Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

Nyama ya kiboko hapa kitimoto utaona takataka.

Nyama ya Ngiri

Pweza

Ngisi

Nyama ya pofu, we sikia tu ana mafuta kitimoto akasome.

Halafu namalizia na bata, utagundua kuku anapewa sifa sio za kwake
 
Mimi nikishaacha kutumia muda sana na sitokaa nitumie tena ila kitimoto anashina moja /mbili na tatu peke yake
Choma
Roast
Kavu
 
Kuna siku kiboko kafariki huku kwetu,nasikia alipigwa na ndugu zake wakimfukuza kwenye ukoo,ile nyama tuliigawana karibia kijiji kizima na vitongoji vyake kama 10 na zaidi,kwenye familia yangu tulichelewa kuipata hii nyama tulipewa kidogo tu lakin cha kushangaza ikipikwa inaongezeka ni tamu balaa tuliitumia karibia siku tatu na list yangu itakuwa hivi
1.Nyama ya kiboko
2.kuku
3.Ng'ombe ikipata fundi unaweza hisi ina sukari
 
Salam!

Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:

1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu

2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote

3 Kitimoto
kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee

hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?

NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.
Labda kuku wa kienyeji..lakini wale wa kizungu hawafai kwa mchemsho au hata rosti
 
Salam!

Wale wazee wa misosi ipi top 3 yako ya nyama tamu. Ya kwangu hii hapa:

1. Kuku
Asee huyu ndege hadi leo binafsi naona nyama yake haina mpinzani yani hana mbadala yani nyama iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote nadhani sote tunafahamu jinsi supu ya kuku ilivyo tamu

2. Ng'ombe
Akitoka kuku anafata ng'ombe huyu myama nae yupo vizuri lakini huyu utamu wa nyama yake una depend na maufundi ya mpishi. laini na yeye nyama yake iwe mchemsho rosti choma au ya kukaanga nitamu zote

3 Kitimoto
kwangu huyu namba yake inashika namba 3 kwasababu tu nyama yake inanoga tu kwa rosti na kukaanga lakini mchemsho wake hahaha hapana asee

hiyo ndo top 3 yangu ya nyama tamu Je, ya kwako ni ipi?

NB: Kuku anautamu wa asili tu yeye haitaji ata ufundi wa mpishi.
Ukitaka kujua kama nyama ya Mbuzi,Sungura ,Bata na Kondoo ni balaa..nenda pale darajani kigamboni siku za Jumamosi vuka daraja kidogo tu kushoto.
1. Sungura
2.Bata
3.Kondoo
4.Mbuzi
 
No1. NGISI
No2. PWEZA
No3. Dagaa na samaki wote WA MAJI CHUMVI
No4. KUKU
No5. NG'OMBE nyekundu tu sio mafuta wala mifupa tofauti na hapo sili
 
Back
Top Bottom