Ipi tofauti ya Ibilisi, Mnyama na nabii wa uongo?

Ipi tofauti ya Ibilisi, Mnyama na nabii wa uongo?

Sio warumi tu, iko hivi kuna tawala za dunia nyingi zimepita ikiwepo warumi, sasa kilichopo ni kwamba huyo mnyama ndio yuko nyuma ya hizo utawala, yaani ukifungua pazia nyuma ya mtawala wa dunia utamuona huyo mnyama,
Ndio maana katika kitabu cha Daniel, nabii Daniel alionyeshwa hizi tawala katika image ya wanyama ambao ndio uhaliasia wa wa tawala hizo tofauti ya mfalme nebkadreza ambaye yeye alionyeshwa sanamu ya mtu , Daniel alionyeshaa wanyama tofauti tofauti kila tawala kwa style za kutawala zilikuwa kinabadilika kwa kila tawala, sasa tuko katika utawala wa warumi ndio unaendelea kufika mwisho.
Unafikiri ni kwanini tawala au falme za dunia ufananishwa au kuwasilishwa katika unabii kama MNYAMA katika biblia na siyo kitu vingine?

Je uoni kuwa hii inaweza kumaanisha kuwa huyu tunayedhani ni nafsi kama alivyo mtu au malaika fulani, sivyo bali neno MNYAMA uwakilisha SERIKALI za ulimwengu huu?

Na kama ndivyo kwanini Serikali au mamlaka za kibinadamu zipewe sifa hiyo ya uhusika wa Mnyama unahisi kuna siri gani hapo iliyojificha?
 
Sio warumi tu, iko hivi kuna tawala za dunia nyingi zimepita ikiwepo warumi, sasa kilichopo ni kwamba huyo mnyama ndio yuko nyuma ya hizo utawala, yaani ukifungua pazia nyuma ya mtawala wa dunia utamuona huyo mnyama,
Ndio maana katika kitabu cha Daniel, nabii Daniel alionyeshwa hizi tawala katika image ya wanyama ambao ndio uhaliasia wa wa tawala hizo tofauti ya mfalme nebkadreza ambaye yeye alionyeshwa sanamu ya mtu , Daniel alionyeshaa wanyama tofauti tofauti kila tawala kwa style za kutawala zilikuwa kinabadilika kwa kila tawala, sasa tuko katika utawala wa warumi ndio unaendelea kufika mwisho.
Unafikiri ni kwanini tawala au falme za dunia ufananishwa au kuwasilishwa katika unabii kama MNYAMA katika biblia na siyo kitu vingine?

Je uoni kuwa hii inaweza kumaanisha kuwa huyu tunayedhani ni nafsi kama alivyo mtu au malaika fulani, sivyo bali neno MNYAMA uwakilisha SERIKALI za ulimwengu huu?

Na kama ndivyo kwanini Serikali au mamlaka za kibinadamu zipewe sifa hiyo ya uhusika wa Mnyama unahisi kuna siri gani hapo iliyojificha?
 
Ibilisi ni Shetani.

Mnyama ni UTAWALA WA kiselikali, UFALME.

NABII WA UONGO ni MWAMED.
Katika hilo la kwanza nakubaliana nawe kuwa Ibilisi ndiye Shetani au joka kwa maana hata katika biblia kuna ufafanuzi wake, Na vile vile hili la pili ni kama uelekeo wa vyanzo vingi katika uzi huu vinaashiria kuwa kura nyingi za Mnyama zinaangukia katika Tawala au Serikali za dunia. Dukuduku langu hapa ni kwanini "Mnyama" na si kitu kingine yaani kuna uhusiano gani kati ya symbolism hii na mamlaka?

Katika kipengele cha mwisho umedai kuwa Nabii wa uongo ni Mohammedi S.A.W kwanini asiwe Yesu?

Na kwanini wasiwe wote ni manabii wa uongo? (Ikiwa mmoja ni mwanzilishi wa falsafa ya popery na mwingine Mohammedanism)
 
Ibilisi =shetani
Mnyama=ufalme wa kutisha wa Nne wenye Pembe ndogo 7 na Pembe moja katokati =Utawala wa Rumi = Vatican

Nabiii wa Uongo= yule aliyekuja baada ya kristo akijiita nabii na kueneza injili mpya isiyo ya kristo = Mohammed Dini ya Uongo =Islamic

Vitu raisi tuu mwanawane

Je ni nani aliyekuletea habari za Yesu Kristo kwa mara ya kwanza kama mkristo (kabla ya kuibuka wimbi la madhehebu) mpaka ukapata kuzisadiki?

Jibu = Roman Catholic

Je, ni sawa kusema kuwa RC haina ushirika na Yesu?

Ikiwa wazisadiki habari za Yesu Kristo ambazo huna hakika nazo kwanini ahusadiki za Mohammed na wahisi kuwa ndiye Nabii wa uongo?
 
"Na yule ibilisi, mwenye kuwadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele" (Ufunuo wa Yohana 20:10)

Naamini JF siwezi kosa majibu ya maswali haya tafakarishi ninayojiuliza baada ya kukisoma kifungu hicho kutoka katika kitabu cha ufunuo wa yohana 20:10 sababu humu kuna watumishi,waamini, wanatheolojia, na wasomaji wazuri wa biblia wanaoweza kunipatia ufumbuzi wa kifungu hiki ambacho kina vitu vikuu vitatu ndani yake yaani IBILISI, MNYAMA na NABII WA UONGO.

1. Je, upi ni utofauti wa ibilisi, mnyama na nabii wa uongo?

2. Ikiwa ibilisi umaanisha shetani, je mnyama na nabii wa uongo ni akina nani hao kwa mujibu wa maandiko.

3. Je, binadamu anakabiliana na maadui wangapi hapo ni watatu au ni shetani tu?

4. Je, binadamu mwenye hatia atoangukia kwenye adhabu hii ya moto wa milele?Maana kulingana na kifungu hiki vinaonekana viumbe hivyo vitatu tu ndiyo vipo motoni.

5. Kwanini inaonekana kana kwamba mnyama na nabii wa uongo watamtangulia ibilisi kuingia motoni?
Ibilisi ni shetani
Mnyama ni mwili wa binadamu
Nabii wa uongo ni nafsi ya mwanadamu

Katika kundi la wenye dhambi ...mwili wa binadamu ndiyo 666
 
Ibilisi ni shetani
Mnyama ni mwili wa binadamu
Nabii wa uongo ni nafsi ya mwanadamu

Katika kundi la wenye dhambi ...mwili wa binadamu ndiyo 666
Dah! Ni kama umeniletea kitu kipya katika ufahamu wangu na imenifanya ni imagine zaidi kupitia concept hiyo kuwa; ikiwa IBILISI (awadanganyae) ni fumbo kumaanisha AKILI(Mithali 3:5-6 na Mathayo16:23), na kwa vile mwili umeumbwa na damu na nyama na hata matendo ya kimwili ni yale ya mnyama hivyo mwili ni fumbo kumaanisha MNYAMA, na NABII WA UONGO ni NAFSI (Luka 9:23-25)

Swali ni je, ikiwa mwili ndiyo kikwazo cha kufikia utimilifu wa roho,kwanini Mungu alimuumbia roho mwili?

Endapo 666 ni utatu wa mwili, fikra za mwanadamu na nafsi yake ambavyo ndiyo machukizo kwa Mungu, je haiko wazi kuwa anayewindwa hili kuondoshwa katika matrix hii ni binadamu?

"Enyi kizazi cha nyoka..."(Mathayo 12:34)

Ikiwa binadamu=Kizazi cha nyoka (Ibilisi).

Nyoka=maarifa ya udanganyifu/uwongo.

Maarifa=umfanya mtu (Nafsi) asisikilize na kutii sauti ya Mungu.

Mungu= Ukweli

Shetani= Uongo

Hivyo binadamu=ibilisi.

Hivyo basi adui wa Mungu=Binadamu.
 
Dah! Ni kama umeniletea kitu kipya katika ufahamu wangu na imenifanya ni imagine zaidi kupitia concept hiyo kuwa; ikiwa IBILISI (awadanganyae) ni fumbo kumaanisha AKILI(Mithali 3:5-6 na Mathayo16:23), na kwa vile mwili umeumbwa na damu na nyama na hata matendo ya kimwili ni yale ya mnyama hivyo mwili ni fumbo kumaanisha MNYAMA, na NABII WA UONGO ni NAFSI (Luka 9:23-25)

Swali ni je, ikiwa mwili ndiyo kikwazo cha kufikia utimilifu wa roho,kwanini Mungu alimuumbia roho mwili?

Endapo 666 ni utatu wa mwili, fikra za mwanadamu na nafsi yake ambavyo ndiyo machukizo kwa Mungu, je haiko wazi kuwa anayewindwa hili kuondoshwa katika matrix hii ni binadamu?

"Enyi kizazi cha nyoka..."(Mathayo 12:34)

Ikiwa binadamu=Kizazi cha nyoka (Ibilisi).

Nyoka=maarifa ya udanganyifu/uwongo.

Maarifa=umfanya mtu (Nafsi) asisikilize na kutii sauti ya Mungu.

Mungu= Ukweli

Shetani= Uongo

Hivyo binadamu=ibilisi.

Hivyo basi adui wa Mungu=Binadamu.
Nilicho kuambia ni cha kweli kabisa ......666 ni mwili wa binadamu ....usizifuate tamaa za mwili kwa sababu mwili utamani kumbuka ili andiko .. chapa ya mnyama ni (dhambi ) chapa ya mnyama kwenye paji la uso ni nia ovu za dhambi moyoni ... chapa ya mnyama kwenye mikono ni kuitenda hiyo nia ovu ... kuna andiko linasema ndiyo wale wasio zaliwa kwa (damu) wala kwa (mwili)...kwa damu =nia ovu ya kibinadamu yaani 666....kwa mwili ni kutenda hiyo nia ovu kivitendo



Kuzaliwa kwa damu = chapa ya mnyama kwenye paji la uso (nia)

Kuzaliwa kwa mwili = chapa ya mnyama kwenye mikono (vitendo)

Ili mtu aweze kuwa mtakatifu ni lazima nia yake iwe safi na vitendo vyake viwe safi
 
Dah! Ni kama umeniletea kitu kipya katika ufahamu wangu na imenifanya ni imagine zaidi kupitia concept hiyo kuwa; ikiwa IBILISI (awadanganyae) ni fumbo kumaanisha AKILI(Mithali 3:5-6 na Mathayo16:23), na kwa vile mwili umeumbwa na damu na nyama na hata matendo ya kimwili ni yale ya mnyama hivyo mwili ni fumbo kumaanisha MNYAMA, na NABII WA UONGO ni NAFSI (Luka 9:23-25)

Swali ni je, ikiwa mwili ndiyo kikwazo cha kufikia utimilifu wa roho,kwanini Mungu alimuumbia roho mwili?

Endapo 666 ni utatu wa mwili, fikra za mwanadamu na nafsi yake ambavyo ndiyo machukizo kwa Mungu, je haiko wazi kuwa anayewindwa hili kuondoshwa katika matrix hii ni binadamu?

"Enyi kizazi cha nyoka..."(Mathayo 12:34)

Ikiwa binadamu=Kizazi cha nyoka (Ibilisi).

Nyoka=maarifa ya udanganyifu/uwongo.

Maarifa=umfanya mtu (Nafsi) asisikilize na kutii sauti ya Mungu.

Mungu= Ukweli

Shetani= Uongo

Hivyo binadamu=ibilisi.

Hivyo basi adui wa Mungu=Binadamu.
Yesu alisema wazi kuwa nafsi ndiyo kitu cha msingi mwili haufai kitu .....nguvu ya dhambi ipo katika mwili ndiyo maana kuna kuzaliwa mara ya pili maana yake kutokuenenda katika kutihishwa na mwili kunako sababisha kutenda dhambi .....nguvu zote za dhambi zipo kwenye mwili na huo mwili ndiyo 666 ...tena maandiko yana sema watu hawata nunua wala kuuza isipokuwa wana chapa ya huyo mnyama yaani mambo yote duniani watakayo yafanya wanadamu yatatawaliwa na tamaa za mwili ambazo ndiyo nguvu za dhambi
 
Mpaka sasa wote mnazingua. Maelezo yenu hayana mashiko.

Anayejua tueleweshe vizuri kwa reference ya kitabu chochote anachokijua yeye, (iwe cha dini au cha kidunia)
Maswali magumu ya dini niulizeni mimi ....maana mimi siyo shabiki wa mkristo wala muislamu
 
Mpaka sasa wote mnazingua. Maelezo yenu hayana mashiko.

Anayejua tueleweshe vizuri kwa reference ya kitabu chochote anachokijua yeye, (iwe cha dini au cha kidunia)
Maswali magumu ya dini niulizeni mimi ....maana mimi siyo shabiki wa mkristo wala muislamu
 
Mpaka sasa wote mnazingua. Maelezo yenu hayana mashiko.

Anayejua tueleweshe vizuri kwa reference ya kitabu chochote anachokijua yeye, (iwe cha dini au cha kidunia)
Maswali magumu ya dini niulizeni mimi ....maana mimi siyo shabiki wa mkristo wala muislamu
 
Msaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.

Je nitamjuaje nabii wa uongo?

Natanguliza shukrani.
Muulize tu hata ili swali moja ...je yesu alisulibiwa duniani kwa sababu gani ? Akikujibu kuwa yesu alisulibiwa kwa sababu ya dhambi ya asili basi huyo ni moja kwa moja ni nabii wa uongo wala usipoteze mudawako kumuhoji au kumuuliza maswali zaidi
 
Kitu chakwanza kujiuliza ni Mungu ana dini yoyote kati ya zote ama ni wanadamu ndio wametengeneza dini ili wawe na Mungu. Haina maana kama Mungu ni mmoja na anamasharti tofauti kwenye kila dini.

Maana ya Mungu yenye maana ni nguvu ya uhai na akili iliyo kwenye kila kiumbe lakini haihusiani na dini yoyote.
 
Yesu alisema wazi kuwa nafsi ndiyo kitu cha msingi mwili haufai kitu .....nguvu ya dhambi ipo katika mwili ndiyo maana kuna kuzaliwa mara ya pili maana yake kutokuenenda katika kutihishwa na mwili kunako sababisha kutenda dhambi .....nguvu zote za dhambi zipo kwenye mwili na huo mwili ndiyo 666 ...tena maandiko yana sema watu hawata nunua wala kuuza isipokuwa wana chapa ya huyo mnyama yaani mambo yote duniani watakayo yafanya wanadamu yatatawaliwa na tamaa za mwili ambazo ndiyo nguvu za dhambi
Haujajibu maswali niliyouliza hata swali moja zaidi ya kukazia kuhusiana na mwili kuwa ndiyo code 666, kulingana na maelezo yako hayo hapo juu inabidi nikuongeze swali lingine; inaonekana dhahiri Mungu ana uadui na mwili wa binadamu na ndiyo shetani mwenyewe, kweli au si kweli?

Ikiwa mwili uisababishia nafsi dhambi kwanini Mungu aumbe mwili na kuifungia nafsi ndani yake?

Je, nikisema kuwa Mungu baada ya kuumba mwili alianza kutuonea wivu na anataka tuangamie ili tubakie nafsi tu kama yeye ntakuwa nimekosea?

Ikiwa sivyo nipe sababu moja kuu ya kwanini Mungu aliamuru mwili ufe hili ibakie nafsi nayo akaitese kwenye moto wa milele kwa makosa ya mwili aliyoutengeneza mwenyewe ukiwa na mapungufu.

Inaonekana baada ya kuumba mwili, Mungu hana mamlaka tena juu ya mwili ndiyo maana chuki zake kazielekeza kwenye kuhuaribu ili tukose wote, kama sivyo kwanini Yesu anahimiza kuzaliwa mara ya pili (kula kiapo cha utii nakusisitiza bila ya hivyo pepo hatutoiona)

Na ikiwa kweli ndiye muumba hakika hawezi kushindwa ku-ucontrol mwili na kama ndivyo basi huyu siyo aliyeuumba mwili, ikiwa nafsi zetu ndizo u-control mwili kwanini mwili uhukumiwe kifo kwa matendo ya nafsi?
 
Muulize tu hata ili swali moja ...je yesu alisulibiwa duniani kwa sababu gani ? Akikujibu kuwa yesu alisulibiwa kwa sababu ya dhambi ya asili basi huyo ni moja kwa moja ni nabii wa uongo wala usipoteze mudawako kumuhoji au kumuuliza maswali zaidi
Kabla ya hiyo sababu inayoitafuta kumbaini nabii wa uongo kupitia Yesu, nijibu swali hili fupi;
Kwanini KAFARA YA DAMU na si kingine chochote kile kama ondoleo la dhambi?
 
Haujajibu maswali niliyouliza hata swali moja zaidi ya kukazia kuhusiana na mwili kuwa ndiyo code 666, kulingana na maelezo yako hayo hapo juu inabidi nikuongeze swali lingine; inaonekana dhahiri Mungu ana uadui na mwili wa binadamu na ndiyo shetani mwenyewe, kweli au si kweli?

Ikiwa mwili uisababishia nafsi dhambi kwanini Mungu aumbe mwili na kuifungia nafsi ndani yake?

Je, nikisema kuwa Mungu baada ya kuumba mwili alianza kutuonea wivu na anataka tuangamie ili tubakie nafsi tu kama yeye ntakuwa nimekosea?

Ikiwa sivyo nipe sababu moja kuu ya kwanini Mungu aliamuru mwili ufe hili ibakie nafsi nayo akaitese kwenye moto wa milele kwa makosa ya mwili aliyoutengeneza mwenyewe ukiwa na mapungufu.

Inaonekana baada ya kuumba mwili, Mungu hana mamlaka tena juu ya mwili ndiyo maana chuki zake kazielekeza kwenye kuhuaribu ili tukose wote, kama sivyo kwanini Yesu anahimiza kuzaliwa mara ya pili (kula kiapo cha utii nakusisitiza bila ya hivyo pepo hatutoiona)

Na ikiwa kweli ndiye muumba hakika hawezi kushindwa ku-ucontrol mwili na kama ndivyo basi huyu siyo aliyeuumba mwili, ikiwa nafsi zetu ndizo u-control mwili kwanini mwili uhukumiwe kifo kwa matendo ya nafsi?
Maswali yako yote ni mepesi sana ....kwanza kumbuka hata viongozi wa dunia wanachukia kuto tiiwa na wanao waongoza ....mfano mzazi anachukia kuto kutiiwa na watoto wake basi ikiwa kiongozi tu wakidunia anachukia kutokutiiwa au kuto kueshimiwa je mungu si zaidi maana yeye ni mkuu sana .... tatizo ni kuto mtii mungu kwa kufuata tamaa za mwili ...kanuni anayo taka mungu ni mwili utawaliwe na nafsi ya mwanadamu na hiyo nafsi itawaliwe na mungu siyo kinyume chake ...kwa binadamu wa sasa mwili ndiyo unazitawala nafsi za binadamu hivyo nafsi inashindwa kumtihi mungu .....katika ufunuo kuna maandiko yanasema "basi yule kahaba ambaye wafalme wamezini naye akatupwa kwenye ziwa la moto ....hapo maana ya kahaba ni =mwili wa mwanadamu na maana ya wafalme ni = nafsi za wanadamu ...
Kuzini na huyo kahaba ni kuzifuata tamaa za mwili....hapo nafsi ya mwanadamu ni mfalme wa mwili wake maana nafsi inatawala mwili inao umiliki.
 
Maswali yako yote ni mepesi sana ....kwanza kumbuka hata viongozi wa dunia wanachukia kuto tiiwa na wanao waongoza ....mfano mzazi anachukia kuto kutiiwa na watoto wake basi ikiwa kiongozi tu wakidunia anachukia kutokutiiwa au kuto kueshimiwa je mungu si zaidi maana yeye ni mkuu sana .... tatizo ni kuto mtii mungu kwa kufuata tamaa za mwili ...kanuni anayo taka mungu ni mwili utawaliwe na nafsi ya mwanadamu na hiyo nafsi itawaliwe na mungu siyo kinyume chake ...kwa binadamu wa sasa mwili ndiyo unazitawala nafsi za binadamu hivyo nafsi inashindwa kumtihi mungu .....katika ufunuo kuna maandiko yanasema "basi yule kahaba ambaye wafalme wamezini naye akatupwa kwenye ziwa la moto ....hapo maana ya kahaba ni =mwili wa mwanadamu na maana ya wafalme ni = nafsi za wanadamu ...
Kuzini na huyo kahaba ni kuzifuata tamaa za mwili....hapo nafsi ya mwanadamu ni mfalme wa mwili wake maana nafsi inatawala mwili inao umiliki.
1. Kwanini mwili unakaidi kufuata amri ya bwana wake aliyeuumba?

2. Kwa mujibu wa maelezo yako, nafsi yenyewe haina shida yeyote isipokuwa inaponzwa na mwili wenye tamaa yakutenda maovu, sasa kwanini mwili uumbwe?

3. Kati ya mwili na nafsi upi ni ufahamu/akili inayoongoza matendo ya mwanadamu?

4. Mungu ni "roho tu" au ana "mwili" pia?
 
1. Kwanini mwili unakaidi kufuata amri ya bwana wake aliyeuumba?

2. Kwa mujibu wa maelezo yako, nafsi yenyewe haina shida yeyote isipokuwa inaponzwa na mwili wenye tamaa yakutenda maovu, sasa kwanini mwili uumbwe?

3. Kati ya mwili na nafsi upi ni ufahamu/akili inayoongoza matendo ya mwanadamu?

4. Mungu ni "roho tu" au ana "mwili" pia?
1 siyo mwili unao kaidi ni nafsi inavutwa na tamaa za mwili hadi kutiishwa na mwili

2) mwili uliumbwa vyema tu ila kudanganywa na ibilisi ndiyo kuliuponza mwili na nafsi...ndipo neno dhambi likazaliwa.
3)Ufahamu ni nafsi

4) neno roho ni spirit ambalo kisayansi ni energy vitu vyote ni roho mwili na nafsi ni roho ndiyo maana vinaweza kurejeshwa hata baada ya kuoza au kuungua kuwa majivu ...kumbuka kuwa energy haiwezi kuangamia ila inabadilika tu kutoka umbo moja na kuwa umbo jingine
 
"Na yule ibilisi, mwenye kuwadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele" (Ufunuo wa Yohana 20:10)

Naamini JF siwezi kosa majibu ya maswali haya tafakarishi ninayojiuliza baada ya kukisoma kifungu hicho kutoka katika kitabu cha ufunuo wa yohana 20:10 sababu humu kuna watumishi,waamini, wanatheolojia, na wasomaji wazuri wa biblia wanaoweza kunipatia ufumbuzi wa kifungu hiki ambacho kina vitu vikuu vitatu ndani yake yaani IBILISI, MNYAMA na NABII WA UONGO.

1. Je, upi ni utofauti wa ibilisi, mnyama na nabii wa uongo?

2. Ikiwa ibilisi umaanisha shetani, je mnyama na nabii wa uongo ni akina nani hao kwa mujibu wa maandiko.

3. Je, binadamu anakabiliana na maadui wangapi hapo ni watatu au ni shetani tu?

4. Je, binadamu mwenye hatia atoangukia kwenye adhabu hii ya moto wa milele?Maana kulingana na kifungu hiki vinaonekana viumbe hivyo vitatu tu ndiyo vipo motoni.

5. Kwanini inaonekana kana kwamba mnyama na nabii wa uongo watamtangulia ibilisi kuingia motoni?
Nitajibu maswali yako kwa ufupi (ukihitaji maandiko na rejea usisite kusema)
1.
-Ibilisi ni malaika kerubi aliyeasi kwa kutaka kuwa "Mungu"
-Mnyama ni mfumo wa utawala ambao mamlaka yake yanapewa nguvu na Ibilisi mwenyewe, kama ilivyokuwa Israel ya kale kuwa Mungu ndo mfalme wao basi na Mnyama ndiye vivo hivyo, na kiongozi wake kama ilivyo kwa Yesu Kristo ukuu wa Mungu unakaa ndani yake ndivyo hivyo Mpinga Kristo Ibilisi mwenyewe anakaa ndani yake.
-Nabii wa uongo ni mfumo wa dini utakaokuwa na muonekano wa kimungu ila matendo yake ni ya ibilisi mwenyewe yaani uongo mwingi wenye kuhadaa wote wasio na imani thabiti!
-Umesahau sanamu ya mnyama: kuna uwezekano mkubwa sanamu hii kuwa 'Artificial Intelligence' au akili mnemba. Itakapopewa nguvu ya 'uhai' na kuweza kufanya yale yote ayafanyayo mnyama au Beast! Kuwa macho katika tasnia hii kwani kama mwenye nymba angalijua siku ya kuja mwizi angalikesha na asingeliacha nyumba yake kuvunjwa!

2. Nadhani nimekujibu hapo juu

3. Shetani ndio kinara wa yote hayo. Inakupasa ufahamu kuwa kulikua kuna uasi mkuu mara 3 huko mbinguni. Uasi wa kwanza ni wa Shetani/Ibilisi/Joka na majina yake mengine, aliadhibiwa kwa kuondolewa mbinguni na kukaa duniani mpaka muda wake wa adhabu kufika. Uasi wa pili ulikuwa wa malaika waangalizi walioacha maeneo yao ya kutawala na kuzaa na wanadamu, watoto wao ndio walikuwa 'giants' waliofanya maasi makubwa dhidi ya binadamu. Baba zao yaani malaika waasi walifundisha binadamu maarifa mabaya yote unayoyajua kuanzia kufanya vita, uchawi na ukahaba!. Adhabu yao ilikua ni kufungwa gizani mpaka siku ya hukumu ambako wateule watawahukumu! Watoto wao yaani 'giants' waliadhibiwa katika gharika na baadaye Joshua aliwaondoa katika nchi, wachache waliobaki Daudi na wanajeshi wake waliwashughulikia. Kuna siri hapa!.
Uasi wa tatu ni ule wa malaika waliopewa kutawala kabila za binadamu walipoasi na kuzifanya kabila hizo kuwa waabudu sanamu nk. Kumbuka pale Babeli Mungu alichagua Israel kama taifa ambalo kupitia hilo angekuja kukomboa kabila zote zilizopotea. Uasi wa malaika hawa utatimilizwa siku ya hukumu.
Hivyo panabaki ibilisi ambaye ndiye mastermind wa mpango wake wa kupindua serikali ya Mungu. Mungu alimpa mwanadamu dunia aindeleze na kuitunza. Shetani hapendezwi na hili kwa hio ni adui namba moja wa mwanadamu. Hawezi kumdhuru Mungu moja kwa moja kwa hio anadhuru watoto wake! Jeshi la Ibilisi ni pamoja na makamanda wake alioasi nao pamoja na roho za giants ambazo ndizo pepo wabaya hao kwa pamoja na malaika waliopewa kabila za dunia huunda ufalme wa giza na kutenda yaliyo gizani.

4. Ndiyo binadamu mwenye hatia atakuwa na adhabu ya kutupwa ziwa la moto unaowaka moto wa kiberiti yaani sulphur. Ukijua sifa za sulphur utaelewa japo kwa wastani moto huo, harufu na mazingira yake yakoje. Yai viza lina harufu ya sulphur!

5. Lazima vijakazi waanze kupata adhabu kabla ya mkuu wao kuhitimisha.

Asante
 
Back
Top Bottom