Ipo haja sheria za unywaji pombe bar zirekebishwe

Ipo haja sheria za unywaji pombe bar zirekebishwe

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Leseni zinasema bar ifunguliwe saa 10 jioni mpaka saa 5 usiku kwa siku za J3-Ijumaa na Jumamosi na Jumapili saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku.

Nashauri leseni ziruhusu kunywa pombe masaa yote Isipokuwa kwa staha maalumu, namaanisha kwa masaa kabla ya saa kumi pombe zinywewe ndani ya bar au mahala ambapo mnywaji hataonekana na kadamnasi au hatukuwa katika hadhara za kadamnasi, itakapotimu saa kumi ndio iwe ruhusa watu kujivinjari na vinywaji vyao huku wakionekana na kadamnasi au hadhara.

Reasons:-
Kila mtanzania anamasaa yake ya kwenda kuwajibika katika kujitafutia riziki, Tupo ambao ni walinzi ambao muda wetu wa kujivinjari ni mchana tu, wapo wenye shifts zao viwandani ambao huingia kazini usiku, wakulima wao hujipangia muda wao wenyewe alkadhalika wafanyabiashara ni kada zinazojipangia muda kutegemeana na jukumu lililopo.

TBL awali kilikuwa ndicho kiwanda tegemewa kimapato kwa serekali.
"TBL & SERENGETI BREWERIES, NOURISH YOUR LIVES"
 
Leseni zinasema bar ifunguliwe saa 10 jioni mpaka saa 5 usiku kwa siku za j3-ijumaa,na Jumamosi na jumapili saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku.
Nashauri leseni ziruhusu kunywa pombe masaa yote Isipokuwa kwa staha maalumu, namaanisha kwa masaa kabla ya saa kumi pombe zinywewe ndani ya bar au mahala ambapo mnywaji hataonekana na kadamnasi au hatukuwa katika hadhara za kadamnasi, itakapotimu saa kumi ndio iwe ruhusa watu kujivinjari na vinywaji vyao huku wakionekana na kadamnasi au hadhara.
Reasons:-
Kila mtanzania anamasaa yake ya kwenda kuwajibika katika kujitafutia riziki, Tupo ambao ni walinzi ambao muda wetu wa kujivinjari ni mchana tu, wapo wenye shifts zao viwandani ambao huingia kazini usiku, wakulima wao hujipangia muda wao wenyewe alkadhalika wafanyabiashara ni kada zinazojipangia muda kutegemeana na jukumu lililopo.
"TBL NOURISH YOUR LIVES"
Leo umeongea jambo kubwa sana asante na in fact pombe ndio mlipa kodi mkubwa no moja nchini
 
Leseni zinasema bar ifunguliwe saa 10 jioni mpaka saa 5 usiku kwa siku za j3-ijumaa,na Jumamosi na jumapili saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku.
Nashauri leseni ziruhusu kunywa pombe masaa yote Isipokuwa kwa staha maalumu, namaanisha kwa masaa kabla ya saa kumi pombe zinywewe ndani ya bar au mahala ambapo mnywaji hataonekana na kadamnasi au hatukuwa katika hadhara za kadamnasi, itakapotimu saa kumi ndio iwe ruhusa watu kujivinjari na vinywaji vyao huku wakionekana na kadamnasi au hadhara.
Reasons:-
Kila mtanzania anamasaa yake ya kwenda kuwajibika katika kujitafutia riziki, Tupo ambao ni walinzi ambao muda wetu wa kujivinjari ni mchana tu, wapo wenye shifts zao viwandani ambao huingia kazini usiku, wakulima wao hujipangia muda wao wenyewe alkadhalika wafanyabiashara ni kada zinazojipangia muda kutegemeana na jukumu lililopo.
"TBL NOURISH YOUR LIVES"
Sasa unywe pombe mchana halafu uingie kazini usiku kweli! Kama huwezi kujizuia basi tambua kwamba wewe ni dhaifu!
 
Mbona mimi nakunywa muda wowote naotaka sioni kizuizi labda hela.
 
Nyie kuna chimbo jipya la wajeda kawe , adi waudumu ni waheda Fateni sharia
 
Back
Top Bottom