Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahahahaa kulikoni tenaMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahaa kulikoni tenaMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
Nabii wa uwongo ni yule anaye toa unabii wa uwongo simple as thatMsaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.
Je nitamjuaje nabii wa uongo?
Natanguliza shukrani.
manabii wa ukweli ni wale waliolisha chakula watu wengi na wakashiba, inje ya hapo hamna nabii ila ni viinimachoTafakari yafuatayo kumtambua
1. JE, anakuombea upate kile ambacho yeye anachangiwa pesa akipate?
2. je, anaponya wachache? je anaweza kwenda pale hospital na wote wakapona?
3. Je amewah ponya mlemavu wa kuzaliwa? Yaan kiwete toka azaliwe, je anaponya?
4. Je, anaweza kufufua?
5.
6.
7.
8. Usidanganyike
Una ushahidi gani wakujustify kauli yako au jaribu kufafanua tafadhali.Ibilisi ni sheytwan/lucifer, mnyama ni ukatoliki na nabii wa uongo ni Muhamad
Biblia Imeandika Haya yote vizuri mno.
UKITAKA kujua ni kusoma Tena vitabu viwili tu.
DANIEL.
UFUNUO WA YOHANA.
HATA SIO MAMBO YA KUUMIZA KICHWA AU MAGUMU. UKISOMA LAZIMA UTAELEWA TU .
TATIZO ndio hivyo hamtaki kusoma
Kwanini unadhani wa zama hizo za zamani walikuwa sawa huku wote ni binadamu walewale?Yoyote anaejiita nabii zama hizi ni wa mchongo huyo
Hapo kwa ibilisi na mnyama kulingana na sources kadhaa inaonekana ni kweli, ila hapo kwa Muhammed bado sikubaliani napo kwanini yeye na si Yesu?Ibilisi ni Shetani.
Mnyama ni UTAWALA WA kiselikali, UFALME.
NABII WA UONGO ni MWAMED.
Kwahiyo kipimo cha nabii wa ukweli kwako wewe ni miujiza?manabii wa ukweli ni wale waliolisha chakula watu wengi na wakashiba, inje ya hapo hamna nabii ila ni viinimacho
Asante, kwa maarifa.The New World OrderView attachment 2609100
Una wito? Au unafungua huduma kwa ajili ya shibe yako?Nataka nifungue huduma
Unatambuaje kuwa huu ni unabii wa uongo?Nabii wa uwongo ni yule anaye toa unabii wa uwongo simple as that
Swali ni kuwa unawatambua vipi ikiwa wote wanapayuka kwa jina la Yesu na wanaonesha kwa dhati kuwa wanaifuata njia iliyo ya haki?no Alie mwongo, huongopa. sio ya kidunia.. Ipo hivi, wa Mungu atakuelekeza kwa Mungu bali wa uongo atakudanganya ili akupeleke kwa shetani
Akianza kuuza mafuta na maji na vinginevyo,akianza kuambatanisha maombi na sadaka kwa maandiko ya agano la kale yale ya zamani ku justify utoaji wa sasa!
Akianza kukuambia toa sadaka KWA kuvunja agano tena anasema kabisa roho wa Mungu kasema utoe sh. Kadhaa kwa AJILI ya HILI na lile huyo ni mchungaji,nabii,mtume,shemasi vyovyote vile wa uongo!!!
Hata kama ni huyu mwalimu mashuhuri akisema ambatanisha maombi na sadaka huo ni wizi!
Yesu hakuponya KWA kuambatanisha na sadaka bali walitoa baada ya kuponywa ndio wakaleta shukrani na sio KABLA ya uponyaji kufanyika!!
Paulo anaandika hivi"NIFUATENI MIMI KAMA JINSI NINAVOMFUATA KRISTO!
YESU HAKUWAAMBIA SADAKA KABLA YA KUTATUA MATATIZO YAO WALA HAKUWAAMBIA ETI WAAMBATANISHE SADAKA KATIKA MAOMBI BALI KILA MTU ATOE KWA SHUKRANI KAMA ALIVOBARIKIWA TENA KAMA DESTURI YA WANA WA MUNGU!!!!
HAKUNA KUAMBATANISHA MAOMBI NA SADAKA BALI SHUKRANI KWA JINSI ULIVOGUSWA!!!
KATIKA ULIMWENGU WA AGANO JIPYA NA UKRISTO HAKUNA SADAKA ZA KUAMBATANISHA ILI MUNGU AKUJIBU BALI NI HAPO KALE!
MAHUBIRI YA KUAMBATANISHA SADAKA NI WIZI ULIOHALALISHWA KWA MAANDIKO YA GANO LA KALE ILI KUFUMBA MACHO WAJIBU WA AGANO JIPYA!!!
HIVYO TU YAANI!!!
Utamtambua kupitia matunda yake. Je baada ya kuhubiri matunda yake ni yapi? Ni uzima au ni mauti.
Nabii wa kweli huongea neema na uzima kwa wana wa Mungu kwa imani ya Kristo.
Nabii wa uongo huongea habari za hukumu na mauti.
Karibu kwa swali lolote