mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Huko YouTube hio video iko Chief.Unaweza kunipa hii qoute , sababu sidhani kama mtu mwenye ubongo anaweza kupayuka hayo maneno let alone kiongozi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko YouTube hio video iko Chief.Unaweza kunipa hii qoute , sababu sidhani kama mtu mwenye ubongo anaweza kupayuka hayo maneno let alone kiongozi...
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Word for word kama jamaa alivyosema ?Huko YouTube hio video iko Chief.
Magufuli alikuwa na maono mazuri ila aliyatekeleza kwa njia mbovu na pengine haramu.
Yes Chief, hakuna kilichoongezwa.Word for word kama jamaa alivyosema ?
Hatimaye shetani kamchukua😅😅Kwa kosa gani? Huo msamaha baki nao mwenyewe. Alitimiza majukumu yake ya kikatiba na kuleta maaendeleo kwa spidi kubwa hadi kifo kilipomchukua. Staili yake ya uongozi haikuwa ya blabla na maneno matamu mliyozoeshwa bali vitendo vyenye matokeo tu.
Hilo utajua mwenyewe..mimi as long alitimiza majukumu yake kwa nchi na hakuruhusu kucheka na kima yeyote ili asivune mabua wakati wa uongozi wake kwangu inatosha.Hatimaye shetani kamchukua😅😅
Wajane wake ndiyo mnammiss.Kweli kabisa, huku kitaa watu wengi bado wanammiss!
This was one of the devastating moments for innocent people who strugled for their future and it just took an eye blink to find their houses leveled without any compansation.. may GOD revive their energy and make their ways to success open.Watu wa kimara wabomoleeni tu hizo nyumba lkn watu wa Mwanza msiwabomolee hao ndio walionipigia kura nikawa rais.
Jamaa kwa kubagua alikua vzr.
Mkuu hata ukimuombea msamaha Kuna watu hawatoweza kumsamehe kwa sababu aliwabana Sana na wao Ni wakwepa Kodi,vyeti feki ,wapiga dili wakaishi maisha ambayo hawakuwahi kuwaza wataishi wanahasira sana.wengi wanaomtukana yule mzee Ni wabinafsi tu hawana mapenzi mema na taifa hili.Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Amen to that.This was one of the devastating moments for innocent people who strugled for their future and it just took an eye blink to find their houses leveled without any compansation.. may GOD revive their energy and make their ways to success open.
hahaha anaoza huko kuzimu. Maneno yako hasaidii chochote. Nchi sasa ina amaniHilo utajua mwenyewe..mimi as long alitimiza majukumu yake kwa nchi na hakuruhusu kucheka na kima yeyote ili asivune mabua wakati wa uongozi wake kwangu inatosha.
Inamaana barabara ya kimara inafika hafi mwanza kumbe. Hivi nawaza kwa sauti tuWatu wa kimara wabomoleeni tu hizo nyumba lkn watu wa Mwanza msiwabomolee hao ndio walionipigia kura nikawa rais.
Jamaa kwa kubagua alikua vzr.
Maendeleo gani alileta zaidi ya kuua na kupiga risasi watu. Vijana kuwanyima ajira kisa ushamba wa kununua ndege ambapo mpaka marekani walimshangaa kuua watu kisa ndege. Haku a nchi yoyote duniani tajiri inayoweza kununua ndege cash tena zaidi ya kumi halafu watu wanakufa njaa na budget ya nchi ni 39. 5 trillion yote unahamishia kwenye ndege.Kwa kosa gani? Huo msamaha baki nao mwenyewe. Alitimiza majukumu yake ya kikatiba na kuleta maaendeleo kwa spidi kubwa hadi kifo kilipomchukua. Staili yake ya uongozi haikuwa ya blabla na maneno matamu mliyozoeshwa bali vitendo vyenye matokeo tu.
Umechagua kuona ulichotaka kuona. Tunaoona maendeleo aliyofanya utuache kama hiviMaendeleo gani alileta zaidi ya kuua na kupiga risasi watu. Vijana kuwanyima ajira kisa ushamba wa kununua ndege ambapo mpaka marekani walimshangaa kuua watu kisa ndege. Haku a nchi yoyote duniani tajiri inayoweza kununua ndege cash tena zaidi ya kumi halafu watu wanakufa njaa na budget ya nchi ni 39. 5 trillion yote unahamishia kwenye ndege.
Mungu ametusaidi sasa hivi ajira nii za kumwaga hasa private sector imerudi kwenye mstari
Alikwambia ana mwili wa dhahabu usiooza? Wewe maiti za kwenu ziko mummified?hahaha anaoza huko kuzimu. Maneno yako hasaidii chochote. Nchi sasa ina amani
Alikupitia kwenye sakata la vyeti feki Nini?Maendeleo gani alileta zaidi ya kuua na kupiga risasi watu. Vijana kuwanyima ajira kisa ushamba wa kununua ndege ambapo mpaka marekani walimshangaa kuua watu kisa ndege. Haku a nchi yoyote duniani tajiri inayoweza kununua ndege cash tena zaidi ya kumi halafu watu wanakufa njaa na budget ya nchi ni 39. 5 trillion yote unahamishia kwenye ndege.
Mungu ametusaidi sasa hivi ajira nii za kumwaga hasa private sector imerudi kwenye mstari