Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Kitimoto ni kiboko we bwana wewe acha kabisa. Hivi umeshawahi kusikia wapi kijiwe maalumu kwaajiri ya nyama aina moja tu. Yaani mdudu ukienda Bar au pub anajiko lake pekee yake.

Na anaweza kuwa na jiko lake pekee yake mtaani na akapata wateja balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Samaki choma
Digidigi choma
Dondoo roast
 
1. Samaki alietoka majini akachomwa/banikwa na ugali wa mhogo
2. Kitimoto( ilitakiwa aanze basi tu)
3.Mbuzi choma.

Kuku na Ng'ombe nawapenda pia.

Japo nasikia ya binadamu ni noma,ukianza uachi - pengine inatumika zaidi sema hawa mazombi kuwaona kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…