balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mwizi Morisson huyuIle ambayo inakua kama mbwa anakojoa kwenye kichaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizi Morisson huyuIle ambayo inakua kama mbwa anakojoa kwenye kichaka
Serge gnabry anashangilia vile akimuigiza staa wake wa NBA James harden ambaye anashangiliaga ivo akimaanisha chef Cooker ndio mana serge mda mwngine tunamuita chef cooker[emoji23] [emoji23] sasa sjui huwa anakoroga nini yule jamaa
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Sio misifa mkuu..Napenda ushangiliaji wa kawaida tu, mfano Messi, Maradona n.k. ushangiliaji wao naupenda, na co wa misifa. Wasukuma 2nasema ivi "Mashkolo mageni"
Sio misifa mkuu..
Ni furaha hata Maradona alikuwa akifunga goli anakimbia kama kichaa
Hahaa wanasema inaitwa "UKIPUNGIWA NAWE PUNGA" ..Namkubali sana huyu jamaa nahiyo stail yakeIle style ya Steven Set wa Namungo Fc, anachomekea jersey yake Kisha anaanza kutembea huku akiwapungia mkono mashabiki kwa tabasamu Kama mtu aliyelipa Kodi Jana anapokutana na baba mwenye nyumba asubuhi.
Duuh! hyo kaliKuna staili juzi niliona juzi jamaa wanakimbia huku wanajikuna mfereji wa kalio.
Umejuaje au wote hamna?Kuziba jicho ya kagere kuonesha kuwa hana marinda
Me ndo nampumuliaUmejuaje au wote hamna?
Mzee mwenzangu za masiku?Tim Cahill mwamba wa vichwa pale Goodson Park..
Niliipenda sana style yake kama yuko ulingoni vile..
Wayne Rooney aliwahi kuiiga kipindi flan hivi...