Ipi ‘style’ ya kushangilia goli inayokuvutia kwenye soka?

Ipi ‘style’ ya kushangilia goli inayokuvutia kwenye soka?

Hellow Football Fans..!!

Kwenye soka kuna kuna aina mbalimbali ya vionjo vinavyochochea burudani zaidi.. Kuna style nyingi za kushangilia magoli pale mfungaji anapofunga na kushangilia goli lake.

Binafsi navutiwa sana na style ya mchezaji wa Bayern Munchen SERGE GNABRY.. ile style yake kama anakoroga KAHAWA kwenye kikombe naipenda sana.

Wewe je unavutiwa na style gani kwenye soka..?

HAPPY NEW YEAR
Ile ya kufumba macho kwa nguvu,kuachia mdomo wazi,kukaza makalio na kunyoosha miguu...
 
Hii style aliwah ifanya kocha wa atletico Madrid walipowafunga juventus nyumban kwa goli nazan 2-0,juve walipokuwa nyumban nao wakafunga 3-0 tena nazan goli zote alifunga ronaldo na alipofunga goli la tatu akashangilia kwa style hyo,alipigwa faini baadae
aaah hiyo style hatari.Siku Antonio anashangilia ukumbi mzima ulicheka.
 
P.Dyabala nyumbani watoto wanaikubaki hadi mm wakaniambukiza. Luis nani sarakasi yake ile. Cavani niliikubaki kpind yuko Napoli . Bafetimbi gomes staili yake ilkuwa inatisha watt sana.
 
Back
Top Bottom