Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Umesha anza kula sadaka za walokole?Apostle Analyse 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesha anza kula sadaka za walokole?Apostle Analyse 😅
Nakusanya sana fungu la 10 😅😅Umesha anza kula sadaka za walokole?
Nadhani baada ya kupata majibu atarudi tena na uzi wenye kuuliza "je atamjuaje nabii wa kweli?Nilitegemea angeuliza, atamtambuaje nabii wa ukweli, maana waliopo wote ni wajanja wajanja tu 😅
Ushindwee na ulegee 😁Nakusanya sana fungu la 10 😅😅
Wote wanaojiita MANABII NA MITUME KWA SASA WOTE NI MATAPELI WATUPU NA SII WAKRISTU. UTUME NA UNABII ULIISHIA KWA KRISTUMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Ntashindwa sawa, ila kulegea siwezi 😅😅Ushindwee na ulegee 😁
Una kiburi weweNtashindwa sawa, ila kulegea siwezi 😅😅
Huyu anajambia waumini...muongoMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Msaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Hili nalo akalitazame.Nilitegemea angeuliza, atamtambuaje nabii wa ukweli, maana waliopo wote ni wajanja wajanja tu 😅
Mat 7:15-20, …mtawatambua kwa matendo yao. Angalia matendo ya hao manabii:Msaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Binti, siku hizi uhanga wako umezidiMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Kama hafundishi mafundisho ya ufalme wa Mungu anafundisha habari za ufalme wa ulimwengu huu huyo ni nabii fekiMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Akianza kuuza mafuta na maji na vinginevyo,akianza kuambatanisha maombi na sadaka kwa maandiko ya agano la kale yale ya zamani ku justify utoaji wa sasa!Msaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
no Alie mwongo, huongopa. sio ya kidunia.. Ipo hivi, wa Mungu atakuelekeza kwa Mungu bali wa uongo atakudanganya ili akupeleke kwa shetaniAliye wa Mungu huzungumza habari za Mungu tu. Aliye muongo huzungumza mambo ya kidunia.
Imeisha hiyo.