Ipo haja ya dhati kabisa uchangishawaji wa fedha unaoshirikisha umma, ukawa unaombewa vibali maalum.

Dunia kote vyama siasa vinategemea michango wazungu wanaiita fund raising ili kufanya kazi yao hata uchaguzi wa marekani trump na kama walichangiwa sana

unataka kukibana chama cha siasa kwenye michango unataka kiendeshwaje point ya mleta uzi ni namna ya kuwakomoa chadema na sio vinginevyo yaani maisha ya mwafrika yapo katika hali ya kukomoana watu wanaroho nyeusi
 
Sijui tatizo lipo wapi CCM inapokea mabilioni yavmichango kutoka kwa wafanybiashara wakubwa sijamsikia mty yoyote akisema ikatwe kodi hivii vijitone tone vya CDM makelelevkibao Roho ya ibilisi siku zote ni kuuwa na kuharibu, badala ya kufikiri ni jinsi gani vyama vyavsiasa vitaweza kujiendesha wewe unafikiria kuvia hata viela kidogo wanavyopewa unataka navyo viporwe.Ni mapesa mangapi mkaguzi mkuu wa serkali kila siku anapigia kelele ubadhirifu wa pesa za uma serikali imekaavkimya ila tu mkiona wananchi wamechachamaa na kukionga mkono chama cha upinzani mnaanzisha mizengwe. Mmejawa na chuki na husuda.
 
Maumivu yako kuhusu hii tone tone ya cdm yako wazi kabisa, hadi wanaccm wenzako wanapinga huu upuuzi wako ulioleta hapa.
 
wachangiaji wanapaswa kuzingatia mantiki ya hoja mahususi mezani hususani kuhusu usalama wa taifa, ni muhimu sana kujiridhisha na malengo mazima na dhamira ya uchangishawaji wa fedha hizo ili kuepusha zisije kutumbukia mikononi mwa wahalifu ambao watapelekea kukosesha amani ya Taifa letu,

amani ya taifa letu ni pamoja na maendeleo ya wananchi,
ni pendekezo zuri na muhimu sana tuanapo omba kuchagisha fedha kwaajili ya maendeleo ya ustawi wa chama cha siasa, ni vema maslahi mapana ya taifa na maendeleo ya wananchi na waTanzania kwa ujumla wake yakazingatiwa, na kwahivyo, hiyo hekima kwanye aya hapo chini ni muhimu sana,

Pia ni hekima michango hii ikawa inakatwa kodi fulani fulani let say 30%,ili fedha hizo zitumike katika maswala ya kimaendeleo.
Maadui wa taifa letu wapo macho kuliko tunavyoweza kuzania, taifa liwe makini sana.
 
Mnaumia sana mnaona jambo linaenda kufanikiwa
 
We jamaa ni kyumaa sana. Kodi inakatwa kila muamala na bado nchi inawategemea marekani๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ. Kyumaaa kibichi chenye kisima kirefu. Maanina
u
 
Pumbaf kabisa
 
In Sixty four years of your independence, how many/how much have you collected, from Tax, grant, and, loans and others. What have you done with all those huge of money.
 
๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Vijana kukosa ajira, utekaji wa vijana, kuweka watu vizuizini na kuwatoa kwa nole persecution ni hatari zaidi kwa usalama wa taifa.
 
Vijana kukosa ajira, utekaji wa vijana, kuweka watu vizuizini na kuwatoa kwa nole persecution ni hatari zaidi kwa usalama wa taifa.
ajira sio kihatarishi cha usalama wa Taifa my lady, ajira za uhakika na za kutosha kwa waTanzania wote zipo bwerere kwenye sekta ya kilimo shambani. Anae hatarisha usalama wa Taifa kwa kisingizio cha ajira huyo ni tapeli mvivu na inafaa awe neutralized mapema sana,

Jambo la pili,
huwezi kufumaniwa na mke au mume wa wenyewe, utembezewe kuchapo au kupotezwa, kisha uje kusingizia utekaji. Ujanja huu hauna maana yoyote. Ukidhulumu cha mtu nawe utadhulumiwa tu siku moja. Kuna watu hawajui kuongea kwa maneno bali vitendo tu. Epuka tamaa, epuka dhuluma.

Jambo la mwisho,
all suspects of crimes must be accountable. Hakuna Taifa linaweza kukenua na wahalifu na magenge ya kihalifu hata kama ni vizee vya namna gani. Lazima viwajibishwe kulingana na upotoshaji wao wa kihalifu,

Taifa makini haliwezi kua na huruma wala kuona haya dhidi ya aina yoyote ya uhalifu ๐Ÿ’
 
Katiba yetu imeahidi kulinda raia, ukosefu wa ajira ni hatari kwa vijana kiuchumi, kiafya na kwa Mandela ya jamii. Kule Tahir Square na Algeria vijana ndiyo walikiwasha.

Serikali namba go gani wa ajira kwa vijana zaidi ya kuita boda boda maofisa usafirishaji.
 
Money laundering
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ