Ipo haja ya dhati kabisa uchangishawaji wa fedha unaoshirikisha umma, ukawa unaombewa vibali maalum.

Ipo haja ya dhati kabisa uchangishawaji wa fedha unaoshirikisha umma, ukawa unaombewa vibali maalum.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
Haha pole sana. Kila transaction inakatwa kodi , why ikatwe kod mara mbili?
 
Kwa hiyo kama mtu anachangisha umma kwa ajili ya jambo lake mfano harusi, ada ya shule, gharama ya matibabu.... 30% iende kwenye chombo cha serikali ambacho kitaitumia hiyo hela kununua ma-viete na kulipana posho ?😃
 
Unachomanisha huo muamala moja utakatwa Kodi mara 3. Mchangiaji anakatwa Kodi wakat anachangia, ikifika kwa muhusika ukate asilimia 30 na alitaka kutoa apate cash ikatwe Tena Kodi.
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
Kodi kwenye mambo yasiyo ya kuingiza kipato hakuna. Kodi inakatwa kwenye kipato ulichoingiza. Ikiwa ushauri wako utafuatwa basi hata rambirambi itabidi zikatwe kodi. Kumbuka pia miamala yote ya kifedha inakatwa kodi pamoja na tozo. Hiyo 30% unayosema itakuwa ni unyang'anyi.
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
uNataka tuwe na double taxation...Kutuma Tu Hela kuna makato,bado kutoa alafu Kutuma jasho lako uombe tenah Mtu Kati akulambe Kodi tenah ...hii Mada umefikiria mara mbili kabla ya kuiandika kwl
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!

Wewe hujui sheria kuna mkaguzi mkuu kama unaongelea vyama vya siasa anapita vyama vyote kuangalia kila kitu sasa nani anajua mahesabu na taratibu zaidi ya mkaguzi mkuu. Au unataka machawa ndiyo wawe wahasibu wa taifa?

CCM wanapata ruzuku za bilioni tatu kila mwezi kwa kuiba kura lakini bado punic. Chadema hamtaweza kuwazuia maana wana watu nyuma wengi sana. Wanachama tu wanaojulikana ni 8M !
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!

😲😲😲
 
Kodi kwenye mambo yasiyo ya kuingiza kipato hakuna. Kodi inakatwa kwenye kipato ulichoingiza. Ikiwa ushauri wako utafuatwa basi hata rambirambi itabidi zikatwe kodi. Kumbuka pia miamala yote ya kifedha inakatwa kodi pamoja na tozo. Hiyo 30% unayosema itakuwa ni unyang'anyi.
Huyo kada wa chama hajui hata maana ya Kodi! Bahati mbaya watu wa dizaini (chawa) hii ndio washauri wa viongozi wengi serikalini.
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
Pumba
 
Kodi kwenye mambo yasiyo ya kuingiza kipato hakuna. Kodi inakatwa kwenye kipato ulichoingiza. Ikiwa ushauri wako utafuatwa basi hata rambirambi itabidi zikatwe kodi. Kumbuka pia miamala yote ya kifedha inakatwa kodi pamoja na tozo. Hiyo 30% unayosema itakuwa ni unyang'anyi.
Huyo jamaa ana chembe chembe za uchawa si bure.
 
Fikiria nimeomba michango kwa ajili ya matibabu au kutumia kwenye mradi kutokana na tafiti yangu...inakatwa kodi nyingine kwasababu gani?
""MICHANGO INAYOZIHUSU TAASISI KWA UMMA"
--VYAMA VINAPASWA KUPATA MICHANGO YAKE KUPITIA KADI ZA WANACHAMA NA HARAMBEE ZA NDANI YA VYAMA VYAO NDANI YA MIKUSANYIKO YAO HALALI - -
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
Kashauri mamlaka zianze mwamposa waziri wa maombezi na chawa kiongozi, then tuendelee na wengine...
 
Kashauri mamlaka zianze mwamposa waziri wa maombezi na chawa kiongozi, then tuendelee na wengine...
Malengo ya taasisi za kidini huwa hayana nia ovu, ukilinganisha na taasisi za kisiasa, just imagine, watu wanaomba michango ili waje kuzuia uchaguzi halali, #Unaceptable
 
Hili litasaidia taasisi ya mamlaka ya kutoa kibali hicho kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,
Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
#Mpenda_taifa_lake!
Waanze na saadaka za makanisani kuna watu ni mabilionea leo kwa hizi sadaka wanabaki kujenga majumba kununua apartment na magari ya kifahari.mimi naona chadema wamechangisha only this time na ni wanajenga platform ya mapato is not bad as wana usajili.lkn kuna manabii kina mwamposa kuhani nani yule sijui na wengineo swala la michango ni endelevu yaan 24 hours pale kwenye TV zina pop up meseji za kutoa sadaka kupitia mpesa tigopesa na lipa namba na ni mpaka nje ya nchi wanatoa si hao pia walipe kodi???
 
Back
Top Bottom