Ninataka matajiri waishi kama mashetani , aisee huyu jamaa kumsafisha inabdi ujitoe ufahamu , alikuwa na chuki za wazi mno ...!!Watu wa kimara wabomoleeni tu hizo nyumba lkn watu wa Mwanza msiwabomolee hao ndio walionipigia kura nikawa rais.
Jamaa kwa kubagua alikua vzr.
mataga ndio wamemmisi. Hata Gambo kamkana wewe ni nani unajitwika Gunia la jivi la jiwe?Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Kweli kabisa, huku kitaa watu wengi bado wanammiss!Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
mungu au Mungu??Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Unaweza kunipa hii qoute ad verbatium..., sababu sidhani kama mtu mwenye ubongo anaweza kupayuka hayo maneno let alone kiongozi...Watu wa kimara wabomoleeni tu hizo nyumba lkn watu wa Mwanza msiwabomolee hao ndio walionipigia kura nikawa rais.
Jamaa kwa kubagua alikua vzr.