Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

Ipo haja ya kumuombea Magufuli msamaha, lawama ni nyingi mno

Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Unamuombea msamaha halafu unatusimanga ! Sasa hatukubali , halafu msamaha anaomba mkosaji au familia yake
 
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Hahahaha @Menulajr anamuombea Sabaya hela
 
Maendeleo gani alileta zaidi ya kuua na kupiga risasi watu.
mbona wewe hukupigwa!!!
Vijana kuwanyima ajira kisa ushamba wa kununua ndege ambapo mpaka marekani walimshangaa kuua watu kisa ndege.
marekani ipi!!
Haku a nchi yoyote duniani tajiri inayoweza kununua ndege cash tena zaidi ya kumi halafu watu wanakufa njaa na budget ya nchi ni 39. 5 trillion yote unahamishia kwenye ndege.
kwamba ndege moja ilinunuliwa kwa 3.9 trn!!!
Mungu ametusaidi sasa hivi ajira nii za kumwaga hasa private sector imerudi kwenye mstari
dogo wacha bangi.
 
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Achana na mpendwa wetu, jiombee mwenyewe kuanzia, familia, ukoo mtaa I hadi kwa Mungu.
 
ukweli mchungu kamanda,hata tukisema tumridhishe mletamada,wananchi watatushangaa tunaomba msamaha magufuli kafanyaje??

Kaendesha nchi kidhalimu na kuleta ubaguzi wa kikanda. Ni Mungu tu aliamua kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.

Sababu zangu

Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.

Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Bila shaka wewe ulikua cheti feki maana ndio wanaongoza kwa kumchukia magufuli. Cheti feki ni wajinga wanaofikiri wana akili. Sasa tumuombee magufuli kwani kakosea nini? Fisadi na watumbuliwa wana aheri kwa kumchukia magufuli kwani wanajua wao wamefanya nini. Mijitu kama wewe ni waovu sana. Nyie ni watu wabinafsi yaani mtu kafanya mambo mazuri afrika na dunia wameona jinsi nchi imeendelea halafu vilaza wachache wanajidai kuleta upambavu wao. Pumbavu sana
 
Kaendesha nchi kidhalimu na kuleta ubaguzi wa kikanda. Ni Mungu tu aliamua kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.
nchi imefika ilipo naye mwendo ameumaliza.

kama damu haikumwagika 2020,kama nyinyi mashetani mlivyokuwa mnatamani,unadhani Mungu alikuwa anaiepusha damu ipi tena!!!

sad story ni kwamba punching bag imekwenda,kwa sasa hamjui mshike ajenda ipi raia wawaelewe.yes hii ndio story ya manyani na mwenye shamba kama aliyotusimulia ndugai.
poleni UFIPA,wakati tunampoteza magufuli mkifurahi,chama nacho kinakwenda kuzimu.
 
Back
Top Bottom