Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Jul 6, 2024 #1 Kwenye kumilikishwa viwanja kuna hati za aina mbili: 1. Makazi pekee. 2. Makazi na biashara. Na hata umilikishwaji wake una gharama tofauti cha biashara na makazi kina gharama zaidi per squre meter je? Tofauti ni ipi na faida ni zipi?
Kwenye kumilikishwa viwanja kuna hati za aina mbili: 1. Makazi pekee. 2. Makazi na biashara. Na hata umilikishwaji wake una gharama tofauti cha biashara na makazi kina gharama zaidi per squre meter je? Tofauti ni ipi na faida ni zipi?
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Jul 6, 2024 Thread starter #2 Kipi ni kiwanja bora zaidi? Na je cha makazi na biashara usipoweka biashara inakuwaje?
Superbug JF-Expert Member Joined Jan 31, 2018 Posts 13,864 Reaction score 35,079 Jul 6, 2024 Thread starter #3 Mbona uzi hauchangiwi? Kweli nyie matanzania ni majinga mambo ya ardhi hamyapi kipaumbele ila nyuzi za kina shilole ndio mnapenda.
Mbona uzi hauchangiwi? Kweli nyie matanzania ni majinga mambo ya ardhi hamyapi kipaumbele ila nyuzi za kina shilole ndio mnapenda.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 6, 2024 #4 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw