Ipi ‘style’ ya kushangilia goli inayokuvutia kwenye soka?

Ipi ‘style’ ya kushangilia goli inayokuvutia kwenye soka?

hii nayo ilikuwa ni Revenge
Screenshot_20201231-141104.jpg
Screenshot_20201231-141221.jpg


Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna yule jamaa wa boca juniors alishinda goli halafu akakimbia akaruka yale mabango ya matangazo akapanda jukwaani akakaa kwenye kiti akaanza kujipigia makofi kana kwamba na yeye ni mshangiliaji,aliporudi uwanjani akala red akatoka🤣

Lakini mi naikubali ile shangilia ya bafetimbi gomis yule mtu mweusi kipindi kile anachezea swansea,jamaa anashangilia kama sokwe hivi..
Hata ile ya mademu kwenye women world cup,kuna demu yule wa paraguay akishinda wanakimbilia kwenye kibendera wanakata viuno kwa kuzunguka huku mikono wameinyosha juu na kwa maringo saaana,aaaah mpira raha sana
 
Staili bora kwangu ni ile ya Selestine Babayaro. Ilikuwa kwenye kombe la Dunia, sikumbuki ni mwaka gani.
Aliruka sarakasi kisha akawa anayumbayumba kama Piere liquid akiwa amelewa.
 
Back
Top Bottom