Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wengi wao huku Jf na kule twitter ni watumishi wazembe wapenda vya bure na Ufipa lkn 90% ya Watz wamemmis sn.Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Muulize marehemukaka yako alikuwa nani mpaka akauawa na magufuli!!!
Mungu katuepusha na kitu mbaya. Kama Magufuli asingekufa nakuhakikishia kuwa tungekuwa na hali mbaya kama Zimbabwe. Alipanga mwaka 2025 kutangaza kuwa hakuna uchaguzi kwa vile fedha zinaelekezwa kwenye miradi.Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Sana, nilisoma post moja kule instagramu acha kabisa,watu wanamkumbuka sana,Na wengi wao huku Jf na kule twitter ni watumishi wazembe wapenda vya bure na Ufipa lkn 90% ya Watz wamemmis sn.
Kafa sasa,una hali nzuri?Mungu katuepusha na kitu mbaya. Kama Magufuli asingekufa nakuhakikishia kuwa tungekuwa na hali mbaya kama Zimbabwe. Alipanga mwaka 2025 kutangaza kuwa hakuna uchaguzi kwa vile fedha zinaelekezwa kwenye miradi.
Mauaji yangeendelea, watu wengi wangekimbia nchi, chuki kati ya makundi mbali mbali ya kidini na kikabila zingezidi
Kwa kipi? CHADEMA kubaki na Mbunge mmoja wa Jimbo?Ndg zangu watanzani mimi ni kati ya watu waliomchukia sana magu kwasababu ya aina ya uongozi ila nimetafakari sana tumsamehe tumuombee.
Sababu zangu
Viongozi wengi hukosea awamu ya kwanza ila ya pili hujirekebisha pengine jpm angejirudi ktk awamu ya pili ila mungu hakumpa nafasi.
Hii nchi kweli kuna mambo tulizingua hivyo tulihitaji angalau mtu wa aina yake ila tulikosa speed governer na regulator.
Alikuta sukari sh ngapi?Kwa kosa gani? Huo msamaha baki nao mwenyewe. Alitimiza majukumu yake ya kikatiba na kuleta maaendeleo kwa spidi kubwa hadi kifo kilipomchukua. Staili yake ya uongozi haikuwa ya blabla na maneno matamu mliyozoeshwa bali vitendo vyenye matokeo tu.
Inafika Hadi chato kupitia Songea Ila njia ya shortcut ni ile ya kupitia Lubumbashi,katanga.Inamaana barabara ya kimara inafika hafi mwanza kumbe. Hivi nawaza kwa sauti tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"asietaka kutoa hela abaki na mav* yake nyumbani"
Ndo ukweli wenyewe.Lawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Sahihi aiseee watu wanataka angekuwepo ni kwa kuwa alikuwa anasikiliza shida zaoLawama zipo jf na twitter. Mitaa imemiss ile mbaya.
Ila aliwakomesha na kuwaweza kweli kweli. [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hata ukimuombea msamaha Kuna watu hawatoweza kumsamehe kwa sababu aliwabana Sana na wao Ni wakwepa Kodi,vyeti feki ,wapiga dili wakaishi maisha ambayo hawakuwahi kuwaza wataishi wanahasira sana.wengi wanaomtukana yule mzee Ni wabinafsi tu hawana mapenzi mema na taifa hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi kitu nilichokuwa nampendea ni alijua kuwaanyoosha wanaume wa dar maana ni wanaongea hao bila kumeza mate wala nukta..
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Tutembee kifua mberee, Tanzania ni nchi tajiri munoo ndugu zangu"
Au nasema uwongo ndugu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Trampo alikiona cha mtema kuni...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe una mapenzi mema na taifa? Mnafiki mkubwaMkuu hata ukimuombea msamaha Kuna watu hawatoweza kumsamehe kwa sababu aliwabana Sana na wao Ni wakwepa Kodi,vyeti feki ,wapiga dili wakaishi maisha ambayo hawakuwahi kuwaza wataishi wanahasira sana.wengi wanaomtukana yule mzee Ni wabinafsi tu hawana mapenzi mema na taifa hili.