Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Dybala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Steven Seyi,kiongoziIle style ya Steven Set wa Namungo Fc, anachomekea jersey yake Kisha anaanza kutembea huku akiwapungia mkono mashabiki kwa tabasamu Kama mtu aliyelipa Kodi Jana anapokutana na baba mwenye nyumba asubuhi.
Mi napenda ile ya Mukoko TonombeHaaaahaaaaaa unanilumbusha siku ile wanatoa droo na yanga nilihuzunika kwa lile goli ila nikaja kucheka ile style yake ya ushangiliaji yaani ni kama mtu ambae kuna jambo lilikuwa linamsumbua muda mreeeeefu (mfano kodi km ulivyosema,mkopo,ada) sasa kalimaliza anawaringishia wapambe nuksi
Kidiaba ,Sasa hivi Ni muhishimiwa MbungeIle staili ya golikipa wa Congo Dr anarukaruka huku amekaa huwa inafurahisha sana
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
View attachment 1664535View attachment 1664536
Duuu kama limnyama hivi[emoji23]
Kaangalie ile game uefa Barcelona anapigwa nneMchezaji ambaye hajui kushangilia ni origi wa Liverpool.Anafunga magoli ya muhimu na ya ushindi ila kapoa wakati angekua Steve Gerald au Dorga Dunia ingesimama
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hii siku kama sikosei aliwafunga BarcaRonaldo anakwambia tulia tuliaView attachment 1665715
Rest in Peace Rashid Yekini.Imebidi niitafute hiyo style nione.
View attachment 1663905
Mzee wa kukera Ben Morrison hua anaitumia piaIle ambayo inakua kama mbwa anakojoa kwenye kichaka
Huyu hajui mpiraMichail Antonio
View attachment 1663671
Mwizi Morisson huyuIle ambayo inakua kama mbwa anakojoa kwenye kichaka