Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
"Na yule ibilisi, mwenye kuwadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele" (Ufunuo wa Yohana 20:10)
Naamini JF siwezi kosa majibu ya maswali haya tafakarishi ninayojiuliza baada ya kukisoma kifungu hicho kutoka katika kitabu cha ufunuo wa yohana 20:10 sababu humu kuna watumishi,waamini, wanatheolojia, na wasomaji wazuri wa biblia wanaoweza kunipatia ufumbuzi wa kifungu hiki ambacho kina vitu vikuu vitatu ndani yake yaani IBILISI, MNYAMA na NABII WA UONGO.
1. Je, upi ni utofauti wa ibilisi, mnyama na nabii wa uongo?
2. Ikiwa ibilisi umaanisha shetani, je mnyama na nabii wa uongo ni akina nani hao kwa mujibu wa maandiko.
3. Je, binadamu anakabiliana na maadui wangapi hapo ni watatu au ni shetani tu?
4. Je, binadamu mwenye hatia atoangukia kwenye adhabu hii ya moto wa milele?Maana kulingana na kifungu hiki vinaonekana viumbe hivyo vitatu tu ndiyo vipo motoni.
5. Kwanini inaonekana kana kwamba mnyama na nabii wa uongo watamtangulia ibilisi kuingia motoni?
Naamini JF siwezi kosa majibu ya maswali haya tafakarishi ninayojiuliza baada ya kukisoma kifungu hicho kutoka katika kitabu cha ufunuo wa yohana 20:10 sababu humu kuna watumishi,waamini, wanatheolojia, na wasomaji wazuri wa biblia wanaoweza kunipatia ufumbuzi wa kifungu hiki ambacho kina vitu vikuu vitatu ndani yake yaani IBILISI, MNYAMA na NABII WA UONGO.
1. Je, upi ni utofauti wa ibilisi, mnyama na nabii wa uongo?
2. Ikiwa ibilisi umaanisha shetani, je mnyama na nabii wa uongo ni akina nani hao kwa mujibu wa maandiko.
3. Je, binadamu anakabiliana na maadui wangapi hapo ni watatu au ni shetani tu?
4. Je, binadamu mwenye hatia atoangukia kwenye adhabu hii ya moto wa milele?Maana kulingana na kifungu hiki vinaonekana viumbe hivyo vitatu tu ndiyo vipo motoni.
5. Kwanini inaonekana kana kwamba mnyama na nabii wa uongo watamtangulia ibilisi kuingia motoni?