halafu wana umeme mwingi mno.
Nashangaa mno, mpaka wanasaidia nchi za afrika. Hata Tanzania tusaidiwa na Korea na kukopeshwa matrillioni na korea kupitia shirika lao la Koica.
Hao wamewezaje?
Huo ndio ubaya na utofauti wao.Jinsi NK ilivyowekewa vikwazo, hivyo hivyo SK imesaidiwa.
Korea, India, Japan, China, US, Germany, Turkey, Uk, France ni industrial countriesDuh! Kumbe tuna umeme mdogo hivi 🤣
Korea ana 143,000 megawatt
Tanzania -1600 megawatt
Je Japan ina umeme megawatt ngapi?
Je China, USA, UK, Uturuki, India, Ufaransa, Germany wana megawatt ngapi?
NK ni ujinga mtupu. Watu wanakufa kwa njaa wakati hela nyingi sana zinapelekwa kwenye silaha.Huo ndio ubaya na utofauti wao.
All in all mimi nawaheshimu sana hawa watu( Wachina, wajapan, wakorea ) kama ingewezekana katika jamii ya Kitanzania palipaswa kuwe na race mojawapo ya hizo tatu yenye population ya 1m+ kuna kitu kingefanyika I know from my experience
NK ya vikwazo chungu mzima ina iaibisha Afrika ambayo haija fungwa mikono kama NK
Sisi TANESCO wetu ndio hawa wanabembea tuView attachment 2896686
Korea Kusini ni nchi ndogo sana, ina 100 Sqkm za mraba.
Ni nchi iliyoendelea sana kiuchumi, ki technologia.
Uzalishaji wa umeme wa hii nchi ni gigawatts 143. Gigawatts 143 ni sawa na megawatts 143000. Huu umeme ni mwingi sana. Nini siri ya wenzetu kua na uzalishaji mwingi kiasi hiki?
Mbona kuna rundo la nchi ambazo ni washirika wa hilo dubwana kubwa na bado ni masikini wa kutupwa?Huwezi kuwa mshirika wa lile dubwana kubwa alafu ukawa mjingamjinga. South Korea, Japan, Taiwan ni washirika wake na wote wako vizuri kiuchumi. Meanwhile, North Korea majirani na ndugu kabisa wa South Korea hawafikishi 8,000 MW wakiokolewa na kuwa na deposit ya makaa ya mawe, na wenye umeme nchi nzima hawafiki 60%
Nacho fahamu janga la njaa NK lilitokea lakini si kwamba ndio maisha yao ya kila siku.NK ni ujinga mtupu. Watu wanakufa kwa njaa wakati hela nyingi sana zinapelekwa kwenye silaha.
Nchi nzima watu wanaishi kwa kumuogopa mtu mmoja.
That is not smart at all.
Good one1. Vita baridi kati ya Marekani na Urusi. Korea ya Kusini ilikuwa upande wa Marekani ikapewa boost sana kuendelea.
2. Utamaduni wa Wakorea kutaka ufanisi zaidi, kujiongeza zaidi, kutopenda kufeli, kufanya kazi sana.
Tafuta kitabu kinaitwa "Why Nations Fail: The Origins of Power Prosperity and Poverty" kuna chapter nzima wamechambua maendeleo ya Korea na hata kulinganisha Korea ya Kusini na Kaskazini.
North Korea mpaka kesho watu wanataka kukimbia kwenda China wanazuiwa na serikali.Nacho fahamu janga la njaa NK lilitokea lakini si kwamba ndio maisha yao ya kila siku.
Tanzani miaka ya 60 jangwa la njaa lilitukumba mpaka kuomba msaada nje, China janga la njaa miaka ya 50 liliwakumba.
Majanga ya njaa huwa yanatokea katika mataifa mbalimbali na huwa yana sababu zake mara nyingi sana huwa sera kutokuleta matokeo tarajiwa au kutengeneza zaidi kilimo cha mvua.
Majanga ya njaa sio rahisi kuya kwepa