Tofauti ya Ibilisi, Mnyama na Nabii wa uongo kutokana na vyanzo mbalimbali;
Sehemu ya Kwanza:
IBILISI - katika kiebrania huitwa 'accuser' or 'adversary' mshitaki au mpinzani.
Rejea (waefeso 6:12, chronicles 21:1)
Katika ugiriki diabolos (devil- slanderer to hurl(verb)I.e accusations.
Rejea (Deuteronomy 13:13, 1 samuel 1:16;2, chronicles 13:7) kutoka katika vyanzo vya zamani "dead sea scrolls"
Haimjadili shetani kama muovu katika biblia ya kiebrania bali Belial na siyo shetani hivyo baadae ndipo uhusika wa shetani ulikuja kubatizwa na wayahudi na katika maandiko ya kikristo. Kwa mara ya kwanza neno shetani lilianza kutumika (2 Corinthians 6:15) pale Paulo alipoanza kutofautisha term hii alipokuwa akizungumzia habari za Yesu.
Rejelea (Yohana 12:13) mtawala wa dunia Yohana 8:44 baba wa uongo (2 wakorintho 4:4) mtawala wa nguvu ya upepo (Waefeso 2:2) na beelzebul, mtawala wa mapepo(mathayo 10:25); (Marko 3:22); (Luka 11:15) kwa mujibu wa Yesu (mathayo 12:29), (Marko 3:27),(Luka 11:21-22) 'mwenye nguvu' shetani lazima afungwe kuporwa nyumba yake ambayo ndo hazina(yaani wanadamu)
Je, uislamu unamzungumziaje MNYAMA -( DAJJAL au MPINGA KRISTO)?
Al masih Ad- Dajjah, ndiye mpinga kristo ambaye atajitokeza baada ya nyakati za mwisho za nabii wa Mungu, Muhammad, " Messiah wa uongo, ambaye kila Nabii ametuonya kumuhusu akiwemo Yesu ndiyo maana tunamwita Mpinga kristo."
Dajjal ni mtihani mkubwa aliopewa mwanadamu tokea adamu na hawa walipotua duniani, yeye ni binadamu ambaye atautawala ulimwengu wote, kwa kuwapumbaza wana wa adamu na hawa kuwa yeye ndiye messiah, isitoshe pia atadai kuwa ndiye Mungu.
Dajjali- umaanisha muongo, Mtume Muhammad anawaambia waamini kwamba "Allah ajafichwa hili msimuone, yeye (Allah) siyo JICHO MOJA na ajanyooshewa kidole kuelekea katika jicho lake, akaongezea Al masih mweupe. Ad Dajjal ni kipofu katika jicho lake la kulia na macho yake uonekana kama zabibu inayochomoza.
Neno Kafir( asiye amini) limeandikwa kati ya macho yake mawili(paji la uso).
Mfano ni uwepo wa alama ya jicho moja kwenye US dollar bill, ngazi 13 za pyramid, na neno" In God we trust" ufunguaji wa jicho la tatu nakadhalika.
Biblia inasema "huu ni wito wa hekima. Kila mwenye fahamu afanye mahesabu ya nambari ya mnyama, kwa sababu ni namba ya mwanadamu. Na hiyo namba ni 666. (Ufunuo 13:18)
Hivyo basi uonapo kiashiria chochote kwenye logo, michoro, brand,television, show nakadhalika yenye jicho moja, 666 na msalaba uliogeuzwa juu chini zote zinamwakilisha mpinga kristo " k.f.r"
Mtume Muhammad alitabiri juu ya uwepo wa illuminati ambao pia umwabudu ibilisi(Lucifer), na jini liitwalo Dajjal, "mwana wa ibilisi" na wanasubiria kuja kwake kama ulivyo ujio wa messiah Yesu utakavyokuwa.